Uongozi wa Yanga uhusike na kulipa gharama zote za kuharibu mechi ya Derby iliyotakiwa kufanyika hivi leo. Uhuni kwenye soka haukubaliki

Uongozi wa Yanga uhusike na kulipa gharama zote za kuharibu mechi ya Derby iliyotakiwa kufanyika hivi leo. Uhuni kwenye soka haukubaliki

Simba wakienda kucheza leo ntawaona nao hawana wanachosimamia.
Huu upuuzi inabidi ufike mwisho hapa Tz,tufuate taratibu na sheria tulizojiwekea!

Mpira sio vita, ni undugu na urafiki,walichokifanya jamaa jana pale ni kudhalilisha si mpira tu wa Tz na kutudhalilisha woote.

Binafsi nimesikitishwa na hili na mpira wa bongo nimeudharau kabiisa!
 
😃😃akshenyetewa BUNJU ARENA
 
Ahlan bik

Football ukipenda iite Soccer ni mchezo wa kiungwana sana unaozingatia sheria , kanuni na taratibu zilizowekwa na shirikisho la mpira duniani kwa maana ya FIFA na shirikisho la mpira katika nchi husika.

Kanuni zipo wazi kabisa na uongozi wa Yanga unafahamu fika kuwa timu ambayo itakuwa ni mgeni inatakiwa iruhusiwe kufanya mazoezi ya mwisho siku moja kabla ya mechi tena kwa kuzingatia muda ule ule wa mechi.

Simba Sc kwa kulijua hili walifata sheria zote , cha ajabu uongozi wa timu ya Yanga umeamua kufanya uhuni kwa kuweka vikundi vya wahuni wanaodai kuwa ni Makomandoo wa Yanga kwa ajili ya kuulinda uwanja na kupelekea kuzuia timu ya Simba sc isiingie uwanjani kufanya mazoezi.


Wito wangu kwa TFF na Bodi ya Ligi iangalie namna ya kutoa adhabu kali sana kwa uongozi wa timu ya Yanga ili iwe fundisho kwa wahuni wote wanaolenga kuchafua taswira na hadhi ya Ligi kuu ya NBC.

Dunia nzima ilijiandaa leo hii kushuhudia moja kati ya derby kongwe na bora zaidi kutokea katika bara la Africa na dunia nzima. Ila jambo la ajabu na aibu kusikia kuwa mechi hii haitachezwa kutokana na viongozi na uongozi wa timu ya YANGA kufanya uhuni.

Watanzania wengi wamenunua ving'amuzi kwa ajili ya kushuhudia mechi hii , Je nyinyi viongozi wahuni wa Yanga ,mtawalipa nini watanzania waliopoteza pesa zao kwa ajili ya kulipia ada ya ving'amuzi??

Kuna wanachama na mashabiki wenu wamesafiri kutoka mikoa mbalimbali kuja Dar-es-salaam toka juzi kuja kushuhudia moja ya tukio hili la kihistoria ila chakusikitisha wanakuja kuambiwa kuwa mechi haitakuwepo. Je mnawalipa nini hawa wanachama wenu waliopoteza nauli, gharama za malazi na vyakula na kikubwa zaidi muda wao kuja kushudia mechi hii???

Uongozi wa Yanga umefanya makusudi kabisa kwasababu walikuwa na uwezo wa kuwasiliana na wahuni wao waliowaandaa kuharibu mechi kuwa waruhusu msafara wa Simba sc uingie uwanjani.Ila cha ajabu hawakufanya hivyo na ni wazi tukio hili limeonesha dhamira yao ya kuamini imani potofu za kishirikina na pia kuharibu mechi.

Kuna viongozi wa FIFA na CAF pamoja na waandishi wa habari wa kimataifa wamesafiri kutoka mataifa yao kuja kushuhudia mechi hii live ila cha ajabu wanaambiwa kuwa mechi haitafanyika.

