Uongozi wa Simba SC tafadhali waambieni Wachezaji wazawa (Waswahili) waache kuwapiga Miba (Kuwaroga) Wenzao wa Kigeni

Una maana Duguji Diarra? Maana huyu hajawahi kuumia wala kupata malaria. Na kila mara namuona kwa fundi kule kolelo, Morogoro
Majitu ya magharibi uchawi wao ni mkubwa kuliko mashariki.
Wewe si uliona feitoto alitaka kuleta zake kwa key..jamaa aliposafiri kwao aliporudi dogo kakimbia timu mwenyewe.
 
Majitu ya magharibi uchawi wao ni mkubwa kuliko mashariki.
Wewe si uliona feitoto alitaka kuleta zake kwa key..jamaa aliposafiri kwao aliporudi dogo kakimbia timu mwenyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka balaa
 
Mganga wa Moro miliman ujakosea mkuu n nomaa na nusu alishasaidia kesi Moja ya bro wangu ambayo alikuwa afungwe maishà lkn Mzee aliizimaaa.

Cku yulé Mzee akidondoka Kuna watu watazimia Kwa preshaa...
Huyo pia ndiye alimsaidia Mkude kuwapiga Fraga na Thadeo Lwanga miba,mzee yuko vizuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…