Upande wa ukingo wa Magharibi aliko Mahmoud Abbas wana vita vyengine vikali kuliko vya Gaza

Upande wa ukingo wa Magharibi aliko Mahmoud Abbas wana vita vyengine vikali kuliko vya Gaza

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Vita vya upande wa Gaza vimepata umaarufu kwa vile ni vya wazi na athari zake zinaoneshwa kwa ulimwengu mzima, lakini kumbe vita vinavyoendelea kimya kimya kule ukingo wa Magharibi na Mashariki ya Jerusalem ni vikubwa zaidi.

Eneo hilo miaka michache iliyopita lilikuwa ni ardhi kubwa iliyoshikana na yote ikijulikana kama maeneo ya Wapalestina. Miji yake maarufu ambayo wengi watakuwa wanaikumbuka ni kama vile Ramallah, Jeusalem, Jeriko, Jenin na kuendelea.

Katika uporaji ambao umefanyika na unaendelea kila siku maeneo hayo yate, yamechongwa kwa vizuizi vya kuta na madaraja kiasi kwamba familia kadhaa haziwezi tena kutembeleana bila kupata ruhusa za askari wa Israel.

Utenganishwaji huo haujakoma katu, kila baada ya muda mfupi familia zilizobaki hupokea nyaraka za kuwataka wahame ili kupisha ujenzi wa makaazi mapya ya familia za Kiyahudi.

Familia zinazokaidi amri hizo kwa hoja hapo ni kwao au hawana pa kwenda hupewa tarehe maalum za kuja kuvunjwa kwa nguvu majengo yao na kweli huvunjwa na wao kuelekea kwa wenzao kabla nako hawajapewa amri nyengine za kuhama.

Ubaya wa vita vinavyoendelea kingo za Magharibi ni kwamba hutekelezwa kwa namna mbili; kuna amri za kiserikali na amri za walowezi ambao wote wamepewa silaha za moto. Ili kurahisisha kazi zao mara nyingi walowezi hao huvaa sare za jeshi au huambatana na majeshi halisi kutekeleza uporaji wao.

Tangu kutokea kwa shambulio la Hamas ndani ya Israel hapo Oktoba 7 hali imekuwa mbaya zaidi. Kwa mfano, kwenye kijiji cha Qusra familia za Kipalestina zimekuwa zikivamiwa kwenye majumba na mashamba yao ya zaituni na kuuliwa.

Familia moja ya kijiji hicho baada ya kushambuliwa bila sababu na watoto wao kuuliwa walikwenda kufuata maiti kwenye hospitali moja nje ya kijiji. Safari hiyo tofauti na kawaida ya misafara yoo ambapo hupeperusha bendera za taifa la Palestina, waliamua kutoweka bendera. Pamoja na hivyo walowezi waliwafahamu na kuwashambulia na kuua wana familila wengine.

Wapalestina wa maeneo hayo wanasema mikasa ya aina hiyo ni endelevu bila ya msaada wowote na kwamba kila siku wanazidi kuminywa kwenye maeneo finyu yasiyo na huduma nzuri na mwishowe kupoteza ardhi zao kabisa.

1697896067211.png

1697896114005.png


BBC:

Palestinians under attack as settler violence surges in the West Bank

1697958637033.png
 
Vita vya upande wa Gaza vimepata umaarufu kwa vile ni vya wazi na athari zake zinaoneshwa kwa ulimwengu mzima, lakini kumbe vita vinavyoendelea kimya kimya kule ukingo wa Magharibi na Mashariki ya Jerusalem ni vikubwa zaidi.

Eneo hilo miaka michache iliyopita lilikuwa ni ardhi kubwa iliyoshikana na yote ikijulikana kama maeneo ya Wapalestina. Miji yake maarufu ambayo wengi watakuwa wanaikumbuka ni kama vile Ramallah, Jeusalem, Jeriko, Jenin na kuendelea.

Katika uporaji ambao umefanyika na unaendelea kila siku maeneo hayo yate, yamechongwa kwa vizuizi vya kuta na madaraja kiasi kwamba familia kadhaa haziwezi tena kutembeleana bila kupata ruhusa za askari wa Israel.

Utenganishwaji huo haujakoma katu, kila baada ya muda mfupi familia zilizobaki hupokea nyaraka za kuwataka wahame ili kupisha ujenzi wa makaazi mapya ya familia za Kiyahudi.

