Uongozi wa Rais Mwinyi na Rais Samia unazingua tu, hawana jipya...

Uongozi wa Rais Mwinyi na Rais Samia unazingua tu, hawana jipya...

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Hawa viongozi au Marais wawili Rais Samia (Chifu Hangaya) na Rais Hussein, kwa kweli sijaona jipya ambalo litamtufaisha raia, nikimaanisha vijana na wazee kuajiriwa.

Kama kuna mtu analijua aliweke hapa, unakodisha kunajengwa mahoteli, mahoteli ambayo mengine ni marufuku kwa raia wa Kitanzania kusogea au kufunga nanga, waajiriwa sidhani kama watakuwa ni WaTz katika mahoteli hayo.

Kusema faida utajenga hospitali na shule je itakuwa bure? Jambo gani wanalolifanya watu Marais hawa wawili na Serikali zao kuinua kipato, au mwananchi aweze kujipatia kipato au kuajiriwa?

Tunaona gaidi sasa masoko yote anayapiga moto, hii ni ajabu yeye yupo rumande na wenziwe. Hivi halijengwi soko jipya mpaka liungue?

Watu wawili hawa sasa wanazidi kupiga makelele kuijaza Tanzania wawekezaji ambao, eti ajira zitakuwa za kuchagua anayetaka kulima atalima na anaetaka kuchunga atachunga.

Kwanini makelele yao yanazidi? 2025 haipo mbali, kwa hiyo si shwari tena, wanarapu ahadi kedekede, mikakati baada ya miaka 50 ndio ahadi zao.

CCM na Serikali zao hawana jipya.
 
Utakuwa unawashwa kiduara cha kwenye buttocks.

Itoshe kusema status yako iko hivi 👇

Screenshot_20220222-100231.jpg
 
Muungano huu ni mateso tinaongozwa na watu ambao tuna tamaduni tofauti hii sio sawa
 
Mkuu The sunk
Talk sense to a fool and he will call you foolish.
 
Kafanye kazi, acha uvivu. Kukaakaa tu bila kazi matokeo yake ndo hayo; majungu, wivu na kuzaliwa kwa vijichuki visivyokuwa na sababu ya kueleweka..........eti sababu ushungi, mara dini, mara Ukanda n.k. Piga kazi dada mvua zinaisha hizi, utakuja kunishukuru!!!
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kuna jambo linakusumbua la sivyo inabidi urudie upya kufikiri alafu njoo na mada ya kiutu uzima
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Majizi serikalini yana mpenda mama kama nini, maana sasa hivi kazi ni kufisidi tu na kwenda chooni
 
Muungano huu ni mateso tinaongozwa na watu ambao tuna tamaduni tofauti hii sio sawa
Kwani Tanganyika tuna utamaduni sawa makabila yote?
Wote huwa wana miiko lugha moja na taratibu za kuoa sawa?
Wewe utamaduni wako ni upi?
 
Usiporidhika na kidogo (shule, madawati, zahanati n.k) hutaridhika na kikubwa.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hawa viongozi au Marais wawili Rais Samia (Chifu Hangaya) na Rais Hussein, kwa kweli sijaona jipya ambalo litamtufaisha raia, nikimaanisha vijana na wazee kuajiriwa.

Kama kuna mtu analijua aliweke hapa, unakodisha kunajengwa mahoteli, mahoteli ambayo mengine ni marufuku kwa raia wa Kitanzania kusogea au kufunga nanga, waajiriwa sidhani kama watakuwa ni WaTz katika mahoteli hayo.

Kusema faida utajenga hospitali na shule je itakuwa bure? Jambo gani wanalolifanya watu Marais hawa wawili na Serikali zao kuinua kipato, au mwananchi aweze kujipatia kipato au kuajiriwa?

Tunaona gaidi sasa masoko yote anayapiga moto, hii ni ajabu yeye yupo rumande na wenziwe. Hivi halijengwi soko jipya mpaka liungue?

Watu wawili hawa sasa wanazidi kupiga makelele kuijaza Tanzania wawekezaji ambao, eti ajira zitakuwa za kuchagua anayetaka kulima atalima na anaetaka kuchunga atachunga.

Kwanini makelele yao yanazidi? 2025 haipo mbali, kwa hiyo si shwari tena, wanarapu ahadi kedekede, mikakati baada ya miaka 50 ndio ahadi zao.

CCM na Serikali zao hawana jipya.
Akili yako ni ndogo hayo maendeleo utayaonaje

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Jibu zuri ni kindi gani linamkubali mwakatozo,ni mapapa hawa wanataka kutuaminisha mwendazake alikuw mbaya hana kizuri huku wakijinasibu kwa kuifungua nchi kwa foreigners ambao katu ni wanyonyaji MTAZAMO WANGU
 
Back
Top Bottom