Uongozi wa Simba SC tafadhali upesi sana amueni moja katika hili kwani Msimu ukianza haya Mapungufu yaliyotuponza hatuyataki tena na tumeyachoka

Uongozi wa Simba SC tafadhali upesi sana amueni moja katika hili kwani Msimu ukianza haya Mapungufu yaliyotuponza hatuyataki tena na tumeyachoka

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Uongozi wa klabu ya Simba umempa mkataba wa miaka miwili aliyekuwa kocha msaidizi wa Raja Casablanca, Fadlu David ambaye inaelezwa atatua nchini Ijumaa sambamba na wasaidizi wake.

Kocha huyo ambaye amethibitisha ujio wake Tanzania baada ya kutumia ukurasa wake mtandao wa kijamii ‘Instagram’ kuwaaga viongozi, wachezaji na mashabiki wa timu aliyokuwa akiifundisha.

“Ulikuwa ni wakati mzuri, msimu mzuri, wachezaji bora, wafanyakazi wenzangu tulikuwa na benchi bora bila kuwasahau mashabiki,” Ni ujumbe wa kocha huyo akiwaaga."

Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Simba kimeliambia Mwananchi kuwa kocha huyo anakuja na wasaidizi wake sambamba na meneja wa timu hiyo.

Chanzo: mwananchi_official

OMBI LANGU KUU GENTAMYCINE kwa Uongozi wa Simba SC

Tafadhali kama mmeamua aje Kocha Mgeni na Benchi lake zima basi hakikisheni akina Mgunda na Matola hawawi karibu na Timu kwani hawa Wawili ni Watanzania wenzangu ila kwa Majungu nadhani wameshapata tayari Degree na Masters wanasubiria tu Doctorate yao sasa.

Na kama mtaamua Kocha Mgunda awe Msaidizi wake kutoka kwa Wazawa ( Watanzania ) tafadhali mwambieni kabisa Mgunda kuwa huyu Kocha ni Bosi wake na amuheshimu na aachane na tabia yake ya Kupigisha Shoti Wachezaji hasa Wazawa ili Kuigawa na Kuidhoofisha Timu kusudi arejeshwe Kuikoa Timu.

Ila kama pia mtaamua kuachana na huyu Kocha Mgeni basi nauomba Uongozi wa Simba SC umuamini Kocha Mgunda na Matola wawape Timu kwa Msimu huu Mmoja, ila hakikisheni mnawapa Stahiki zao zote kama ambavyo huwa mnawapa Wageni na mngempa Mgeni ajae ili Watulie na wasiwe na Majungu ya 10%.

Yangu ni haya tu ila Asanteni sana Uongozi wote wa Simba SC na kwa Tajiri kwa huu Udhamini wa Kiufundi wa sasa.
 
Uongozi wa klabu ya Simba umempa mkataba wa miaka miwili aliyekuwa kocha msaidizi wa Raja Casablanca, Fadlu David ambaye inaelezwa atatua nchini Ijumaa sambamba na wasaidizi wake.

Kocha huyo ambaye amethibitisha ujio wake Tanzania baada ya kutumia ukurasa wake mtandao wa kijamii ‘Instagram’ kuwaaga viongozi, wachezaji na mashabiki wa timu aliyokuwa akiifundisha.

“Ulikuwa ni wakati mzuri, msimu mzuri, wachezaji bora, wafanyakazi wenzangu tulikuwa na benchi bora bila kuwasahau mashabiki,” Ni ujumbe wa kocha huyo akiwaaga."

Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Simba kimeliambia Mwananchi kuwa kocha huyo anakuja na wasaidizi wake sambamba na meneja wa timu hiyo.

Chanzo: mwananchi_official

OMBI LANGU KUU GENTAMYCINE kwa Uongozi wa Simba SC

Tafadhali kama mmeamua aje Kocha Mgeni na Benchi lake zima basi hakikisheni akina Mgunda na Matola hawawi karibu na Timu kwani hawa Wawili ni Watanzania wenzangu ila kwa Majungu nadhani wameshapata tayari Degree na Masters wanasubiria tu Doctorate yao sasa.

