Uongozi wa Klabu ya Yanga acheni kuwajaza upepo mashabiki wenu

Uongozi wa Klabu ya Yanga acheni kuwajaza upepo mashabiki wenu

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Katika mchezo wa awali walisikika na kuwaaminisha mashabiki wao ya kuwa kuna timu itapigwa 4 bila, yaani kana kwamba walijua Al Hilal ni sawa na Zalan FC, lakini matokeo yake ilikuwa chupu chupu walale nyumbani.

Sasa nimeona hata katika mchezo huu wa leo zipo tambwe toka kwa uongozi na mashabiki, wakiwaaminisha mashabiki wao eti wana kwenda kupindua meza.

Siyo sahihi kuwa na kujiamini kupitiliza, maana msije mkakutana na matarajio tofauti kabisa. Na nimeona leo mashaniki wa Yanga wengi wanajifariji na matokeo ya TP Mazembe dhidi ya Viperz kisa tu eti walicheza nao.

Binafsi naweka akiba ya maneno, nasubiria hiyo saa 10 usiku.
 
Katika mchezo wa awali walisikika na kuwaaminisha mashabiki wao ya kuwa kuna timu itapigwa 4 bila, yaani kana kwamba walijua Al Hilal ni sawa na Zalan FC, lakini matokeo yake ilikuwa chupu chupu walale nyumbani.

Sasa nimeona hata katika mchezo huu wa leo zipo tambwe toka kwa uongozi na mashabiki, wakiwaaminisha mashabiki wao eti wana kwenda kupindua meza.

Siyo sahihi kuwa na kujiamini kupitiliza, maana msije mkakutana na matarajio tofauti kabisa. Na nimeona leo mashaniki wa Yanga wengi wanajifariji na matokeo ya TP Mazembe dhidi ya Viperz kisa tu eti walicheza nao.

Binafsi naweka akiba ya maneno, nasubiria hiyo saa 10 usiku.
Kwaiyo unataka wawaambie kwamba wanaenda kufungwa ama washatolewa sio? Mpira auko ivyo mnavyofikiria mbumbumbu wa simba acheni dk 90 ziamue, Ayo mengine pelekeni umbumbuni uko
 
Kwaiyo unataka wawaambie kwamba wanaenda kufungwa ama washatolewa sio? Mpira auko ivyo mnavyofikiria mbumbumbu wa simba acheni dk 90 ziamue, Ayo mengine pelekeni umbumbuni uko
Hakuna haja ya kusubiri DK 90 Kwa timu bovu hilo. Lishatoka .
 
Katika mchezo wa awali walisikika na kuwaaminisha mashabiki wao ya kuwa kuna timu itapigwa 4 bila, yaani kana kwamba walijua Al Hilal ni sawa na Zalan FC, lakini matokeo yake ilikuwa chupu chupu walale nyumbani.

Sasa nimeona hata katika mchezo huu wa leo zipo tambwe toka kwa uongozi na mashabiki, wakiwaaminisha mashabiki wao eti wana kwenda kupindua meza.

Siyo sahihi kuwa na kujiamini kupitiliza, maana msije mkakutana na matarajio tofauti kabisa. Na nimeona leo mashaniki wa Yanga wengi wanajifariji na matokeo ya TP Mazembe dhidi ya Viperz kisa tu eti walicheza nao.

Binafsi naweka akiba ya maneno, nasubiria hiyo saa 10 usiku.
Kwahiyo wasijiamini wakapaki basi?

Kwahiyo ulitaka waseme tumekuja huku Khartoum kufungwa Ili wakufurahishe wewe?

Hakuna mtu anajifariji kwa matokeo ya tp mazembe lakini watu wanaona inawezekana,timu za Nigeria ambazo zilishinda nyumbani zote zinaelekea kutolewa.

Mpira bado sio rahisi kutabirika ndo mana kampuni za michezo ya kubashiri zipo.
 
Kwahiyo wasijiamini wakapaki basi?

Kwahiyo ulitaka waseme tumekuja huku Khartoum kufungwa Ili wakufurahishe wewe?

Hakuna mtu anajifariji kwa matokeo ya tp mazembe lakini watu wanaona inawezekana,timu za Nigeria ambazo zilishinda nyumbani zote zinaelekea kutolewa.

Mpira bado sio rahisi kutabirika ndo mana kampuni za michezo ya kubashiri zipo.
Ambazo zilishinda nyumbani zinaelekea kutolewa ugenini. Kama ilivyotarajiwa kuwa matokeo mazuri ni nyumbani mara nyingi.
 
Ambazo zilishinda nyumbani zinaelekea kutolewa ugenini. Kama ilivyotarajiwa kuwa matokeo mazuri ni nyumbani mara nyingi.
Halafu hamtaki kukubali kuwa Vipers wamefuzu wakiwa nyumbani. Wala hamtaki kuelewa kuwa timu zilizofuzu ugenini ni za waarabu na zilikuwa na mtaji wa goli moja. Hamtaki kukubali kuwa timu zilizifuzu ugenini ziko kundi la ubora sawa na Al Hilal.
 
Halafu hamtaki kukubali kuwa Vipers wamefuzu wakiwa nyumbani. Wala hamtaki kuelewa kuwa timu zilizofuzu ugenini ni za waarabu na zilikuwa na mtaji wa goli moja. Hamtaki kukubali kuwa timu zilizifuzu ugenini ziko kundi la ubora sawa na Al Hilal.
Unaposema "hamtaki" unamaanisha akina nani?
 
Katika mchezo wa awali walisikika na kuwaaminisha mashabiki wao ya kuwa kuna timu itapigwa 4 bila, yaani kana kwamba walijua Al Hilal ni sawa na Zalan FC, lakini matokeo yake ilikuwa chupu chupu walale nyumbani.

Sasa nimeona hata katika mchezo huu wa leo zipo tambwe toka kwa uongozi na mashabiki, wakiwaaminisha mashabiki wao eti wana kwenda kupindua meza.

Siyo sahihi kuwa na kujiamini kupitiliza, maana msije mkakutana na matarajio tofauti kabisa. Na nimeona leo mashaniki wa Yanga wengi wanajifariji na matokeo ya TP Mazembe dhidi ya Viperz kisa tu eti walicheza nao.

Binafsi naweka akiba ya maneno, nasubiria hiyo saa 10 usiku.
Badala ya kuiwazia timu yako, unaiwazia Yanga! Ukisikia uma.laya wa kwenye mpira, ndiyo huu sasa.
 
Itakua ni huzuni UTo wamewekeza pesa ndefu msimu huu wakikosa group stage ni machafukoo
 
Back
Top Bottom