GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Na mlituaminisha muda tu kuwa mmeshamalizana nae sasa ni kwanini hata Kambini katika Pre Season wala hayuko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmefikia hatua gani kudhibiti hujuma? ili mchukuwe makombeNa mlituaminisha muda tu kuwa mmeshamalizana nae sasa ni kwanini hata Kambini katika Pre Season wala hayuko?
huyo ni mkimbizi, si ukute kapata uraia marekani au canada. kuna warundi wengi sana kule.Na mlituaminisha muda tu kuwa mmeshamalizana nae sasa ni kwanini hata Kambini katika Pre Season wala hayuko?
Check kwenye ukurasa wake wa x yupo USA anakula bataNa mlituaminisha muda tu kuwa mmeshamalizana nae sasa ni kwanini hata Kambini katika Pre Season wala hayuko?
kama ni mrundi huyo anayo nafasi kubwa kujiunga kwenye ukimbizi na akapokelewa. wapo wengi kwelikweli Quebec Canada, kwa hela gani kibu akale bata mamtoni?Kibu D Kibu Denga Kibu Denis. Mwacheni ale bata na akirudi ataanza kikosi cha kwanza tar 8 August kama kawa.
Sawa boss, ila uzi wetu ule wa tetesi umelala, ukipata wasaa usiache kutudodosa za ndani kabisa.Anakamilisha changamoto ya passport yake. Wiki ijayo atakuwa Ismailia
Afisa habari wenu habari za Kibu hana ila Magoma anazo........Na mlituaminisha muda tu kuwa mmeshamalizana nae sasa ni kwanini hata Kambini katika Pre Season wala hayuko?
kwani Magoma habari zake zinafichika? Au kwani zinahitaji afisa habari aziseme? Mbona Magoma anahojiwa na kutoa ushirikiano kwa TV channel kibao za Youtube kila siku?Afisa habari wenu habari za Kibu hana ila Magoma anazo........
Kwa hiyo za Kibu na Lawi zinafichika........ ila Magoma hazifichiki..........?kwani Magoma habari zake zinafichika? Au kwani zinahitaji afisa habari aziseme? Mbona Magoma anahojiwa na kutoa ushirikiano kwa TV channel kibao za Youtube kila siku?
Afadhali maana nilishaanza kumchukia maana this football games is a profession just like any other. Ambapo msingi mkuu ni nidhamu.Anakamilisha changamoto ya passport yake. Wiki ijayo atakuwa Ismailia
safari na taifa stars na simba, amesafiri sana nje aisee.Eti passport yake imejaa! Kwa safari zipi alizofanya Kibu Dii hadi kujaza passport? Nasikia hamjamkamilishia mpunga wake kwenye hii contract mpya so bado ana mgomo
Hajafikia kiasi Cha kuchafua passport.safari na taifa stars na simba, amesafiri sana nje aisee.
ulishawahi kuwa na passport lakini? unajua ina page ngapi? kwa safari za taifa stars, safari na simba, unafikiri atakuwa hajajaza passport? binafsi sio mchezaji ala yeyote ila tangu 2007 hadi leo nimeshajaza passport 3.Hajafikia kiasi Cha kuchafua passport.