TFF na TPBL msipochukua hatua kali za kinidhamu dhidi ya timu ya YANGA ,tambueni kuwa taifa zima litajua kuwa mnashirikiana na wahalifu hawa wa jangwani kuchafua taswira na hadhi ya moja ya ligi bora zaidi hapa barani Africa.

Wapo mashabiki wa timu hizi mbili walionunua tiketi kwa ajili ya kuingia uwanjani kuishuhudia hii Derby..Je pesa zao mnawarudishia?

Wasimamizi wa uwanja pia wametumia gharama zao kwa ajili ya kuhakikisha mechi hii inachezwa katika mazingira mazuri, Je Yanga mtarudisha gharama zao.?

TFF toeni adhabu kali kwa Yanga unaoongozwa na mwenyekiti wa vilabu barani Africa , Hersi Saidi. ili iwe fundisho kwa wahuni wengine wenye lengo la kuchafua ligi yetu.
Simba mmekuwa utopolo kuzidi hata Yanga. Yaani mmeogopa kucheza na Yanga mkatengeneza drama makomando feki mseme wametumwa na Yanga kuwazuia ili muingie mitini. Acheni janja janja pelekeni timu mkale kono la nyani.
 
Unaingiza timu kucheza bila kutrain?
Huko mlikokuwa kam
Unaingiza timu kucheza bila kutrain?
Huko walikokuwa siku zote walikuwa wanafanya nini?. Kwenye uwanja wa mkapa mechi kama hizi mwenyeji anakabidhiwa uwanja mnakutana tu siku ya mechi. Mzunguko wa Kwanza Simba alikuwa mwenyeji, YANGA alitokea siku ya mechi tu na mpira ukapigwa. Mikia wasitafute sababu
 
Ahlan bik

Football ukipenda iite Soccer ni mchezo wa kiungwana sana unaozingatia sheria , kanuni na taratibu zilizowekwa na shirikisho la mpira duniani kwa maana ya FIFA na shirikisho la mpira katika nchi husika.

Kanuni zipo wazi kabisa na uongozi wa Yanga unafahamu fika kuwa timu ambayo itakuwa ni mgeni inatakiwa iruhusiwe kufanya mazoezi ya mwisho siku moja kabla ya mechi tena kwa kuzingatia muda ule ule wa mechi.

Simba Sc kwa kulijua hili walifata sheria zote , cha ajabu uongozi wa timu ya Yanga umeamua kufanya uhuni kwa kuweka vikundi vya wahuni wanaodai kuwa ni Makomandoo wa Yanga kwa ajili ya kuulinda uwanja na kupelekea kuzuia timu ya Simba sc isiingie uwanjani kufanya mazoezi.


Wito wangu kwa TFF na Bodi ya Ligi iangalie namna ya kutoa adhabu kali sana kwa uongozi wa timu ya Yanga ili iwe fundisho kwa wahuni wote wanaolenga kuchafua taswira na hadhi ya Ligi kuu ya NBC.

Dunia nzima ilijiandaa leo hii kushuhudia moja kati ya derby kongwe na bora zaidi kutokea katika bara la Africa na dunia nzima. Ila jambo la ajabu na aibu kusikia kuwa mechi hii haitachezwa kutokana na viongozi na uongozi wa timu ya YANGA kufanya uhuni.

Watanzania wengi wamenunua ving'amuzi kwa ajili ya kushuhudia mechi hii , Je nyinyi viongozi wahuni wa Yanga ,mtawalipa nini watanzania waliopoteza pesa zao kwa ajili ya kulipia ada ya ving'amuzi??

Kuna wanachama na mashabiki wenu wamesafiri kutoka mikoa mbalimbali kuja Dar-es-salaam toka juzi kuja kushuhudia moja ya tukio hili la kihistoria ila chakusikitisha wanakuja kuambiwa kuwa mechi haitakuwepo. Je mnawalipa nini hawa wanachama wenu waliopoteza nauli, gharama za malazi na vyakula na kikubwa zaidi muda wao kuja kushudia mechi hii???

Uongozi wa Yanga umefanya makusudi kabisa kwasababu walikuwa na uwezo wa kuwasiliana na wahuni wao waliowaandaa kuharibu mechi kuwa waruhusu msafara wa Simba sc uingie uwanjani.Ila cha ajabu hawakufanya hivyo na ni wazi tukio hili limeonesha dhamira yao ya kuamini imani potofu za kishirikina na pia kuharibu mechi.

Kuna viongozi wa FIFA na CAF pamoja na waandishi wa habari wa kimataifa wamesafiri kutoka mataifa yao kuja kushuhudia mechi hii live ila cha ajabu wanaambiwa kuwa mechi haitafanyika.

TFF na TPBL msipochukua hatua kali za kinidhamu dhidi ya timu ya YANGA ,tambueni kuwa taifa zima litajua kuwa mnashirikiana na wahalifu hawa wa jangwani kuchafua taswira na hadhi ya moja ya ligi bora zaidi hapa barani Africa.

Wapo mashabiki wa timu hizi mbili walionunua tiketi kwa ajili ya kuingia uwanjani kuishuhudia hii Derby..Je pesa zao mnawarudishia?

Wasimamizi wa uwanja pia wametumia gharama zao kwa ajili ya kuhakikisha mechi hii inachezwa katika mazingira mazuri, Je Yanga mtarudisha gharama zao.?

TFF toeni adhabu kali kwa Yanga unaoongozwa na mwenyekiti wa vilabu barani Africa , Hersi Saidi. ili iwe fundisho kwa wahuni wengine wenye lengo la kuchafua ligi yetu.
Hivi kipindi kile Yanga walivyogomea nani alilipa gharama?
 
Wewe nawe kama alivyosema MANARA bado upo kwenye kundi la waliokosa akili
Sasa Manara na mwenyekiti wenu Aden nani yuko sahihi na anawajua watu wake. Manara wakati anaongea hayo maneno alikuwa mwanasimba lakini Aden alikuwa mwenyekiti wa Simba. Alivyosema nyinyi mbumbumbu hakukosea.
 
Ahlan bik

Football ukipenda iite Soccer ni mchezo wa kiungwana sana unaozingatia sheria , kanuni na taratibu zilizowekwa na shirikisho la mpira duniani kwa maana ya FIFA na shirikisho la mpira katika nchi husika.

Kanuni zipo wazi kabisa na uongozi wa Yanga unafahamu fika kuwa timu ambayo itakuwa ni mgeni inatakiwa iruhusiwe kufanya mazoezi ya mwisho siku moja kabla ya mechi tena kwa kuzingatia muda ule ule wa mechi.

Simba Sc kwa kulijua hili walifata sheria zote , cha ajabu uongozi wa timu ya Yanga umeamua kufanya uhuni kwa kuweka vikundi vya wahuni wanaodai kuwa ni Makomandoo wa Yanga kwa ajili ya kuulinda uwanja na kupelekea kuzuia timu ya Simba sc isiingie uwanjani kufanya mazoezi.


Wito wangu kwa TFF na Bodi ya Ligi iangalie namna ya kutoa adhabu kali sana kwa uongozi wa timu ya Yanga ili iwe fundisho kwa wahuni wote wanaolenga kuchafua taswira na hadhi ya Ligi kuu ya NBC.

Dunia nzima ilijiandaa leo hii kushuhudia moja kati ya derby kongwe na bora zaidi kutokea katika bara la Africa na dunia nzima. Ila jambo la ajabu na aibu kusikia kuwa mechi hii haitachezwa kutokana na viongozi na uongozi wa timu ya YANGA kufanya uhuni.

Watanzania wengi wamenunua ving'amuzi kwa ajili ya kushuhudia mechi hii , Je nyinyi viongozi wahuni wa Yanga ,mtawalipa nini watanzania waliopoteza pesa zao kwa ajili ya kulipia ada ya ving'amuzi??

Kuna wanachama na mashabiki wenu wamesafiri kutoka mikoa mbalimbali kuja Dar-es-salaam toka juzi kuja kushuhudia moja ya tukio hili la kihistoria ila chakusikitisha wanakuja kuambiwa kuwa mechi haitakuwepo. Je mnawalipa nini hawa wanachama wenu waliopoteza nauli, gharama za malazi na vyakula na kikubwa zaidi muda wao kuja kushudia mechi hii???

Uongozi wa Yanga umefanya makusudi kabisa kwasababu walikuwa na uwezo wa kuwasiliana na wahuni wao waliowaandaa kuharibu mechi kuwa waruhusu msafara wa Simba sc uingie uwanjani.Ila cha ajabu hawakufanya hivyo na ni wazi tukio hili limeonesha dhamira yao ya kuamini imani potofu za kishirikina na pia kuharibu mechi.

Kuna viongozi wa FIFA na CAF pamoja na waandishi wa habari wa kimataifa wamesafiri kutoka mataifa yao kuja kushuhudia mechi hii live ila cha ajabu wanaambiwa kuwa mechi haitafanyika.

TFF na TPBL msipochukua hatua kali za kinidhamu dhidi ya timu ya YANGA ,tambueni kuwa taifa zima litajua kuwa mnashirikiana na wahalifu hawa wa jangwani kuchafua taswira na hadhi ya moja ya ligi bora zaidi hapa barani Africa.

Wapo mashabiki wa timu hizi mbili walionunua tiketi kwa ajili ya kuingia uwanjani kuishuhudia hii Derby..Je pesa zao mnawarudishia?

Wasimamizi wa uwanja pia wametumia gharama zao kwa ajili ya kuhakikisha mechi hii inachezwa katika mazingira mazuri, Je Yanga mtarudisha gharama zao.?

TFF toeni adhabu kali kwa Yanga unaoongozwa na mwenyekiti wa vilabu barani Africa , Hersi Saidi. ili iwe fundisho kwa wahuni wengine wenye lengo la kuchafua ligi yetu.
Kweli Simba ina mashabiki mbumbumbu. Hivi umesoma walichosema bodi ya ligi? Halafu mfano Yanga ndio wamezuia mazoezi ya Simba, KANUNI ZINASEMAJE?

Hawa kina Magori muda umefika wapumzike sasa.
 
Kama uozo mbona simba hawataki kuleta timu ? Matokeo mabovu kwenye mpira ni matokeo tu, lakin kwakuwa hatukufuzu haimaanishi Yanga ni wa bovu kivile, kama Yanga mbovu sana njooni, ninyi si mlifuzu njoeni tuwakague mlifuzu vipi
Mmekiuka kanuni na taratibu, simba ikaamua idai haki yao.
Haki imeshinda!

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Ahlan bik

Football ukipenda iite Soccer ni mchezo wa kiungwana sana unaozingatia sheria , kanuni na taratibu zilizowekwa na shirikisho la mpira duniani kwa maana ya FIFA na shirikisho la mpira katika nchi husika.

Kanuni zipo wazi kabisa na uongozi wa Yanga unafahamu fika kuwa timu ambayo itakuwa ni mgeni inatakiwa iruhusiwe kufanya mazoezi ya mwisho siku moja kabla ya mechi tena kwa kuzingatia muda ule ule wa mechi.

Simba Sc kwa kulijua hili walifata sheria zote , cha ajabu uongozi wa timu ya Yanga umeamua kufanya uhuni kwa kuweka vikundi vya wahuni wanaodai kuwa ni Makomandoo wa Yanga kwa ajili ya kuulinda uwanja na kupelekea kuzuia timu ya Simba sc isiingie uwanjani kufanya mazoezi.


Wito wangu kwa TFF na Bodi ya Ligi iangalie namna ya kutoa adhabu kali sana kwa uongozi wa timu ya Yanga ili iwe fundisho kwa wahuni wote wanaolenga kuchafua taswira na hadhi ya Ligi kuu ya NBC.

Dunia nzima ilijiandaa leo hii kushuhudia moja kati ya derby kongwe na bora zaidi kutokea katika bara la Africa na dunia nzima. Ila jambo la ajabu na aibu kusikia kuwa mechi hii haitachezwa kutokana na viongozi na uongozi wa timu ya YANGA kufanya uhuni.

Watanzania wengi wamenunua ving'amuzi kwa ajili ya kushuhudia mechi hii , Je nyinyi viongozi wahuni wa Yanga ,mtawalipa nini watanzania waliopoteza pesa zao kwa ajili ya kulipia ada ya ving'amuzi??

Kuna wanachama na mashabiki wenu wamesafiri kutoka mikoa mbalimbali kuja Dar-es-salaam toka juzi kuja kushuhudia moja ya tukio hili la kihistoria ila chakusikitisha wanakuja kuambiwa kuwa mechi haitakuwepo. Je mnawalipa nini hawa wanachama wenu waliopoteza nauli, gharama za malazi na vyakula na kikubwa zaidi muda wao kuja kushudia mechi hii???

Uongozi wa Yanga umefanya makusudi kabisa kwasababu walikuwa na uwezo wa kuwasiliana na wahuni wao waliowaandaa kuharibu mechi kuwa waruhusu msafara wa Simba sc uingie uwanjani.Ila cha ajabu hawakufanya hivyo na ni wazi tukio hili limeonesha dhamira yao ya kuamini imani potofu za kishirikina na pia kuharibu mechi.

Kuna viongozi wa FIFA na CAF pamoja na waandishi wa habari wa kimataifa wamesafiri kutoka mataifa yao kuja kushuhudia mechi hii live ila cha ajabu wanaambiwa kuwa mechi haitafanyika.

TFF na TPBL msipochukua hatua kali za kinidhamu dhidi ya timu ya YANGA ,tambueni kuwa taifa zima litajua kuwa mnashirikiana na wahalifu hawa wa jangwani kuchafua taswira na hadhi ya moja ya ligi bora zaidi hapa barani Africa.

Wapo mashabiki wa timu hizi mbili walionunua tiketi kwa ajili ya kuingia uwanjani kuishuhudia hii Derby..Je pesa zao mnawarudishia?

Wasimamizi wa uwanja pia wametumia gharama zao kwa ajili ya kuhakikisha mechi hii inachezwa katika mazingira mazuri, Je Yanga mtarudisha gharama zao.?

TFF toeni adhabu kali kwa Yanga unaoongozwa na mwenyekiti wa vilabu barani Africa , Hersi Saidi. ili iwe fundisho kwa wahuni wengine wenye lengo la kuchafua ligi yetu.
Club ya wahuni iyo ingefutiliwa mbali
 
Kwani kuna kifungu Cha Sheria au kanuni kinachosema wakati wa kutekeleza Sheria/kanuni au wakati wa kuvunja Sheria/kanuni utoe taarifa.
Hata ukila chakula inabidi utoe taarifa unatekeleza sheria
 
Kwani nyie yanga hamjawahi kuikimbia Simba
Lini ? Rather 3 March 1969 simba halftime akipigwa 3-0 alivyoenda halftime akapotelea msimbazi 😂😂😂😂😂 . Bado tunawasubiri mtajaa kwenye mfumo tu wala hamjakimbia chochoteee...Tano ziko pale pale...
 
Sheria inasema muda kama wa mechi ila siku 1 kabla ndio mazoezi yanafanyika broo. Jitahidi uwe muelewa basi
Haisemi lazima yafanyike ila inasema ni haki ya mgeni kikanuni. Pia kuna utaratibu wake. Lazima timu husika itoe taarifa kwa mwenyeji wa mchezo, kamishna wa mchezo kuwa watautumia uwanja kwaajili ya mazoezi. Simba hawakutoa taarifa popote ili waandaliwe mazingira. Hata taarifa ha bodi inakiri hilo. Msitafute sababu za kitoto. Leo simba kawaingiza watu hasara kubwa sana. Walipe gharama zote
 
Back
Top Bottom