Hivi Kwa timu ipi unayohangaika kuhamisha viwanja? Tukubaliane usajili wa kimazabe unaiangusha Simba!Simba kuweka uwanja wa nyumbani Moro ni sawa na Yanga waweke uwanja wao Tanga,
Haraka sana maamuzi yafanyike
DuuuuhWaganga wa yanga wako morogoro, hata manara huwa anakuja sana huku akitaka kumpiga hela GSM, au kumfunga Injinia asimfute kazi pale yanga kwa kuwa hana analofanya, content zake zimebaki za kuoa tu.
Wanachinja mbuzi na visomo vingi kule Kinole, kinapigwa kisomo mpaka moshi unaanza kutoka bila kuwasha moto.
Baadae yanapigwq makufuru ya kufa mtu
Msomi wa MUM, Huyu jamaa inawezekana ni Psychiatric. Anaongea kama mwehu, alafu huyu ni Yanga na Mara nyingi anaongea kuwakera au kiwadhihaki Simba.
Mpira una matokeo 3,muwe mnakubali kufungwa,mna uspecial gani hadi timu lenu likifanya vibaya lazima mtafute kichaka cha kujifichia aibu yenu!Simba kuweka uwanja wa nyumbani Moro ni sawa na Yanga waweke uwanja wao Tanga,
Haraka sana maamuzi yafanyike
Hata mkipeleka mechi zenu mbinguni kipigo kipo pale paleSimba kuweka uwanja wa nyumbani Moro ni sawa na Yanga waweke uwanja wao Tanga,
Haraka sana maamuzi yafanyike
Aahaaaa
Waende hadi Comoro ππkokote waendapo nasi tunao mpk wajitoe kwenye NBC league VAVAVAVAYO makolouizdad
Wanasiiimba! π
Hata muende wapi, za uso ziko pale paleSimba kuweka uwanja wa nyumbani Moro ni sawa na Yanga waweke uwanja wao Tanga,
Haraka sana maamuzi yafanyike