Na kama mtaamua Kocha Mgunda awe Msaidizi wake kutoka kwa Wazawa ( Watanzania ) tafadhali mwambieni kabisa Mgunda kuwa huyu Kocha ni Bosi wake na amuheshimu na aachane na tabia yake ya Kupigisha Shoti Wachezaji hasa Wazawa ili Kuigawa na Kuidhoofisha Timu kusudi arejeshwe Kuikoa Timu.

Ila kama pia mtaamua kuachana na huyu Kocha Mgeni basi nauomba Uongozi wa Simba SC umuamini Kocha Mgunda na Matola wawape Timu kwa Msimu huu Mmoja, ila hakikisheni mnawapa Stahiki zao zote kama ambavyo huwa mnawapa Wageni na mngempa Mgeni ajae ili Watulie na wasiwe na Majungu ya 10%.

Yangu ni haya tu ila Asanteni sana Uongozi wote wa Simba SC na kwa Tajiri kwa huu Udhamini wa Kiufundi wa sasa.
Ila hapo kwenye kupigisha shoti sisi wenye akili mgando kama Mimi ambao hatufikiri nje ya sanduku tumetoka kapa
 
Mtani wangu kutoka Yanga SC Bila bila atakuja Kukuelewesha vyema tu Mkuu.
Mimi nawaangalia tu na usajili mpya sijui Wachezaji wamependekezwa na Nani? Au yule "Sikauti" ndo mmemtumia kama kocha wa Muda? Au ni mapendekezo ya Matola maana ndo anabaki kama kocha msaidizi?
Halafu Mgunda Mtu wa Tanga kupiga Shoti ni kawaida Kwa watu wa Pwani.
 
Uongozi wa klabu ya Simba umempa mkataba wa miaka miwili aliyekuwa kocha msaidizi wa Raja Casablanca, Fadlu David ambaye inaelezwa atatua nchini Ijumaa sambamba na wasaidizi wake.

Kocha huyo ambaye amethibitisha ujio wake Tanzania baada ya kutumia ukurasa wake mtandao wa kijamii ‘Instagram’ kuwaaga viongozi, wachezaji na mashabiki wa timu aliyokuwa akiifundisha.

“Ulikuwa ni wakati mzuri, msimu mzuri, wachezaji bora, wafanyakazi wenzangu tulikuwa na benchi bora bila kuwasahau mashabiki,” Ni ujumbe wa kocha huyo akiwaaga."

Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Simba kimeliambia Mwananchi kuwa kocha huyo anakuja na wasaidizi wake sambamba na meneja wa timu hiyo.

Chanzo: mwananchi_official

OMBI LANGU KUU GENTAMYCINE kwa Uongozi wa Simba SC

Tafadhali kama mmeamua aje Kocha Mgeni na Benchi lake zima basi hakikisheni akina Mgunda na Matola hawawi karibu na Timu kwani hawa Wawili ni Watanzania wenzangu ila kwa Majungu nadhani wameshapata tayari Degree na Masters wanasubiria tu Doctorate yao sasa.

Na kama mtaamua Kocha Mgunda awe Msaidizi wake kutoka kwa Wazawa ( Watanzania ) tafadhali mwambieni kabisa Mgunda kuwa huyu Kocha ni Bosi wake na amuheshimu na aachane na tabia yake ya Kupigisha Shoti Wachezaji hasa Wazawa ili Kuigawa na Kuidhoofisha Timu kusudi arejeshwe Kuikoa Timu.

Ila kama pia mtaamua kuachana na huyu Kocha Mgeni basi nauomba Uongozi wa Simba SC umuamini Kocha Mgunda na Matola wawape Timu kwa Msimu huu Mmoja, ila hakikisheni mnawapa Stahiki zao zote kama ambavyo huwa mnawapa Wageni na mngempa Mgeni ajae ili Watulie na wasiwe na Majungu ya 10%.

Yangu ni haya tu ila Asanteni sana Uongozi wote wa Simba SC na kwa Tajiri kwa huu Udhamini wa Kiufundi wa sasa.
K
 
Back
Top Bottom