Uongozi wa UDOM wajibu madai ya kuwepo kunguni kwenye mabweni ya Wanafunzi

UDOM vyoo ni balaa, hostel unakuta mzigo umerundwa wa kutosha aisee vile vyoo fanyeni jambo vinatia aibu, unaweza kuta katika matundu takribani 10 ya vyoo yote mzigo umeshona pomoni (hawa jamaa wa UDOM sijui wanakula nini😂) maji yawepo ya kutosha vinginevyo itakuwa stori tu
 
Lakini akiwa nje kachomekea hatari, utafikiri msafi kweli
 
Utakuta wanachuo wengi walizoea kufanyiwa kila kitu na dada wa kazi/mama leo wapo chuo wenyewe wanaona uvivu kuweka mazingira yao safi,mwisho wa siku wanazalisha kunguni na chawa wa kutosha.
Tufundishe watoto wetu kazi za mikono na usafi wao binafsi.
Uvivu ni janga kubwa sana.
 
Majibu ya kijinga kabisa, siamini kama hayo majibu yametokea chuo kikuu.


Tafadhali tupe chanzo cha taarifa na majibu hayo, aliyeiandika ni nani wa "UDOM?
 
Kwahiyo siku hizi kunguni wanakula viporo?
nadhani mkurugenzi anachotaka kutuambia hapa ni kwamba nje ya kunguni na mende wamo wa kutosha.
majibu mepesi kwa hoja za msingi yanaibua hoja nzito.
 
Katika vyuo nilivyopitia hakuna semehu chafu kama vyooni.Mtu anajisaidia mlangoni kabisa na unakuta hakuna maji ni balaa.
 
Inasikitisha kuona kuona chuo kinachobeba wanafunzi wengi kuliko vyote Afrika mashariki na Kati kukumbwa na Janga la Kunguni ,je ni wanafunzi kushindwa kujisimamia usafi ama uongozi kushindwa kusimamia mazingira?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…