Mr kenice
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 4,260
- 7,033
Ok ikijaa inamaana hupati tena si ndio.ulishawahi kuwa na passport lakini? unajua ina page ngapi? kwa safari za taifa stars, safari na simba, unafikiri atakuwa hajajaza passport? binafsi sio mchezaji ala yeyote ila tangu 2007 hadi leo nimeshajaza passport 3.