Upande wa ukingo wa Magharibi aliko Mahmoud Abbas wana vita vyengine vikali kuliko vya Gaza

Upande wa ukingo wa Magharibi aliko Mahmoud Abbas wana vita vyengine vikali kuliko vya Gaza

Vita vya upande wa Gaza vimepata umaarufu kwa vile ni vya wazi na athari zake zinaoneshwa kwa ulimwengu mzima, lakini kumbe vita vinavyoendelea kimya kimya kule ukingo wa Magharibi na Mashariki ya Jerusalem ni vikubwa zaidi.

Eneo hilo miaka michache iliyopita lilikuwa ni ardhi kubwa iliyoshikana na yote ikijulikana kama maeneo ya Wapalestina. Miji yake maarufu ambayo wengi watakuwa wanaikumbuka ni kama vile Ramallah, Jeusalem, Jeriko, Jenin na kuendelea.

Katika uporaji ambao umefanyika na unaendelea kila siku maeneo hayo yate, yamechongwa kwa vizuizi vya kuta na madaraja kiasi kwamba familia kadhaa haziwezi tena kutembeleana bila kupata ruhusa za askari wa Israel.

Utenganishwaji huo haujakoma katu, kila baada ya muda mfupi familia zilizobaki hupokea nyaraka za kuwataka wahame ili kupisha ujenzi wa makaazi mapya ya familia za Kiyahudi.

Familia zinazokaidi amri hizo kwa hoja hapo ni kwao au hawana pa kwenda hupewa tarehe maalum za kuja kuvunjwa kwa nguvu majengo yao na kweli huvunjwa na wao kuelekea kwa wenzao kabla nako hawajapewa amri nyengine za kuhama.

Ubaya wa vita vinavyoendelea kingo za Magharibi ni kwamba hutekelezwa kwa namna mbili; kuna amri za kiserikali na amri za walowezi ambao wote wamepewa silaha za moto. Ili kurahisisha kazi zao mara nyingi walowezi hao huvaa sare za jeshi au huambatana na majeshi halisi kutekeleza uporaji wao.

Tangu kutokea kwa shambulio la Hamas ndani ya Israel hapo Oktoba 7 hali imekuwa mbaya zaidi. Kwa mfano, kwenye kijiji cha Qusra familia za Kipalestina zimekuwa zikivamiwa kwenye majumba na mashamba yao ya zaituni na kuuliwa.

Familia moja ya kijiji hicho baada ya kushambuliwa bila sababu na watoto wao kuuliwa walikwenda kufuata maiti kwenye hospitali moja nje ya kijiji. Safari hiyo tofauti na kawaida ya misafara yoo ambapo hupeperusha bendera za taifa la Palestina, waliamua kutoweka bendera. Pamoja na hivyo walowezi waliwafahamu na kuwashambulia na kuua wana familila wengine.

Wapalestina wa maeneo hayo wanasema mikasa ya aina hiyo ni endelevu bila ya msaada wowote na kwamba kila siku wanazidi kuminywa kwenye maeneo finyu yasiyo na huduma nzuri na mwishowe kupoteza ardhi zao kabisa.

View attachment 2788291
View attachment 2788295

BBC:

Palestinians under attack as settler violence surges in the West Bank

Wakati haya yanaganywa serikali ya Palestina inakuwa wapi?
 
H

Hata wayahudi walivyokuwa wanamsulubisha yesu mlimuuliza hvyo hvyo kapgwa mpk kafa mmeshindwa kumsaidia halafu sasa hv mnasema damu yake imewakomboa

Kifo cha Yesu kilikua kafara ya kuondoa dhambi,hivyo kupitia damu yake wote waamini kwake wamepokea msamaha wa dhambi kwa neema,

Tofauti kubwa kati ya Yesu na mitume wengine ikiwepo mtume wa mchongo mudi pedophilia ni kwamba kaburi la Yesu liko wazi aliishinda mauti na sasa yu hai katika mkono wa kuume wa Mungu akihukumu mataifa kwa haki.

Pona yako ni kumkiri na mumfuata Yesu kristo.
 
Vita vya upande wa Gaza vimepata umaarufu kwa vile ni vya wazi na athari zake zinaoneshwa kwa ulimwengu mzima, lakini kumbe vita vinavyoendelea kimya kimya kule ukingo wa Magharibi na Mashariki ya Jerusalem ni vikubwa zaidi.

Eneo hilo miaka michache iliyopita lilikuwa ni ardhi kubwa iliyoshikana na yote ikijulikana kama maeneo ya Wapalestina. Miji yake maarufu ambayo wengi watakuwa wanaikumbuka ni kama vile Ramallah, Jeusalem, Jeriko, Jenin na kuendelea.

