Uongozi wa Simba kwa Hitimana tumeteleza

Uongozi wa Simba kwa Hitimana tumeteleza

mmteule

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2011
Posts
5,883
Reaction score
14,600
Inshort kumleta Huyo Hitimana Simba tumerudi nyuma miaka 10.

Kocha ana majungu sana, kule Biashara United timu iliponea chupu chupu kushuka daraja kwa falsafa zake ameondoka leo timu iko Kimataifa.

Akaenda Namungo alichoweza ni kujaza Warundi wenzake 6 akina Nahimana, Bigirimana, Nzigamasabho, Kwizera nk kwa Upendeleo na Ukabila wao timu ikayumba sana, akaingia Morroco Namungo ikaenda Kimataifa.

Akaenda Mtibwa akawavuruga weeeee wameishia kukarbia kushuka daraja msimu huu. Kwa masikitiko makubwa haka ka Bwana majungu kameletwa Simba. Jumapili kamehojiwa na media kanasema Simba imeuza Wachezaji muhimu wawili Chama na Miq hivyo tusitegemee mambo makubwa kama misimu iliyopita.

Mara paaap kamewapa mchongo Warundi wenzake EAGLE NOIR kuja kucheza gemu ya kirafiki na Simba! Tayari hapa unaona Uongozi wa Simba umeanza kuingizwa kwenye 18 za huyu Mnafiki na Mkabila. Kama kweli angetanguliza weledi mbele tungealika WAGANDA BINGWA WA KAGAME CUP 2021 waje tujipime lkn kwa upuuuzi tumewaleta hao mataptap.

Hii siyo dalili njema Mam...ae zake tusipostuka Mapema Mwakani sajili 3 tutaletewa Warundi waje kula Pensheni pale Msimbazi kama KAZE alivyowafanya UTO kwa FISTON na NTIBA.

Vilabu vikubwa Simba na Yanga hizi sio zama za Makocha Warundi maaana Wanatanguliza UKABILA zaidi ya Weledi.
SIMBA NGUVU MOJA tupaze sauti huyu Mnafiki aondoke zake pindi Da Rossa atakapopata vyeti 😭😭😭😭
 
Mkuu nadhani morocco alikuta namungo imeshafuzu kimataifa

Kwizera alikuja kipinda hemed morocco yupo
Mkuuu Makocha wa Kirundi kwenye kuwajaza WARUNDI wenzao usiwawekee pingamizi. Ndayiragije pale KMC kaacha Warundi 7, kule Mbao aliacha 5 sjui Azam aliacha wangapi lkn all in all ni kuvipa tahadhari vilabu vyetu na hawa mabwana Warundi.
 
Ficha majungu yako mkuu.
Mkuu kama na Wewe ni MHUTU wa BURUNDI waaambie Makocha wa Nchi hiyo waaache Ukabila kwenye soka la bongo wanaturudisha nyuma. Ndayiragije sasa yupo GEITA GOLD naaamini msimu huu itakuwa na Magarassa 5 ya Kirundi halafu hamtaki tuseme ili Vipaji vya Watanzania viende wapi?????? Acha upoyoyo
 
Ficha majungu yako mkuu.
Jibu hojja zangu kwa Facts. Ni kippi Hitimana alichodeliver BIASHARA, NAMUNGO na MTiBWA ifikie kuletwa timu kubwa kama Simba hapo ndio nitajua mimi na wewe nani analijua sokka na tutajua majungu yako wapi.
 
Mkuu kama na Wewe ni MHUTU wa BURUNDI waaambie Makocha wa Nchi hiyo waaache Ukabila kwenye soka la bongo wanaturudisha nyuma. Ndayiragije sasa yupo GEITA GOLD naaamini msimu huu itakuwa na Magarassa 5 ya Kirundi halafu hamtaki tuseme ili Vipaji vya Watanzania viende wapi?????? Acha upoyoyo
Katika andiko lako, wewe umeonyesha majungu zaidi, kuliko huyo unayemsema. Ficha majungu yako.
 