Familia zinazokaidi amri hizo kwa hoja hapo ni kwao au hawana pa kwenda hupewa tarehe maalum za kuja kuvunjwa kwa nguvu majengo yao na kweli huvunjwa na wao kuelekea kwa wenzao kabla nako hawajapewa amri nyengine za kuhama.

Ubaya wa vita vinavyoendelea kingo za Magharibi ni kwamba hutekelezwa kwa namna mbili; kuna amri za kiserikali na amri za walowezi ambao wote wamepewa silaha za moto. Ili kurahisisha kazi zao mara nyingi walowezi hao huvaa sare za jeshi au huambatana na majeshi halisi kutekeleza uporaji wao.

Tangu kutokea kwa shambulio la Hamas ndani ya Israel hapo Oktoba 7 hali imekuwa mbaya zaidi. Kwa mfano, kwenye kijiji cha Qusra familia za Kipalestina zimekuwa zikivamiwa kwenye majumba na mashamba yao ya zaituni na kuuliwa.

Familia moja ya kijiji hicho baada ya kushambuliwa bila sababu na watoto wao kuuliwa walikwenda kufuata maiti kwenye hospitali moja nje ya kijiji. Safari hiyo tofauti na kawaida ya misafara yoo ambapo hupeperusha bendera za taifa la Palestina, waliamua kutoweka bendera. Pamoja na hivyo walowezi waliwafahamu na kuwashambulia na kuua wana familila wengine.

Wapalestina wa maeneo hayo wanasema mikasa ya aina hiyo ni endelevu bila ya msaada wowote na kwamba kila siku wanazidi kuminywa kwenye maeneo finyu yasiyo na huduma nzuri na mwishowe kupoteza ardhi zao kabisa.

View attachment 2788291
View attachment 2788295

BBC:

Palestinians under attack as settler violence surges in the West Bank

yote haya mliyataka mwala 1948 mlikuwa na eneo kubwa ila waislam/waarabu msivyo wa kulizika basi mkataman kaeneo kadogo ka waisrael bas na alipowadunda mwacheni ajitanue si mlikuwa fikra hiyo hiyo au mmesahau , UBAYA ULIPWA KWA UBAYA
 
Mjue tu nani gaidi wa kweli.Umeona huyo mzee hapo juu anavyopigwa mawe na vijana wa kiyahudi.Atawaweza wapi hao.Na kesho kama hakufa hatokuja tena shambani kwake.
kwann wkt hao vijana wanajuwa huyo mzee anawatunza watu wanaoshambulia israel kila siku ?
 
Vita vya upande wa Gaza vimepata umaarufu kwa vile ni vya wazi na athari zake zinaoneshwa kwa ulimwengu mzima, lakini kumbe vita vinavyoendelea kimya kimya kule ukingo wa Magharibi na Mashariki ya Jerusalem ni vikubwa zaidi.

Eneo hilo miaka michache iliyopita lilikuwa ni ardhi kubwa iliyoshikana na yote ikijulikana kama maeneo ya Wapalestina. Miji yake maarufu ambayo wengi watakuwa wanaikumbuka ni kama vile Ramallah, Jeusalem, Jeriko, Jenin na kuendelea.

Katika uporaji ambao umefanyika na unaendelea kila siku maeneo hayo yate, yamechongwa kwa vizuizi vya kuta na madaraja kiasi kwamba familia kadhaa haziwezi tena kutembeleana bila kupata ruhusa za askari wa Israel.

Utenganishwaji huo haujakoma katu, kila baada ya muda mfupi familia zilizobaki hupokea nyaraka za kuwataka wahame ili kupisha ujenzi wa makaazi mapya ya familia za Kiyahudi.

Familia zinazokaidi amri hizo kwa hoja hapo ni kwao au hawana pa kwenda hupewa tarehe maalum za kuja kuvunjwa kwa nguvu majengo yao na kweli huvunjwa na wao kuelekea kwa wenzao kabla nako hawajapewa amri nyengine za kuhama.

Ubaya wa vita vinavyoendelea kingo za Magharibi ni kwamba hutekelezwa kwa namna mbili; kuna amri za kiserikali na amri za walowezi ambao wote wamepewa silaha za moto. Ili kurahisisha kazi zao mara nyingi walowezi hao huvaa sare za jeshi au huambatana na majeshi halisi kutekeleza uporaji wao.

Tangu kutokea kwa shambulio la Hamas ndani ya Israel hapo Oktoba 7 hali imekuwa mbaya zaidi. Kwa mfano, kwenye kijiji cha Qusra familia za Kipalestina zimekuwa zikivamiwa kwenye majumba na mashamba yao ya zaituni na kuuliwa.

