macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Utadhibitije kwa mfumo uliopo wa rais kuteua kila mtu? Wizi na rushwa ni matokeo ya mfumo kuwa mbaya.Ndio maana kila siku tunasema, nchi hii ukidhibiti wizi na rushwa, Serikali inaweza kukusanya hela nyingi sana na hata hii miradi mingi inaweza kujengwa kwa hela za ndani.
Jinsi mambo yanavyoenda Tz ni hovyo sanaSi laana kama ''umefungwa kamba'' na unakula kulingana na urefu wa kamba yako. Kuna wale wanaoshangilia Makonda kuwa ni mchapakazi mimi ndiyo huwa nawaonea huruma kweli kweli. Siku wakija kugutuka mazingaombwe wanayofanyiwa watakuwa tayari wamepigwa!!!
Hakuna jipya hapa Bongo, utashangaa lishaisha mkuuDah!Si ndiyo mtakuta wamelala mbele na mapato yote?
Nami nahisi hivyo, lazima iko namna.Huu mfumo nahisi utakuwa na waziri ya minoti, mwezi wa kwanza, waziri mukubwa (maana huyu cha kwanza alisambaratisha kitengo cha risk pale wizara ya noti, kumbe wana li mufumo la kukusanya minoti nje ya mufumo wa serikali). Ila mi namhurumia sana Dkt Samia, alidhani anapambana na Dkt Magufuli kumbe anapambana na wanandani wake ambao alihisi adui yao ni Dkt Magufuli kumbe ni yeye Dkt Samia na aliwasaidia tu kukamilisha kazi yao ya kumdhihaki Dkt Magufuli akiwa ktk umauti. Sasa sijui itakuwaje maana wenzake inaonekana wana minoti yeye Dkt Magufuli keshamdhalilisha na wananchi hawampendi na wenzake wapo pale wanamuangalia tu
aisee ni aibu kubwa babalevo na mwijaku wameliharibu taifaBila kuiondoa CCM na kubadili mifumo hakuna kitakachobadilika, Tanzania sio maskini hivyo ni CCM na serikali yake ndio wanatuletea umaskini na dhuluma za haki Kwa wananchi, tuiondoe CCM kwanza halafu tuanze kupigania mifumo gani tuweke na namna ya kuisimamia, ni aibu tupu nchi sasa uchawa ni ajira kubwa
Hivo wiki HII mwenye nchi atakuwa chimbo Gani? Naambiwa weekend alikuwa Kwa HamoHuu wizi umezidi, na tunauchekea kama hatuna akili nzuri.
Mtu ataanzishaje mfumo wa ukusanyaji mapato na kutengeneza namb za slio wa kutuma daa za serikai?
Hapa wakubwa wanahusika!
Lililotokea Mbeya na Arusha ukusanyaji mapato kwa kughushi data, ni lazima ni tatizo la nchi nzima.
Bila wezi na Wala rushwa ccm haiwezi kuwepo.Jambo hilo halipo, CCM hatuwezi ondoka, sema viongozi wabovu, wezi na wala rushwa inabidi waondoke CCM kwa njia yeyote na wafungwe