United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
Ndio manaa Ake Yanga wanaweza kufyatua jezi Leo yiwu ila siku Tano mbele tu zikawa zishafika kariakooKwamba kanjibai hana connection ya kusaidia mzigo ufike haraka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio manaa Ake Yanga wanaweza kufyatua jezi Leo yiwu ila siku Tano mbele tu zikawa zishafika kariakooKwamba kanjibai hana connection ya kusaidia mzigo ufike haraka
Sijaona mahusino ya GSM na kukwama kwa jezi za Venja Bei. JK kuwa Uto kusaidia mzigo kufika kwa wakati kunakwamisha jezi za Simba Sc?!Ndio jamaa anakosea ila usisahau Silent ocean ni Pete na kidole na GSM na mzee wako mstafu ni GSM damu usitegemee Ata siku moja jezi za yanga eti zitakwama njiani Vunja bei anakomaa mwenyewe Kwa Kila tu.
Sasa kama mo ni biashara yake anapata faida gn kama jezi haziuzwi kwa wakati?MoDewji ndio kajificha kwa jina la vunjabei, kwa hiyo hili suala ni kama ngumi ya Ndoige, unashitaki kwa uongozi, halafu uongozi ndio unahusika na Dili lote
Hivi ni lazima kutolewa jezi za kimataifa?Moja kwa moja kwenye topic, Napenda kuwashauri viongozi wa Simba kuachana na Vunja bei amekwisha proof failure tangu day one, kila msimu anakuja na excuse zisizo na msingi, imagine leo tarehe 15 jezi ya mashindano ya kimataifa ambayo ali ahidi itakua tayari ipo sokoni bado haija ingia sokoni
Leo nmesikia Ahmed Ali anasema mzigo ume kwama kutoka China wanasahau walituambia sasa hivi jezi za Simba zinatoka Europe sio China, kwani Yanga wao jezi zao wanawezaje kufanikisha bila kuchelewa? Mechi inachezwa tarehe 18 mpaka sasa jezi haipo sokoni! Inafikirisha sana
Ni ukiherehere tu, kuna wengine achilia mbali za Kimataifa, hata za Ligi Kuu hawana lakini ndo wanapata nafasi ya kupiga kelele.Kelele zimekuwa nyingi sana siku hizi,
Ana biashara kubwa zilizomfanya awe na utajiri wa trilioni 3.4 so hawezi kuhangaika na biashara ya jezi za bilioni 2 kama GSMKwamba kanjibai hana connection ya kusaidia mzigo ufike haraka
Mkuu hii ndio sababu atleast ina make sense. Jamaa hana team ya wataalamu wa Logistics kama kweli jezi zimekwama tena mwaka huu ingawa inaweza kuwa kamba hata kusafiri bado hazijaanza.Sijaona mahusino ya GSM na kukwama kwa jezi za Venja Bei. JK kuwa Uto kusaidia mzigo kufika kwa wakati kunakwamisha jezi za Simba Sc?!
Huyu Fred atakuwa anafanya biashara kihuni bila menejimenti. Sidhani kama ana watalaam wa Procurement and Logistics. Atakuwa anatumia machawa
Hatuzungumzii kununua tunazungumzia upatikanaji. mfano leo ukitaka jezi ya yanga mpya utapata ila simba hata kama hela unayo huwezi kupata.Wapiga kelele wengi si wanunuzi wa Jezi, nimeona hata Yanga ile siku ya kwanza vurugu tupu kutaka kuwahi, lakini baada ya siku ya pili waliziacha zinazagaa mpaka kwenye Nyumba ya jirani hapo baada ya Makao Makuu ya Yanga zimetundikwa kwenye kamba.
Zitakuja tu. Bado game 5 mzunguko huu wa magroup, hapo hatujaongelea hatua zinazofuata.Kulikua na haja gani ya kuzindua jezi mpya?
Inawezekana pia ikawa ni mchezo wa kibiashara unachezwa kati ya Simba na M-Bet, kwamba wachezaji wanalazimika kuvaa jezi za Visit Tanzania lakini mashabiki ambao hawalazimiki kuzivaa basi itawalazimu wavae jezi za M-Bet.Hatuzungumzii kununua tunazungumzia upatikanaji. mfano leo ukitaka jezi ya yanga mpya utapata ila simba hata kama hela unayo huwezi kupata.
Watu walikosoa uzuri wa jezi utafikiri wana maslahi katika jezi hizo, wengine tena ni Yanga lila lia kabisa. Walipoona Simba huko Guinea wana jezi kama 6 na zote kali wakapotezea kama hawaoni vile.Wapiga kelele wengi si wanunuzi wa Jezi, nimeona hata Yanga ile siku ya kwanza vurugu tupu kutaka kuwahi, lakini baada ya siku ya pili waliziacha zinazagaa mpaka kwenye Nyumba ya jirani hapo baada ya Makao Makuu ya Yanga zimetundikwa kwenye kamba.
Ubabaishaji wa vunjabei unatokana na wapiga deal wa ndani mkuu.tupe za ndani mkuu
Hii ni jezi kali kuliko zote kuwahi kutoa mnyama ..Me naitafuta hii jezi kwa garama yoyote nimechoka ushuzi wa vunjabeiView attachment 2518324