Uongozi wa Simba SC na Msemaji Ahmed Ally kuweni na 'Adabu' na Sisi 'Mashabiki' wa Simba SC juu ya 'Usajili' wa 'Manzoki' sawa?

Uongozi wa Simba SC na Msemaji Ahmed Ally kuweni na 'Adabu' na Sisi 'Mashabiki' wa Simba SC juu ya 'Usajili' wa 'Manzoki' sawa?

Nakiri tena 100% kwani kuna Mechi zingine Binafsi nilishiriki kufanya Umafia huo ( hizo Kazi Chafu )

Na hata Yanga SC nao kwa Msimu huu wamefanya kile kile kilichofanywa na Simba SC kwa hiyo miaka Minne kwani Mmoja wa Marefa ( wa Beji ya FIFA ) ambaye ni Rafiki yangu mkubwa tu amenihakikishia hilo.
Nilikuwa nakuona hamnazo ila sikuwa na uhakika, lakini kwa sasa nimejiridhisha 100% kuwa wewe ni mental case.
Please, ungewahi matibabu ungekuwa umeisaidia jamii isiendelee kula haya matango pori unayosambaza.
 
Kuamini upuuzi anaoandika huyu taahira lazima ujitoe akili, watoto wanakuamini ujinga unaoandika kwasababu wana upeo mdogo kama wako.

Mtu anaedai Simba SC ilichukua ubingwa kwa kuhonga waamuzi, aulizwe kwanini msimu uliopita haikuchukua ubingwa, au haikuwa na pesa za kuwahonga hao waamuzi? ni mjinga tu atamuamini popoma.

Au tuwekee hizo transactions tuone mlivyokuwa mkiwahonga hao waamuzi, kama ni za simu au bank account, siku zote huna ushahidi unapenda umbea tu na kuropoka.
 
Suala la kuhonga timu msimu ujao ili wapate matokeo watakwama pakubwa Kama ndo mikakati yao, Msimu ujao ligi itakuwa ngumu mara 2 ya msimu uliopita, klabu karibu zote zimejiimarisha kwenye usajili na hazina njaa ya pesa kwani kibunda cha Azam tv kwa vilabu vyote kinaendelea kuvipa jeuri, angalia timu ndogo tu Kama ihefu iliyopanda daraja usajili wake imekusanya mastaa wenye uzoefu bila pesa wasingewapata, angalia timu kama singida big star wako vizuri Sana kiuchumi mpaka usajili wao wametisha, sasa Mo kama ndo akili zake hizo mwambieni atachemka vibaya Sana msimu huu labda atafute mbinu nyingine sio ya kuhonga
Hii ndiyo Bajeti ya Kuhonga kwa Mafarasi Watatu Tanzania.....

1. Simba SC ( Tsh Bilioni 2 )
2. Yanga SC ( Tsh Bilioni 3 )
3. Azam FC ( Tsh Bilioni 8 )

Yusuf Bakhressa kasema sasa basi!!!!
 
Nilikuwa nakuona hamnazo ila sikuwa na uhakika, lakini kwa sasa nimejiridhisha 100% kuwa wewe ni mental case.
Please, ungewahi matibabu ungekuwa umeisaidia jamii isiendelee kula haya matango pori unayosambaza.
Nadhani huu Ushauri wako Kwangu ungeuanzia Kwanza kwa Mama yako ambaye linamsumbua tokea ulipokuwa Tumboni mwake.
 
Kuamini upuuzi anaoandika huyu taahira lazima ujitoe akili, watoto wanakuamini ujinga unaoandika kwasababu wana upeo mdogo kama wako.

Mtu anaedai Simba SC ilichukua ubingwa kwa kuhonga waamuzi, aulizwe kwanini msimu uliopita haikuchukua ubingwa, au haikuwa na pesa za kuwahonga hao waamuzi? ni mjinga tu atamuamini popoma.

Au tuwekee hizo transactions tuone mlivyokuwa mkiwahonga hao waamuzi, kama ni za simu au bank account, siku zote huna ushahidi unapenda umbea tu na kuropoka.
Nasubiri jibu la Swali langu Kuntu Kwako kuwa je, unaweza Kutwa ( 24/7 ) kuwa unamchukia GENTAMYCINE ( tena kwa Kumponda na Kumshambulia ) halafu hapo hapo tena ukawa Unamfuatilia kila anachokiandika mpaka kupata muda kama huu wa Kujibizana nae?
 
Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally jana Asubuhi ukiwa Wasafi FM ulisema tena kwa Kujiamini kabisa kuwa Mchana au Alasiri mtamtangaza rasmi Manzoki kuwa Mchezaji Wetu na haikuwa hivyo.

Nilitegemea Wewe kama Mweledi ( Professional ) baada ya muda huo kupita basi Kiungwana ungetuomba Radhi ila ukanyamaza kwakuwa Ulishaaminishwa na Kauli ya aliyekuwa Kiongozi wetu Ismail Aden Rage kuwa wana Simba SC ni Mambumbumbu.

Jioni karika Ukurasa wako Ahmed Ally ( Msemaji wa Simba SC ) ukatutaka tuwe Macho Saa 9 Usiku kwani ndiyo utakuja na Taarifa ya Usajili wa Mshambuliaji ninayemhitaji zaidi Simba SC Ceaser Lobi Manzoki na Mwanamume GENTAMYCINE nimekesha mpaka Saa 11 hii ya Alfajiri hakuna Taarifa yoyote kama ambavyo Ulituahidi Sisi Mambumbumbu FC ( Mashabiki wa Simba ) wako.

Uongozi wa Simba SC na Msemaji Ahmed Ally mnajua Usumbufu mnaotupa Sisi Mashabiki wa Simba SC ( Mambumbumbu Original ) kwa Kutudanganya Kwenu huku juu ya Usajili hasa wa huyu Mshambuliaji Ceaser Lobi Manzoki?

Sasa kwa Hasira Kali nilizonazo juu ya kunifanya Nikeshe kama Popo na leo hata sijambandua vizuri Demu wangu kwa Presha ya Kusubiria Taarifa ya Usajili wa Manzoki muda si mrefu GENTAMYCINE naenda kuanzisha Uzi wa Kutoa SIRI ya kwanini mpaka sasa Jezi za Simba SC bado hazijatoka, Ugomvi wa CEO Barbara Gonzalez na Mwenyekiti wa Simba SC Murtaza Mangungu, Mo Dewji na Pesa zake TSH Bilioni 20 za Uwekezaji na za Usajili, jinsi Wewe ( Msemaji wa Simba SC ) Ahmed Ally unavyotukanwa mara kwa mara na CEO Barbara Gonzalez na Mpango wenu wa Kununua / Kuhonga Mechi za Ligi Kuu ( Msimu Ujao ) kama ilivyofanyika ndani ya Misimu Minne ya Ubingwa wetu.

Mmenikera na kwakuwa mmeshatuona wana Simba SC wote ni Mambumbumbu FC sasa mnatuchukulia Poa hivyo Mimi GENTAMYCINE ninayewajua na ninayojua yanayoendelea Klabuni naenda Kuyaanika yote hadharani hapa hapa na muwe Wavumilivu kama nami ( nasi ) Mambumbumbu FC Original tulivyovumilia Uwongo wenu juu ya Usajili wa Manzoki mpaka kutusababisha Tukeshe hivi.

Na mwambieni huyo Kocha wenu 'Mbovu' Mserbia Zoran Maki kuwa hatumtaki huyo Mshambuliaji wake Mserbia ( Mzungu ) anayetaka ( tena kwa Kulazimisha kuwa asajiliwe Simba SC ) na kwamba Simba SC iachane na Manzoki. Sisi Manzoki tunamjua na Balaa lake tumeshaliona sasa muulizeni huyo Kocha wenu 'Mbovu' Zoran Maki huyo Mserbia wake ( Nduguye ) kacheza wapi na ana Uwezo upi?

Leo ndiyo Mtanitambua GENTAMYCINE Wapuuzi wakubwa nyie. Mmenipandisha kweli kweli Hasira zangu Mseto za Kizanaki, Kitutsi na Kimakuwa.

