Uongozi wa Simba SC tunaomba Taarifa za wapi alipo sasa Kibu Denis

Uongozi wa Simba SC tunaomba Taarifa za wapi alipo sasa Kibu Denis

Na mlituaminisha muda tu kuwa mmeshamalizana nae sasa ni kwanini hata Kambini katika Pre Season wala hayuko?
Check kwenye ukurasa wake wa x yupo USA anakula bata

1721313702407.png


 
Anakamilisha changamoto ya passport yake. Wiki ijayo atakuwa Ismailia
Sawa boss, ila uzi wetu ule wa tetesi umelala, ukipata wasaa usiache kutudodosa za ndani kabisa.
 
Afisa habari wenu habari za Kibu hana ila Magoma anazo........
kwani Magoma habari zake zinafichika? Au kwani zinahitaji afisa habari aziseme? Mbona Magoma anahojiwa na kutoa ushirikiano kwa TV channel kibao za Youtube kila siku?
 
Anakamilisha changamoto ya passport yake. Wiki ijayo atakuwa Ismailia
Afadhali maana nilishaanza kumchukia maana this football games is a profession just like any other. Ambapo msingi mkuu ni nidhamu.

Kama kweli nimemsamehe. Maana tulishaachana na Chama hatutaki mwingine.
 
Hajafikia kiasi Cha kuchafua passport.
ulishawahi kuwa na passport lakini? unajua ina page ngapi? kwa safari za taifa stars, safari na simba, unafikiri atakuwa hajajaza passport? binafsi sio mchezaji ala yeyote ila tangu 2007 hadi leo nimeshajaza passport 3.
 
Back
Top Bottom