mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Ateba leo watamwona live maana wamekuwa wakimsikia tu!! Simba 3 - Yanga 0, na Ateba atafunga mawili. Poleni uto!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuanzia leo, uto ni MBELE MWIKO!!Simba mnajiamin sana,sjui kwann
Ni kweli!! Japo ni wachezaji wengi wana hulka ya uchoyo!! WAchezaji kama Chama wasiokuwa hata na chembe ya uchoyo ni adimu sana!!wanaomlisha huyo Ateba ni wachoyo, wabnafsi wanapiga changa weee mpaka wanany`ang`anya mpira hampi pasi huyo Ateba nao ni Okejepha na Ahua ni wachoyo
Leo ndio atajua kwa nini Diara huwa anafika mpaka mstari wa katikati ya uwanja kupokea pass. Sisi hatujali kufunga kwake, akifunga goli moja tunamlipa mawili akifunga mawili tunamlipa manne. Amuulize Fei na KibuAteba leo watamwona live maana wamekuwa wakimsikia tu!! Simba 3 - Yanga 0, na Ateba atafunga mawili. Poleni uto!!
Heheheee...Ateba leo watamwona live maana wamekuwa wakimsikia tu!! Simba 3 - Yanga 0, na Ateba atafunga mawili. Poleni uto!!
Na leo lazima aanze. Maana historia inambeba.Heheheee...
Tunauwakika team ipo na tutawashangaza leo....😃Simba mnajiamin sana,sjui kwann
Mtaongea vyote ila mpira dakika 90'Baada ya dakika 90 utashangaa mnaanza kumtukana tena huyo Atteba kama ni garasa! Mara Mo aturudishie timu yetu! Mara hatumtaki Mangungu!! Mara oooh!! Yule kocha Fadlu Davis hafai, bora Mgunda!!
Kwa kweli aliyewaita mbumbumbu mashabiki wa simba aliwaza mbali sana.
Muhimu tu, kelele zisiwepo baada ya hizo dakika 90.Mtaongea vyote ila mpira dakika 90'
Upo sahihi, leo Chura watatoka nje wamelowa.Ateba leo watamwona live maana wamekuwa wakimsikia tu!! Simba 3 - Yanga 0, na Ateba atafunga mawili. Poleni uto!!