GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nimepenyezewa za ndani kabisa kutoka kwa Watu wa Yanga SC ( ambao wanajua Mimi ni mwenzao ) kuwa wamezungumza na Wachezaji wa Kagera Sugar tunaocheza nao FA Jumamosi ili 'Wawaumize' Wachezaji wetu Muhimu ( Waandamizi )
Wanaotakiwa 'Kuumizwa' vibaya ili wakose ( waukose ) mtanange wa Simba na Yanga tarehe 8 May, 2021 kwakuwa ni 'Tishio' Kwao na Yanga SC wameshajua kuwa hata 'Wakaroge' wapi wanakufa ( wanafungwa ) tu tena Goli / Bao nyingi ni hawa Wafuatao hapa...
1. Clatous Chama
2. Jose Miquissone
3. Joash Onyango
4. Thadeo Lwanga
5. Bernard Morrison
6. Larry Bwalya
7. Shomary Kapombe
8. Aishi Manula
Hivyo basi GENTAMYCINE nauomba Uongozi wa Simba SC ( hasa kwa Benchi la Ufundi ) Kikosi hiki Kifuatacho hapa ndicho Kicheze Mechi ya FA na Kagera Sugar Jumamosi ijayo ( tarehe 1 May, 2021 )
1. Beno Kakolanya 'Baba Paroko'
2. David Kameta 'Duchu'
3. Gadiel Michael
4. Erasto Nyoni
5. Pascal Wawa
6. Jonas Mkude ( Mwanangu )
7. Hassan Dilunga
8. Said Ndemla
9. Meddie Kagere
10. Perfect Chikwende
11. Miraji Athuman
Kwa Kikosi kipana cha Simba SC, aina ya Wachezaji wetu wenye Vipaji binafsi na Morali iliyopo ndani ya Kambi nina uhakika hata kwa Kikosi changu hiki tu hapa Juu Kagera Sugar anafungwa na ukizingatia tunacheza 'Machinjioni' Kwetu kwa Mkapa.
Naomba ANGALIZO langu hili lizingatiwe na Watu wa Simba SC na ningependa pia liwafikie haraka Mtani wangu ( wa Kiha ) Kocha Matola, Msemaji Haji Manara, Mshauri Mkuu wa CEO ( Poti wangu kabisa ) Magori, Meneja ( Mtani wangu wa Kihaya ) Rweymamu na Madame CEO Barbara.
Cbonde Chonde watajwa Wasipangwe.
Wanaotakiwa 'Kuumizwa' vibaya ili wakose ( waukose ) mtanange wa Simba na Yanga tarehe 8 May, 2021 kwakuwa ni 'Tishio' Kwao na Yanga SC wameshajua kuwa hata 'Wakaroge' wapi wanakufa ( wanafungwa ) tu tena Goli / Bao nyingi ni hawa Wafuatao hapa...
1. Clatous Chama
2. Jose Miquissone
3. Joash Onyango
4. Thadeo Lwanga
5. Bernard Morrison
6. Larry Bwalya
7. Shomary Kapombe
8. Aishi Manula
Hivyo basi GENTAMYCINE nauomba Uongozi wa Simba SC ( hasa kwa Benchi la Ufundi ) Kikosi hiki Kifuatacho hapa ndicho Kicheze Mechi ya FA na Kagera Sugar Jumamosi ijayo ( tarehe 1 May, 2021 )
1. Beno Kakolanya 'Baba Paroko'
2. David Kameta 'Duchu'
3. Gadiel Michael
4. Erasto Nyoni
5. Pascal Wawa
6. Jonas Mkude ( Mwanangu )
7. Hassan Dilunga
8. Said Ndemla
9. Meddie Kagere
10. Perfect Chikwende
11. Miraji Athuman
Kwa Kikosi kipana cha Simba SC, aina ya Wachezaji wetu wenye Vipaji binafsi na Morali iliyopo ndani ya Kambi nina uhakika hata kwa Kikosi changu hiki tu hapa Juu Kagera Sugar anafungwa na ukizingatia tunacheza 'Machinjioni' Kwetu kwa Mkapa.
Naomba ANGALIZO langu hili lizingatiwe na Watu wa Simba SC na ningependa pia liwafikie haraka Mtani wangu ( wa Kiha ) Kocha Matola, Msemaji Haji Manara, Mshauri Mkuu wa CEO ( Poti wangu kabisa ) Magori, Meneja ( Mtani wangu wa Kihaya ) Rweymamu na Madame CEO Barbara.
Cbonde Chonde watajwa Wasipangwe.