Katika andiko lako, wewe umeonyesha majungu zaidi, kuliko huyo unayemsema. Ficha majungu yako.
We Mrundi jibu hoja kwa hoja. Pale Simba hamtapata nafasi ya kuleta Magarrasa yenu ua Burindi kujja kula pensheni janja yenu huko huko kwa akina NTIBA na Fiston mtukomeeeee. Maaana siku mbili tu mmeleta timu tap tap kuja kucheza Na simba gemu na Simba, What a fooolish!
 
We jamaa hebu tuachie Simba yetu,hatusajili kwa mihemuko, Bangladesh!
Wewe siyo MwanaSimba kutuzidi wenzio yaweza kuwa wewe ni Mkereketwa tu Mkuuu lkn wenzio tunamizizi ya Msimbazi. Acha huyu Mrundi tumpe za usso asije kuleta Uboya mbeleni huko.
 
We Mrundi jibu hoja kwa hoja. Pale Simba hamtapata nafasi ya kuleta Magarrasa yenu ua Burindi kujja kula pensheni janja yenu huko huko kwa akina NTIBA na Fiston mtukomeeeee. Maaana siku mbili tu mmeleta timu tap tap kuja kucheza Na simba gemu na Simba, What a fooolish!
Kwamba anayepinga hoja zako dhaifu ni Mrundi, ila atakeubalina nazo ni Mtanzania. Umekosa hoja. Narudia tena andiko lako liko kimajungu zaidi.
 
Wewe siyo MwanaSimba kutuzidi wenzio yaweza kuwa wewe ni Mkereketwa tu Mkuuu lkn wenzio tunamizizi ya Msimbazi. Acha huyu Mrundi tumpe za usso asije kuleta Uboya mbeleni huko.
Kuleta warundi kucheza mechi ya kirafiki kunaathiri nn timu? Kusema Simba imeuza wachezaji wazuri na muhimu ni kosa,ulitaka aseme Simba imeuza wachezaji garasa?
 
Kuleta warundi kucheza mechi ya kirafiki kunaathiri nn timu? Kusema Simba imeuza wachezaji wazuri na muhimu ni kosa,ulitaka aseme Simba imeuza wachezaji garasa?
Hao Warundi Wanacheza Mashindano gani makubwa? Wanazidiana nini na Azam au Biashara? Simba iko Arusha tumeshindwa kuita timu shindani hapo Kenya Ipo Tusker, Gormahia au Uganda kuna Express? What is Eagle Noir?? Ina nini ambacho KMC hawana? Think Big Mkuu na kama huna mawanda mapana ubongoni siyo kila mada uchangie.
 
Hao Warundi Wanacheza Mashindano gani makubwa? Wanazidiana nini na Azam au Biashara? Simba iko Arusha tumeshindwa kuita timu shindani hapo Kenya Ipo Tusker, Gormahia au Uganda kuna Express? What is Eagle Noir?? Ina nini ambacho KMC hawana? Think Big Mkuu na kama huna mawanda mapana ubongoni siyo kila mada uchangie.
Fountain Gate, Coastal unions zinacheza mashindano gani makubwa?
 
Fountain Gate, Coastal unions zinacheza mashindano gani makubwa?
Coastal Union is Local Friend Match inacheza Ligi ya VPL ambayo pia tunajiandaa kwayo. Kwa Upande wa International Friend Match ilipaswa tutafute Mshindani ambaye yuko level za Ligi ya CAF CHAMPIONSHIP ili tupate kipimo sahihi. Hatukupaswa kuongozwa na Akili ya Hitimana ambayo imejawa Ukabila wa Kirundi. Haya niambie Aigle Noir inacheza Ligi ipi ya CAF ili iweze kuwa kipimo sahihi kwa Lunyansi???
 
Simba sio Namungo au Biashara,kama ulishawai msikia Magori akisema kwenye benchi la ufundi la Simba aachiwi kocha pekee asajili.
mchezaji anaewaniwa na Simba anapita kwenye machujio mengi.alafu yule ni kocha msaidizi tu kocha mkuu bado ni Gomez.
 
Back
Top Bottom