luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Hapo Simba kuna viongozi wana kamasi kwenye ubongoTuna muda mchache sanaa kuelekea Mashindano ya CAF lzm macho yenu na akili zenu zifqnye kazi chap chap ..hatuwezi fika popote katika mashindano ya CAF kama straiker ni huyu Dejan .,.
Simba haitajinstraiker wakumpa muda anatakiwa straiker wa kuja kufunga sio huyu wa kumjaribu
Kama alikua hapewi pasi vileeLeo kwa zile v pass kama kungekuwa na striker wa maana mtu angekufa 7 leo.
Tuna muda mchache sanaa kuelekea Mashindano ya CAF lzm macho yenu na akili zenu zifqnye kazi chap chap ..hatuwezi fika popote katika mashindano ya CAF kama straiker ni huyu Dejan .,.
Simba haitajinstraiker wakumpa muda anatakiwa straiker wa kuja kufunga sio huyu wa kumjaribu
Bora wee umegundua hiloAmini nawaambieni,matatizo ya simba ni mawili 2.
1 Kiungo mkabaji (DM)
2 Style ya uchezaji. Simbawanacgeza sana (muda mwingi ) pass za nyuma na flat passes. Hata akiketwa Nani pale mbele hakuna kitu unless hilo walifanyie marekebisho
Tuna muda mchache sanaa kuelekea Mashindano ya CAF lzm macho yenu na akili zenu zifqnye kazi chap chap ..hatuwezi fika popote katika mashindano ya CAF kama straiker ni huyu Dejan .,.
Simba haitajinstraiker wakumpa muda anatakiwa straiker wa kuja kufunga sio huyu wa kumjaribu
Utazani Yikpe hahahahaTatizo la Simba tunafanya utani wakati wenzetu wapo serious. Mzungu ni Kama msanii tu. Kama Leo anapewa mpira wa kufunga anajigonga mguu au anapewa pasi nzuri anakuwa hayupo eneo la tukio.
Ukweli mtupu!!! Timu yetu haipush kwenda mbele,muda mwingi mpira unachezwa na mabeki na viungo wakipokea mpira bado wana turn kurudishwa kwa mabeki. Kitendo kinachopelekea strikers kukosa service...utamlaumu vp striker wakati humpelekei mipira??? Ona Moses phiri analazimika kudrop chini kuja kufuata mipira!! Why??? Ni kwasababu hapelekewi mpiraAmini nawaambieni,matatizo ya simba ni mawili 2.
1 Kiungo mkabaji (DM)
2 Style ya uchezaji. Simbawanacgeza sana (muda mwingi ) pass za nyuma na flat passes. Hata akiketwa Nani pale mbele hakuna kitu unless hilo walifanyie marekebisho
Kiukweli sijui ni ubahili au nini? Kweli tusubirie wakati soon tuna mashindano hivi karibuni?Tuna muda mchache sana kuelekea Mashindano ya CAF lazima macho yenu na akili zenu zifanye kazi chap chap hatuwezi fika popote katika mashindano ya CAF kama striker ni huyu Dejan
Simba haitajin striker wa kumpa muda anatakiwa striker wa kuja kufunga sio huyu wa kumjaribu
Asante, unautazama mpira kwa jicho la kiufundi. Umemaliza kila kitu.Ukweli mtupu!!! Timu yetu haipush kwenda mbele,muda mwingi mpira unachezwa na mabeki na viungo wakipokea mpira bado wana turn kurudishwa kwa mabeki. Kitendo kinachopelekea strikers kukosa service...utamlaumu vp striker wakati humpelekei mipira??? Ona Moses phiri analazimika kudrop chini kuja kufuata mipira!! Why??? Ni kwasababu hapelekewi mpira
Huyo ni Shabalala mtu Yuko kwenye position hampi pasi anatoa pasi Kwa mtu aliyekabwaSimba wanacheza mchezo wa kukaririshwa, V pass hata kama mtu kakabwa inalazimishwa weee hadi unasema wanaakili kweli ?