GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Ni lini na Wewe utasifiwa, utakubalika na thamani yako hapa JamiiForums kuonekana kama ilivyo Kwangu The King GENTAMYCINE?Huna chochote katika uandishi wako patapotea tu wewe
blaa blaa blaa. Unasifika kwa matusi tu yasiyo mapya hapa jukwaani ovyooNi lini na Wewe utasifiwa, utakubalika na thamani yako hapa JamiiForums kuonekana kama ilivyo Kwangu The King GENTAMYCINE?
Tafadhali ukiwa unajibu pia jitahidi usome mara mbili mbili Yeremia 1:19 sawa?
Sasa huna Akili nani atapoteza muda Kukujua na Kukukubali hapa JamiiForums?blaa blaa blaa. Unasifika kwa matusi tu yasiyo mapya hapa jukwaani ovyoo
Ukijulikana wewe kwa matusi yasiyo mapya inatosha kabisaSasa huna Akili nani atapoteza muda Kukujua na Kukukubali hapa JamiiForums?
Sawa mimi ni hasimu wako lakini naomba tuungane kwenye tatizo la kitaifa la UMEME.Fatilia ujue nani anaihujumu TANESCO,Kwanini mama hana usemi wowote juu ya hili janga.Kilala kheri mfukunyuziBenchika kiboko hakyanani yaana baada tu ya Wachezaji hawa kutua Dar es Salaam kimya kimya na kwenda Kwanza kutambulishwa Kwake (anakoishi) na kuambiwa na Uongozi kuwa Unawasajili ili watumike Kikosini Yeye bila ya Kuchelewa akauambia Uongozi (wa Simba SC) na Bonge la Sonyo kuwa wachague nani abaki kati yake na Wao kitendo kilichofanya Asubuhi tu Kesho yake Wachezaji hao wapandishwe Bung'o/ Ndege na warejee Makwao.
Natabiri kabla ya Pasaka au baada ya Pasaka ya 2024 Benchika (Mr. Misimamo na Sitaki Upuuzi Kazini) hatokuwa tena Kocha Mkuu wa Simba SC na hasa hasa kwa Matokeo ya Mechi Simba SC na Azam FC na Mechi Mbili za mwisho za Makundi za CAFCL.
Haya kalale.Ukijulikana wewe kwa matusi yasiyo mapya inatosha kabisa
Silali hata kidogo fanya unachotaka kufanya mshamba weweHaya kalale.
Wabongo kwa udaku, umbea, uzushi, mpo vizuri. Unapenda sana hizo mambo ndio maana unaona kama kuna kitu kimepungua kwako.The King hapa ndipo umuhimu wako unaonekana , jukwaa la michezo linarudi kwenye hadhi yake asante.
Ifikie wakati sasa ubadilike, stori zako uwe unazileta zikiwa na uthibitisho. Yaani umeshindwa hata kutupia picha ya huyo Adebayor na Manzoki wakiwa na mmoja wapo wa viongozi wa Simba au umeshindwa hata kuleta picha au clip za hao wachezaji wakiwa uwanja wa ndege.Benchika kiboko hakyanani yaana baada tu ya Wachezaji hawa kutua Dar es Salaam kimya kimya na kwenda Kwanza kutambulishwa Kwake (anakoishi) na kuambiwa na Uongozi kuwa Unawasajili ili watumike Kikosini Yeye bila ya Kuchelewa akauambia Uongozi (wa Simba SC) na Bonge la Sonyo kuwa wachague nani abaki kati yake na Wao kitendo kilichofanya Asubuhi tu Kesho yake Wachezaji hao wapandishwe Bung'o/ Ndege na warejee Makwao.
Natabiri kabla ya Pasaka au baada ya Pasaka ya 2024 Benchika (Mr. Misimamo na Sitaki Upuuzi Kazini) hatokuwa tena Kocha Mkuu wa Simba SC na hasa hasa kwa Matokeo ya Mechi Simba SC na Azam FC na Mechi Mbili za mwisho za Makundi za CAFCL.
kwakweli pasaka bya benchika itakuwa akiwa si kocha wa timu yoyoteBenchika kiboko hakyanani yaana baada tu ya Wachezaji hawa kutua Dar es Salaam kimya kimya na kwenda Kwanza kutambulishwa Kwake (anakoishi) na kuambiwa na Uongozi kuwa Unawasajili ili watumike Kikosini Yeye bila ya Kuchelewa akauambia Uongozi (wa Simba SC) na Bonge la Sonyo kuwa wachague nani abaki kati yake na Wao kitendo kilichofanya Asubuhi tu Kesho yake Wachezaji hao wapandishwe Bung'o/ Ndege na warejee Makwao.
Natabiri kabla ya Pasaka au baada ya Pasaka ya 2024 Benchika (Mr. Misimamo na Sitaki Upuuzi Kazini) hatokuwa tena Kocha Mkuu wa Simba SC na hasa hasa kwa Matokeo ya Mechi Simba SC na Azam FC na Mechi Mbili za mwisho za Makundi za CAFCL.