Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,654
Huu uongozi wetu ukiwasikia wanavyojitutumua kwenye media utawajua wana mipango thabiti kweli kumbe janja tu
Wachezaji wa Simba wakilala chumba kimoja watu zaidi ya ishirini na kula kwa mama ntilie
Hii ndio Simba ya kisasa tujaondanganywa na yule bilionea?
Wachezaji wa Simba wakilala chumba kimoja watu zaidi ya ishirini na kula kwa mama ntilie
Hii ndio Simba ya kisasa tujaondanganywa na yule bilionea?