Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wonders shall never endsHuyu jamaa kapinda kweli kweli! Naye ni nabii? Anahubiri ngono??
Ndiyo Ukweli Wenyewe[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Wakitoka hapo waumini wote boxer na Pichu zimeloa
Daahh Dunia inakwenda Kasi Sana yaani mambo Kama haya yana diskasiwa hadharani hivi ...OMG
[emoji16][emoji16]Happy Kuna sadaka ya kutolewa, sadaka ya kuboresha tendo la ndoa, kuongeza nguvu za kiume na kuongeza sperm count.
Hallelujah
Aibu nimeona Mimi [emoji16]Ndiyo Ukweli Wenyewe
Pasta kashukiwa na upako wa kuaibishaAibu nimeona Mimi [emoji16]
Nabii kakasirishwa sana na kifo Cha mende, Sasa Ni wakati wa kuwafundisha waumini style zenye upako kama ile style ya kijanja popo kanyea mbingu
View attachment 1658284
Pasta kashukiwa na upako wa kuaibishaAibu nimeona Mimi![]()
Kanenepa Hadi menoMiaka michache nyuma jamaa alikuwa kimbau mbau na mweye pua ndefu,nyembamba. Ajabu kanenepa kuanzia "pua" kiasi cha kupoteza uwezo wa kunusa! Kibwetere in making.
Mwingine huyu hapa
Happy birthday to youHeeeh kumekucha sasa,
Dunia simama nishuke.
Yajayo yanaogopesha.
Tanxieeeeh moaah [emoji120][emoji120][emoji120]Happy birthday to you