Uongozi wa Simba SC msituzingue tafadhali tunamtaka Kocha mpya upesi Mgunda hamna Kitu na ni Samjo Samjo tupu

Uongozi wa Simba SC msituzingue tafadhali tunamtaka Kocha mpya upesi Mgunda hamna Kitu na ni Samjo Samjo tupu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kocha gani Wewe muda Wote tu ni Kukenua Kenua Mimeno huku Timu yako ikiwa inabadilika mara kwa mara Kimfumo?

Wenye Simba SC yetu na Mafia wa Soka la Bongo (Tanzania) tunajua ni Juhudi gani zilifanyika ili Kocha Mgunda alipotua Simba SC akawa anashinda mfululizo mpaka Mechi za Kimataifa.

Hivyo basi baada ya kuona Pumzi ya Kocha Mgunda imeanza Kuisha GENTAMYCINE nauomba haraka mno Uongozi wa Simba SC umlete Kocha Mkuu wa Viwango vya Kufundisha Simba SC na huyu Kocha Mgunda awe Msaidizi wake huku Matola ama akitemwa kabisa au apelekwe kwa Vijana (Simba B)

Ni bora tuachwe Alama (Points) Tano (5) hizi na Azam FC au Namungo FC au hata Ihefu FC ila siyo Yanga SC ambao Wanaujua Umafia wetu na wana Watu wa Mafia hasa kwa Mechi za Ndani (NBC Premier League)

Kwa hii Sare ya leo dhidi ya Singida Big Stars FC leo na Gap sasa kuwa Points (Alama) Tano (5) na ninavyowajua Yanga SC tena leo wakiwa wanaenda Kutolewa CAFCC na Club Africaine huko nchini Tunisia wakirudi watakuwa na Hasira na Ubingwa na naona kila dalili za Wao (Yanga SC) kuwa Mabingwa tena hata kwa Msimu huu.

Nimekereka mno na Matokeo ya leo.
 
Bori halitembei nini😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

Niko pale.........

Yanga ni mbovu Ila simba ni mbovu zaidi na zaidi

Tatizo sio Natoka tena ni Mgunda?

Na mna bahati kipa kachukua chake leo mngelala yoyo!!!

Mkitoka hapo yanga ananunua mechi duh!!

Shida mechi zako huwezi

Simba ni mbovu hivi tukiwaambia uwa hamuelewi?
 
Sisi tunaojua mpira vizuri tunasema kocha hana makosa,na mechi ya leo ni matokeo ya kawaida katika mpira acheni mihemko, mpira una matokeo matatu hatuwezi kushinda kila siku.

Kitu cha msingi ambacho kila mtu anakiona ni kukosekana kwa wachezaji wazuri pale mbele, mtu kama Pape, na Kibu bado hawako makini sana wanahitaji mbadala.

Kikosi sio kipana hata kocha mwenyewe anapata shida kwenye kufanya sub, imagine anatoka kibu anaingia Kyombo, amefanya nini cha maana. Think!
 
Mgunda hana mbinu ama kama anazo ni mwoga, hivyo HAFAI kuwa kocha mkuu kwa timu kama Simba.
Hata mechi na Azam yeye alisababisha timu ipoteze Ile mechi kwa uchaguzi mbaya wa kikosi.
Kama itawapendeza viongozi watafute mwalimu mwingine kama comrade GENTAMYCINE alivyoshauri.
 
Mgunda hana mbinu ama kama anazo ni mwoga, hivyo HAFAI kuwa kocha mkuu kwa timu kama Simba.
Hata mechi na Azam yeye alisababisha timu ipoteze Ile mechi kwa uchaguzi mbaya wa kikosi.
Kama itawapendeza viongozi watafute mwalimu mwingine kama comrade GENTAMYCINE alivyoshauri.

Huyo Gentamycine ni tapeli tu, hajui anachoboronga hapa!
 
Kocha gani Wewe muda Wote tu ni Kukenua Kenua Mimeno huku Timu yako ikiwa inabadilika mara kwa mara Kimfumo?

Wenye Simba SC yetu na Mafia wa Soka la Bongo (Tanzania) tunajua ni Juhudi gani zilifanyika ili Kocha Mgunda alipotua Simba SC akawa anashinda mfululizo mpaka Mechi za Kimataifa.

Hivyo basi baada ya kuona Pumzi ya Kocha Mgunda imeanza Kuisha GENTAMYCINE nauomba haraka mno Uongozi wa Simba SC umlete Kocha Mkuu wa Viwango vya Kufundisha Simba SC na huyu Kocha Mgunda awe Msaidizi wake huku Matola ama akitemwa kabisa au apelekwe kwa Vijana (Simba B)

Ni bora tuachwe Alama (Points) Tano (5) hizi na Azam FC au Namungo FC au hata Ihefu FC ila siyo Yanga SC ambao Wanaujua Umafia wetu na wana Watu wa Mafia hasa kwa Mechi za Ndani (NBC Premier League)

Kwa hii Sare ya leo dhidi ya Singida Big Stars FC leo na Gap sasa kuwa Points (Alama) Tano (5) na ninavyowajua Yanga SC tena leo wakiwa wanaenda Kutolewa CAFCC na Club Africaine huko nchini Tunisia wakirudi watakuwa na Hasira na Ubingwa na naona kila dalili za Wao (Yanga SC) kuwa Mabingwa tena hata kwa Msimu huu.

Nimekereka mno na Matokeo ya leo.
Genta wewe uslishasema tangu mwanzo wa league kuwa yanga atakua bingwa tena kwa hili simba yetu kwa ivo wacha iwe tutapambana penye asali [emoji518] kimataifa

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
 
Boli halitembei tena jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acheni zenu bwana mgunda bonge moja la kocha...pep mnene yule.
Sijawahi kumkubali Mgunda,

Simba inasaidiwa na uwezo binafsi wa wachezaji kadhaa na sio vinginevyo.

Watafute kocha ambaye ataleta mbinu za ushindi..
 
Sijawahi kumkubali Mgunda,

Simba inasaidiwa na uwezo binafsi wa wachezaji kadhaa na sio vinginevyo.

Watafute kocha ambaye ataleta mbinu za ushindi..
Sasa jamani mbona makocha wetu hatuwakubali....mbona mechi za kimataifa ametoboa. Sasa inakuwaje tena tunasema uwezo binafsi wa wachezaji. Ata pep anashinda kutokana na uwezo wa wachezaji bwana.

Sii mnakumbuka utopolo walivyokuwa na wachezaji kama akina molinga walivyokuwa wanapigwa tuu na mikia. Quality ya wachezaji muhimu sana maana ata mbinu za kocha zinahitaji ubora na ubunifu wa wachezaji
 
Back
Top Bottom