Uozo serikalini umekithiri, mfumo wa ukusanyaji mapato ni dili la wakubwa!

Uozo serikalini umekithiri, mfumo wa ukusanyaji mapato ni dili la wakubwa!

Ndio maana kila siku tunasema, nchi hii ukidhibiti wizi na rushwa, Serikali inaweza kukusanya hela nyingi sana na hata hii miradi mingi inaweza kujengwa kwa hela za ndani.
Utadhibitije kwa mfumo uliopo wa rais kuteua kila mtu? Wizi na rushwa ni matokeo ya mfumo kuwa mbaya.
 
Si laana kama ''umefungwa kamba'' na unakula kulingana na urefu wa kamba yako. Kuna wale wanaoshangilia Makonda kuwa ni mchapakazi mimi ndiyo huwa nawaonea huruma kweli kweli. Siku wakija kugutuka mazingaombwe wanayofanyiwa watakuwa tayari wamepigwa!!!
Jinsi mambo yanavyoenda Tz ni hovyo sana

Kama Lucas Mwashambwa
 
Haiwezekani mpaka sasa Dar na Mwanza hawajachunguzwa
Yaani majiji makubwa ndio kabisa
Tusubiri majibu au wanayaogopa maana ndio kwa wanene wenye vitambi
 
Huu mfumo nahisi utakuwa na waziri ya minoti, mwezi wa kwanza, waziri mukubwa (maana huyu cha kwanza alisambaratisha kitengo cha risk pale wizara ya noti, kumbe wana li mufumo la kukusanya minoti nje ya mufumo wa serikali). Ila mi namhurumia sana Dkt Samia, alidhani anapambana na Dkt Magufuli kumbe anapambana na wanandani wake ambao alihisi adui yao ni Dkt Magufuli kumbe ni yeye Dkt Samia na aliwasaidia tu kukamilisha kazi yao ya kumdhihaki Dkt Magufuli akiwa ktk umauti. Sasa sijui itakuwaje maana wenzake inaonekana wana minoti yeye Dkt Magufuli keshamdhalilisha na wananchi hawampendi na wenzake wapo pale wanamuangalia tu
Nami nahisi hivyo, lazima iko namna.
Mapato illegal.hayawezi kukusanywa kirahisi hivyo.
 
Bila kuiondoa CCM na kubadili mifumo hakuna kitakachobadilika, Tanzania sio maskini hivyo ni CCM na serikali yake ndio wanatuletea umaskini na dhuluma za haki Kwa wananchi, tuiondoe CCM kwanza halafu tuanze kupigania mifumo gani tuweke na namna ya kuisimamia, ni aibu tupu nchi sasa uchawa ni ajira kubwa
aisee ni aibu kubwa babalevo na mwijaku wameliharibu taifa
 
Huu wizi umezidi, na tunauchekea kama hatuna akili nzuri.

Mtu ataanzishaje mfumo wa ukusanyaji mapato na kutengeneza namb za slio wa kutuma daa za serikai?

Hapa wakubwa wanahusika!
Lililotokea Mbeya na Arusha ukusanyaji mapato kwa kughushi data, ni lazima ni tatizo la nchi nzima.
Hivo wiki HII mwenye nchi atakuwa chimbo Gani? Naambiwa weekend alikuwa Kwa Hamo
 
Jambo hilo halipo, CCM hatuwezi ondoka, sema viongozi wabovu, wezi na wala rushwa inabidi waondoke CCM kwa njia yeyote na wafungwe
Bila wezi na Wala rushwa ccm haiwezi kuwepo.
 
Back
Top Bottom