Katika uporaji ambao umefanyika na unaendelea kila siku maeneo hayo yate, yamechongwa kwa vizuizi vya kuta na madaraja kiasi kwamba familia kadhaa haziwezi tena kutembeleana bila kupata ruhusa za askari wa Israel.

Utenganishwaji huo haujakoma katu, kila baada ya muda mfupi familia zilizobaki hupokea nyaraka za kuwataka wahame ili kupisha ujenzi wa makaazi mapya ya familia za Kiyahudi.

Familia zinazokaidi amri hizo kwa hoja hapo ni kwao au hawana pa kwenda hupewa tarehe maalum za kuja kuvunjwa kwa nguvu majengo yao na kweli huvunjwa na wao kuelekea kwa wenzao kabla nako hawajapewa amri nyengine za kuhama.

Ubaya wa vita vinavyoendelea kingo za Magharibi ni kwamba hutekelezwa kwa namna mbili; kuna amri za kiserikali na amri za walowezi ambao wote wamepewa silaha za moto. Ili kurahisisha kazi zao mara nyingi walowezi hao huvaa sare za jeshi au huambatana na majeshi halisi kutekeleza uporaji wao.

Tangu kutokea kwa shambulio la Hamas ndani ya Israel hapo Oktoba 7 hali imekuwa mbaya zaidi. Kwa mfano, kwenye kijiji cha Qusra familia za Kipalestina zimekuwa zikivamiwa kwenye majumba na mashamba yao ya zaituni na kuuliwa.

Familia moja ya kijiji hicho baada ya kushambuliwa bila sababu na watoto wao kuuliwa walikwenda kufuata maiti kwenye hospitali moja nje ya kijiji. Safari hiyo tofauti na kawaida ya misafara yoo ambapo hupeperusha bendera za taifa la Palestina, waliamua kutoweka bendera. Pamoja na hivyo walowezi waliwafahamu na kuwashambulia na kuua wana familila wengine.

Wapalestina wa maeneo hayo wanasema mikasa ya aina hiyo ni endelevu bila ya msaada wowote na kwamba kila siku wanazidi kuminywa kwenye maeneo finyu yasiyo na huduma nzuri na mwishowe kupoteza ardhi zao kabisa.

View attachment 2788291
View attachment 2788295

BBC:

Palestinians under attack as settler violence surges in the West Bank

Dunia imewasahau Wapalestina, hii sio haki
 
Ramallah, Jeusalem, Jeriko, Jenin na kuendelea.
Hii miji yote ni ya wayahudi.Kusema mtu anakalia kimabavu maeneo yake ni kumkosea adabu.Jerusalem ni mji wa mfalme Daudi.Daudi hakuwa mpalestina bali ni myahudi.Ramallah, Westbank inaitwa Hebron,ambapo mfalme Daudi alitawala kabla ya kuhamia Jerusalem.Nitaweka ushahidi wa kibiblia ambayo ilikuwepo miaka mingi kabla ya Quran 🤔
.....
2 Samuel 5:4-5

Daudi alikuwa amepata miaka thelathini alipoanza kutawala, akatawala miaka arobaini.
Huko Hebroni alitawala miaka saba na miezi sita; na katika Yerusalemu alitawala miaka thelathini na tatu juu ya Israeli wote na Yuda. Yerusalemu Wafanywa Makao Makuu
 
Huu si utu!

Hata kama huwapendi!
nimesema hivi kwasababu hata kama Tanzania ingekuwa imepakana na israel, hatuna la kufanya, hatuwezi kuipiga israel na wala kuwasaidia chochote. kama misri taifa kubwa kama lile limefyata mkia, sasa sisi tulioko huku gongolamboto tutatoa msaada gani. hatuna la kufanya.
 
nimesema hivi kwasababu hata kama Tanzania ingekuwa imepakana na israel, hatuna la kufanya, hatuwezi kuipiga israel na wala kuwasaidia chochote. kama misri taifa kubwa kama lile limefyata mkia, sasa sisi tulioko huku gongolamboto tutatoa msaada gani. hatuna la kufanya.
Basi angalau ungelitoa maneno ya namna hii isingelikuwa tabu.

Ila kauli ya awali haikuwa yenye afya! Kwa sababu pande zote mbili wanauwana. Haitakuwa vizuri kwa binadamu kutoa maoni ya namna ile ukizingatia kuna umwagaji wa damu kwa pande zote mbili.
 
Mtaandika andika ila ndio hivyo, mliyataka na mumeyapata na mtaendelea kuyapata.
 
Back
Top Bottom