KERO Uovu unaoendelea Kivinje Sekondari pamoja na dhuluma ya Afisa Elimu Sekondari Kilwa kwa Walimu

KERO Uovu unaoendelea Kivinje Sekondari pamoja na dhuluma ya Afisa Elimu Sekondari Kilwa kwa Walimu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Au mwamba alishikiwa kitu kidogo akapoa😂
Kama kweli aliamua kumsamehe bure kabisa ili tu asimharibie kazi yake. Huyo mzazi ni mbinguni moja kwa moja maana huo utakatifu ni level zingine
Mikoa wasiyokuwa na mwamko wa elimu kawaida,mwanafunzi anapewa mimba,wazszi wanayamaliza,au kibint ni kimalaya,uyafunga wangapi?
 
Afisa elimu wa kilwa anaitwa nani? Kama ni kweli afisa elimu anawadhulumu walimu basi anatakiwa asimamishwe kazi. Moderation na wahusika wa jamii forum pandisheni huu Uzi uwe public ili viongozi wa mamlaka ya juu waone
 
Wewe unazungumzia kilwa,! bado haujafika Masasi dc?

Yaani upigaji Ni Kama maisha ya kawaida kwa ukanda huu wa kusini.
 
Umenisikitisha sana kuacha kumuwajibisha huyo ticha anayetaka kukuchapia binti yako,mngetengeneza mtego kupata ushahidi ili akome,
Kama wewe umelea ufirauni hutakiwi kulaumu wengine kushindwa kutimiza wajibu wao
Mzee umeambiwa aliomba msamaha, utu ni kitu muhimu
 
Tafute kiongozi wa dini muaminifu mpe pesa asome visomo vya kulaani hayo matendo utaona msoto watakaokula hao wapenda pesa za watu[emoji35][emoji34]
 
Huyu Afisa elimu sekondari wilaya ya kilwa anatumia vibaya nafasi aliyonayo hasa kwenye sitahiki za walimu.

Serikali inatoa fedha kwa ajili ya kulipa sitahiki za walimu mfano malipo ya uhamisho na likizo. Mkurugenzi anasaini malipo yanapitishwa.

Hazina wanapeleka kila sitahiki ya watumishi kwa idara husika. Idara zingine wanalipa watumishi wao, idara ya elimu msingi wanalipa walimu vizuri. Ila idara ya elimu sekondari inakuwa kigugumizi kila mwaka.

Afisa Elimu Sekondari Kilwa achunguzwe kwa ubadhilifu huu ikiwezekana atolewe. Tarehe 27/06/2024 malipo yaliidhinishwa na majina ya walimu wanaotakiwa kulipwa yakawekwa hadharani lakini hadi leo malipo hayafanyiki na taarifa kutoka hazina ni kuwa fedha imeshatoka na ipo kwa mkuu wa idara (Afisa elimu)

Huyu Afisa elimu anapiga sana hata fedha kwa ajili ya michezo UMISETA tuhuma ni hizohizo. Walimu wasimamizi wa shughuli hizo za UMISETA wanalalamika kila mwaka. Wakikutana kambini na walimu wa wilaya nyinginezo za mkoa wa Lindi wakilinganisha wanacholipwa na kile ambacho wenzao wanalipwa ni kama mbingu na ardhi.

Mbaya zaidi Walimu wanaogopa kuhoji kwani kuna baadhi yao walihoji na wakajikuta katika bifu kubwa na Huyo afisa elimu. Hivyo wanabaki na vinyongo mioyoni.
Anaitwa nan ?
 
N
Kwani pesa za watuishi siku hizi zinalipwa mikononi?nacho fahamu uwa Inaandaliwa barua ya kuomba kiasi fulani cha malipo ikiambatanishwa na paylist ya wausika na akaunti namba zao za benki. Muhasibu elimu iwe msingi au sekondari uandaa hati ya malipo kutoka kwenye bajeti ya idara ya elimu kwa kifungu usika kisha uandaliwa cheque kwenda benki ikiwa na orodha ya walipwaji akaunti zao za benki na kiasi cha malipo kwa kila mmoja. Sasa afisa elimu pesa anaichukuaje?
Ndio maana issue imeletwa hapa ijadiliwe au wewe ndie DO mwnyewe unataka kutetea usenge wako hapa?utaratibu uko hivyo sawa ila unakiukwa sasa wewe unabisha nini?
 
Kuwa tetea waalimu ni upumbavu na uzuzu.Kwanza unawezaje kumtetea mtu ambaye kudai haki yake ya msingi hawezi ? Waalimu ni miongoni mwa kada za wapumbavu.
 
Najaribu kuvuta taswira ,hapo ticha anavyoomba msamaha baada ya kugundulika analitaka tunda .

Hakika kwa hizi ngumi nazojifunza naweza piga mtu mpaka nikauwa
Mkuu, hongera Kwa kukutana na anayemtaka Binti Yako na akakiri Kisha ukamsamehe.

Binti Yako ni wakishule zaidi na mdau kafa na kuoza kwenye malango Yako.

Lazima wataoana.
 
Back
Top Bottom