Yaani mtatudanganya na kutupotezea muda kwasababu tu ya Uhuni, Upigaji na Uswahili wenu ndani ya Uongozi wa Simba SC? Subirini sasa niyaanike na niwaanikeni ili mnyooke vizuri.

Majuha (Nuts) wakubwa kabisa nyie!!
Awali Ahmed Ally alisemà Simba haiwezi kutambulisha Wachezaji usiku kama Wanga. Ghafla Jana akasema atatangaza usajili SAA 9 usiku.
Sikishangaa Kwa sababu nilishaandika Ally wa Sasa ni msanii tu kama Manara.
 
Nasubiri jibu la Swali langu Kuntu Kwako kuwa je, unaweza Kutwa ( 24/7 ) kuwa unamchukia GENTAMYCINE ( tena kwa Kumponda na Kumshambulia ) halafu hapo hapo tena ukawa Unamfuatilia kila anachokiandika mpaka kupata muda kama huu wa Kujibizana nae?
Wazungu wanakwambia.. "he who alledges must prove"

Lakini wewe mjinga unakuja na shutuma nyingi huku bila ushahidi wowote, wewe ni popoma tu, na kukujibu ni lazima huwezi kuachwa upotoshe.
 

 
Suala la kuhonga timu msimu ujao ili wapate matokeo watakwama pakubwa Kama ndo mikakati yao, Msimu ujao ligi itakuwa ngumu mara 2 ya msimu uliopita, klabu karibu zote zimejiimarisha kwenye usajili na hazina njaa ya pesa kwani kibunda cha Azam tv kwa vilabu vyote kinaendelea kuvipa jeuri, angalia timu ndogo tu Kama ihefu iliyopanda daraja usajili wake imekusanya mastaa wenye uzoefu bila pesa wasingewapata, angalia timu kama singida big star wako vizuri Sana kiuchumi mpaka usajili wao wametisha, sasa Mo kama ndo akili zake hizo mwambieni atachemka vibaya Sana msimu huu labda atafute mbinu nyingine sio ya kuhonga
Hazihongwi timu. Wanahongwa waamuzi.
 
Hazihongwi timu. Wanahongwa waamuzi.

Hii ndiyo Bajeti ya Kuhonga kwa Mafarasi Watatu Tanzania.....

1. Simba SC ( Tsh Bilioni 2 )
2. Yanga SC ( Tsh Bilioni 3 )
3. Azam FC ( Tsh Bilioni 8 )

Yusuf Bakhressa kasema sasa basi!!!!
Kumbe aliyetenga b.2 ndo anakwenda kugombania nafasi ya 4 na 5 na wakina singida big stars, ihefu, geita gold na Namungo🤣🤣🤣 b.26 za M.bet zimeshindwa kuongezea bajeti🤓🤓🤓
 
Kuamini upuuzi anaoandika huyu taahira lazima ujitoe akili, watoto wanakuamini ujinga unaoandika kwasababu wana upeo mdogo kama wako.

Mtu anaedai Simba SC ilichukua ubingwa kwa kuhonga waamuzi, aulizwe kwanini msimu uliopita haikuchukua ubingwa, au haikuwa na pesa za kuwahonga hao waamuzi? ni mjinga tu atamuamini popoma.

Au tuwekee hizo transactions tuone mlivyokuwa mkiwahonga hao waamuzi, kama ni za simu au bank account, siku zote huna ushahidi unapenda umbea tu na kuropoka.
Msimu uliopita tajiri yenu alizidiwa maarifa alikuwa akihonga 100 wenzake wanaweka 300 akapigwa KO na uzuri walikuwa washamjua janja zake, ukiongeza na ubahili wake ndo akasambaratishwa kabisaaaaa
 
Kwa hivyo wewe kama mwanasimba sc unakiri mlihonga na kununua mechi misimu minne iliyopita?

Unanunuaje mechi mkuu? Kwamba wachezaji wakifika uwanjani walale chini sisi tufunge tu magoli? Au ni wote tunacheza mpira?
 
Sasa kumbe yanayoendelea ndani ya klabu unayajua ulikeshaje? Kama nawe unakesha kusubiri Dili hewa basi huna la kujigamba nalo wewe ni mtabiri TU huna unachokijua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom