Mikoa wasiyokuwa na mwamko wa elimu kawaida,mwanafunzi anapewa mimba,wazszi wanayamaliza,au kibint ni kimalaya,uyafunga wangapi?Au mwamba alishikiwa kitu kidogo akapoa😂
Kama kweli aliamua kumsamehe bure kabisa ili tu asimharibie kazi yake. Huyo mzazi ni mbinguni moja kwa moja maana huo utakatifu ni level zingine
Mzee umeambiwa aliomba msamaha, utu ni kitu muhimuUmenisikitisha sana kuacha kumuwajibisha huyo ticha anayetaka kukuchapia binti yako,mngetengeneza mtego kupata ushahidi ili akome,
Kama wewe umelea ufirauni hutakiwi kulaumu wengine kushindwa kutimiza wajibu wao
Anaitwa nan ?Huyu Afisa elimu sekondari wilaya ya kilwa anatumia vibaya nafasi aliyonayo hasa kwenye sitahiki za walimu.
Serikali inatoa fedha kwa ajili ya kulipa sitahiki za walimu mfano malipo ya uhamisho na likizo. Mkurugenzi anasaini malipo yanapitishwa.
Hazina wanapeleka kila sitahiki ya watumishi kwa idara husika. Idara zingine wanalipa watumishi wao, idara ya elimu msingi wanalipa walimu vizuri. Ila idara ya elimu sekondari inakuwa kigugumizi kila mwaka.
Afisa Elimu Sekondari Kilwa achunguzwe kwa ubadhilifu huu ikiwezekana atolewe. Tarehe 27/06/2024 malipo yaliidhinishwa na majina ya walimu wanaotakiwa kulipwa yakawekwa hadharani lakini hadi leo malipo hayafanyiki na taarifa kutoka hazina ni kuwa fedha imeshatoka na ipo kwa mkuu wa idara (Afisa elimu)
Huyu Afisa elimu anapiga sana hata fedha kwa ajili ya michezo UMISETA tuhuma ni hizohizo. Walimu wasimamizi wa shughuli hizo za UMISETA wanalalamika kila mwaka. Wakikutana kambini na walimu wa wilaya nyinginezo za mkoa wa Lindi wakilinganisha wanacholipwa na kile ambacho wenzao wanalipwa ni kama mbingu na ardhi.
Mbaya zaidi Walimu wanaogopa kuhoji kwani kuna baadhi yao walihoji na wakajikuta katika bifu kubwa na Huyo afisa elimu. Hivyo wanabaki na vinyongo mioyoni.
Ndio maana issue imeletwa hapa ijadiliwe au wewe ndie DO mwnyewe unataka kutetea usenge wako hapa?utaratibu uko hivyo sawa ila unakiukwa sasa wewe unabisha nini?Kwani pesa za watuishi siku hizi zinalipwa mikononi?nacho fahamu uwa Inaandaliwa barua ya kuomba kiasi fulani cha malipo ikiambatanishwa na paylist ya wausika na akaunti namba zao za benki. Muhasibu elimu iwe msingi au sekondari uandaa hati ya malipo kutoka kwenye bajeti ya idara ya elimu kwa kifungu usika kisha uandaliwa cheque kwenda benki ikiwa na orodha ya walipwaji akaunti zao za benki na kiasi cha malipo kwa kila mmoja. Sasa afisa elimu pesa anaichukuaje?
Mkuu, hongera Kwa kukutana na anayemtaka Binti Yako na akakiri Kisha ukamsamehe.
Binti Yako ni wakishule zaidi na mdau kafa na kuoza kwenye malango Yako.
Lazima wataoana.