Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi ni mwafrica babu. Nachosema achen kushobokea waarabu. Tuna matatizo mengi yetu ya kufuatilia mnaenda kushobokea wanaume. Waarabu wanawaua wanubia hapo Darfur wanachukua nyumba zao mko kimya eti kapigwa mwarabu huko Palestine ndio mnaona watu wanauwawa. Akili matope. Miafrica bure kabisaWakati ukiandika uangalie mbele na nyuma.Hayo unayosema kama kwamba yanawahusu waarabu pekee na pia huangalii nani mtendaji mkubwa,
Waislamu na waarabu wanaona akiguswa myahudi tu ndio inakuwa balaa.Mbona kila siku wanauliwa na hakuna anayeshughulika na kumtaka muuwaji aheshimu maazimio ya UN.
Hapo Nibia ni vita vya waafrika kwa waafrika waliochochewa na mayahudi na mbeberu wengine. Kama ukiweza kuleta picha zao uweze kufafanua hebu lete.Mi ni mwafrica babu. Nachosema achen kushobokea waarabu. Tuna matatizo mengi yetu ya kufuatilia mnaenda kushobokea wanaume. Waarabu wanawaua wanubia hapo Darfur wanachukua nyumba zao mko kimya eti kapigwa mwarabu huko Palestine ndio mnaona watu wanauwawa. Akili matope. Miafrica bure kabisa
Unajifanya kujitoa ufahamu sio. Hujui rapid force's waarabu. Wanachowafanyia waafrica weusi hapo Darfur sio. Kwahiyo wayahud wanawatumia waarabu sio. Pumbavu kabisa. Akili za madrasa hizHapo Nibia ni vita vya waafrika kwa waafrika waliochochewa na mayahudi na mbeberu wengine. Kama ukiweza kuleta picha zao uweze kufafanua hebu lete.
Uwanja wa vita nikafanye nini?!Tena ningalikukutana na wewe ktk uwanja wa vita ningalikufyeka mwanza
NImekwambia weka picha umekosa halfu unafoka foka kama mayahudi.Basi kama umeshindwa taja majinaUnajifanya kujitoa ufahamu sio. Hujui rapid force's waarabu. Wanachowafanyia waafrica weusi hapo Darfur sio. Kwahiyo wayahud wanawatumia waarabu sio. Pumbavu kabisa. Akili za madrasa hiz
Tuna Waarabu wa Afrika Kaskazini wamekalia ardhi za Waafrika, hawa nao wanapaswa kuondoka.Mayahudi na washirika wanakalia ardhi za waislam
Unadhani waafrika wote ngozi nyesi kama wewe? Hii dunia umeiumba wewe?Tuna Waarabu wa Afrika Kaskazini wamekalia ardhi za Waafrika, hawa nao wanapaswa kuondoka.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Unadhani waafrika wote ngozi nyesi kama wewe? Hii dunia umeiumba wewe?
Propaganda za magharibi hizo. Kongo wanaua wakiristo mbona mpo kimya hamseni wakiristo wa Kongo wanapigana?Kwamba kuna waafrika weusi?? Janjaweed wanaua waislamu weusi.
Mi nishakupuuza maana kama hujui hata wakimbiz wa kiafrika walioko Chad basi we endelea kuwalamba miguu waarabu.NImekwambia weka picha umekosa halfu unafoka foka kama mayahudi.Basi kama umeshindwa taja majina
kwamba mkipigana mnakuwa mmechochewa , je nyiny mmekosa akili ya kujitambua mpk kila siku nyinyi tu ?Hapo Nibia ni vita vya waafrika kwa waafrika waliochochewa na mayahudi na mbeberu wengine. Kama ukiweza kuleta picha zao uweze kufafanua hebu lete.
hana akili huyoUnajifanya kujitoa ufahamu sio. Hujui rapid force's waarabu. Wanachowafanyia waafrica weusi hapo Darfur sio. Kwahiyo wayahud wanawatumia waarabu sio. Pumbavu kabisa. Akili za madrasa hiz
ww ni mpumbav nenda youtube , reasoning yako ndogo sn , akuwekee picha ya nn? wkt video zipoNImekwambia weka picha umekosa halfu unafoka foka kama mayahudi.Basi kama umeshindwa taja majina
kwahiyo watu mashariki ya kati wote lzm wawe waarabu au waislam ?Unadhani waafrika wote ngozi nyesi kama wewe? Hii dunia umeiumba wewe?
Wapo wakiristo waliokataa uislam. Lkn mashariki ya Kati ndipo walipozaliwa manabiii wotekwahiyo watu mashariki ya kati wote lzm wawe waarabu au waislam ?
kwann muwapinge wayaud kama mmekubali kukaa na wakristu?Wapo wakiristo waliokataa uislam. Lkn mashariki ya Kati ndipo walipozaliwa manabiii wote
Mayahudi wamevamia na wanaunajisi masjid Aqswa. Wanachuki namba 1 dhidi ya waislamkwann muwapinge wayaud kama mmekubali kukaa na wakristu?
Kwa hiyo wewe ndiye uliyeumba dunia ya Wapalestina ??Unadhani waafrika wote ngozi nyesi kama wewe? Hii dunia umeiumba wewe?