Familia moja ya kijiji hicho baada ya kushambuliwa bila sababu na watoto wao kuuliwa walikwenda kufuata maiti kwenye hospitali moja nje ya kijiji. Safari hiyo tofauti na kawaida ya misafara yoo ambapo hupeperusha bendera za taifa la Palestina, waliamua kutoweka bendera. Pamoja na hivyo walowezi waliwafahamu na kuwashambulia na kuua wana familila wengine.

Wapalestina wa maeneo hayo wanasema mikasa ya aina hiyo ni endelevu bila ya msaada wowote na kwamba kila siku wanazidi kuminywa kwenye maeneo finyu yasiyo na huduma nzuri na mwishowe kupoteza ardhi zao kabisa.

View attachment 2788291
View attachment 2788295

BBC:

Palestinians under attack as settler violence surges in the West Bank

Miakili mingi 😂😂😂😂
 
Vita vya upande wa Gaza vimepata umaarufu kwa vile ni vya wazi na athari zake zinaoneshwa kwa ulimwengu mzima, lakini kumbe vita vinavyoendelea kimya kimya kule ukingo wa Magharibi na Mashariki ya Jerusalem ni vikubwa zaidi.

Eneo hilo miaka michache iliyopita lilikuwa ni ardhi kubwa iliyoshikana na yote ikijulikana kama maeneo ya Wapalestina. Miji yake maarufu ambayo wengi watakuwa wanaikumbuka ni kama vile Ramallah, Jeusalem, Jeriko, Jenin na kuendelea.

Katika uporaji ambao umefanyika na unaendelea kila siku maeneo hayo yate, yamechongwa kwa vizuizi vya kuta na madaraja kiasi kwamba familia kadhaa haziwezi tena kutembeleana bila kupata ruhusa za askari wa Israel.

Utenganishwaji huo haujakoma katu, kila baada ya muda mfupi familia zilizobaki hupokea nyaraka za kuwataka wahame ili kupisha ujenzi wa makaazi mapya ya familia za Kiyahudi.

Familia zinazokaidi amri hizo kwa hoja hapo ni kwao au hawana pa kwenda hupewa tarehe maalum za kuja kuvunjwa kwa nguvu majengo yao na kweli huvunjwa na wao kuelekea kwa wenzao kabla nako hawajapewa amri nyengine za kuhama.

Ubaya wa vita vinavyoendelea kingo za Magharibi ni kwamba hutekelezwa kwa namna mbili; kuna amri za kiserikali na amri za walowezi ambao wote wamepewa silaha za moto. Ili kurahisisha kazi zao mara nyingi walowezi hao huvaa sare za jeshi au huambatana na majeshi halisi kutekeleza uporaji wao.

Tangu kutokea kwa shambulio la Hamas ndani ya Israel hapo Oktoba 7 hali imekuwa mbaya zaidi. Kwa mfano, kwenye kijiji cha Qusra familia za Kipalestina zimekuwa zikivamiwa kwenye majumba na mashamba yao ya zaituni na kuuliwa.

Familia moja ya kijiji hicho baada ya kushambuliwa bila sababu na watoto wao kuuliwa walikwenda kufuata maiti kwenye hospitali moja nje ya kijiji. Safari hiyo tofauti na kawaida ya misafara yoo ambapo hupeperusha bendera za taifa la Palestina, waliamua kutoweka bendera. Pamoja na hivyo walowezi waliwafahamu na kuwashambulia na kuua wana familila wengine.

Wapalestina wa maeneo hayo wanasema mikasa ya aina hiyo ni endelevu bila ya msaada wowote na kwamba kila siku wanazidi kuminywa kwenye maeneo finyu yasiyo na huduma nzuri na mwishowe kupoteza ardhi zao kabisa.

View attachment 2788291
View attachment 2788295

BBC:

Palestinians under attack as settler violence surges in the West Bank

Sisi wayahudi tunajua panaitwa Judea and Samaria.

I FIRMLY STAND WITH ISRAEL.

ISRAEL THE LAND JEWS THE PEOPLE
 
Pole sana ni wakati sasa wa kwenda kuchukua passport na kwenda kuwapambania ndugu zako,kupiga kelele humu jf haitokusaidia kitu mana kila siku wanazidi kuangamizwa na kupoteza makazi yao.
 
Back
Top Bottom