Uongozi wa Simba ubadili uwanja, Uwanja wa Jamhuri tutakula za uso, huu ni mwanzo tu

Duuuuh
 
Simba kuweka uwanja wa nyumbani Moro ni sawa na Yanga waweke uwanja wao Tanga,

Haraka sana maamuzi yafanyike
Mpira una matokeo 3,muwe mnakubali kufungwa,mna uspecial gani hadi timu lenu likifanya vibaya lazima mtafute kichaka cha kujifichia aibu yenu!
 
Ila Yanga wanajikutagaaaa...nyie wenyewe viwanja vya mikoani vinawatoa nyaa...kagera mkalazimisha sare ya refa..mkwakwani mkapata goli dkk ya 90.. mbarari mkapata kipigo cha 2 kwa 1...n.k n.k
Hapa mnajifanya nye nye nye nyeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…