Uongozi wa Yanga Malizaneni na Mzee wa Utopolo

5 Nyingi

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2023
Posts
246
Reaction score
605
Jamaa anahisi anatengwa, kwa mtazamo wangu huyu jamaa ni mzuri kwenue hamasa kuliko watu kama Mwalimu Yanga, Mzee wa Mashairi, God Yanga nk. Ila anatengwa sana kwenye offers mbalimbali ambazo club inatoa kwa mashabiki vinara, ntafurasi endapo siku moja ataingia kwenye orodha pendwa ya viongozi.

Pole sana brother Mashaka ila usikate tamaa na usilalamike sana as if ni haki yako ila club ina wajibu wa kutenda haki pale inapo amua kutoa offer kwa mashabiki vinara.

Mungu hapendi unafiki.


View: https://youtu.be/dToErrYyLY8?si=ogHM6NpwjNTKrqYk
Ni mimi shabiki wa Popoma GENTAMYCIME GENTAMYCINE
 
Sawa Tumekusikia Mzee wa Uto.

OMBI LAKO LINAFANYIWA KAZI

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Huyu wana bifu naye kwa kuwabatiza jina tamu la utopolo,kusema ukweli huyu jamaa hana mvuto na hana point yeye anapiga kelele tu kama chizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…