Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Wakifanya hivyo itakuwa ni fedheha kwao, nobody atawaamini, haiwezi kutokea kwa utawala huu, enzi za akina Musiba na Bashite may beWasije tu na ushahidi FEKI eti walikuta huyo bazazi kuta zake zimejaa picha za Mbowe na alikuwa ana mawasiliano naye. π©π©π©
Wakipata picha ya MBOWE watuambieHii ndio taarifa mpya inayozunguka mitandaoni kwa sasa , bila shaka jeshi la Polisi linahitaji kufanya upekuzi kwenye nyumba hiyo ili kukusanya ushahidi zaidi na labda kujiridhisha kama kuna magaidi wengine kwenye nyumba hiyo .
Ngoja tuendelee kutega sikio
View attachment 1908119
Slavery mentality itakuisha lini wewe nyumbu?Wacha tuone ila naanza kujiuliza taarifa ya uchunguzi kama itakuwa ni ya kitaalamu au yataibuka mengine.
Zikiibuliwa elements za ugali, nashauri tuwashirikishe FBI maana sisi ........
Nasikia na wewe wanakutafuta.Kwa jinsi hao polisi wana mapepe leo hapo Dar watakamata vijana hovyo.
Wanaweza wakapata ilani ya kile chama kwny hio nyumba.
Usishangae wakaipeleka ilani ya Chadema humo ndani. Na kuibuka na ushahidi. Hao ndio polisi wetu.Wanaweza wakapata ilani ya kile chama kwny hio nyumba.
Ktk kudunguliwa au vp Tena na njemba moja tu.Kila la heri askari wetu!
Iyo kesho asubuhi unaweza kuta asikari wametanda kibao kuanzia moroko hadi posta,askari wetu wanacheza na tukio lilipotokeaKwa jinsi hao polisi wana mapepe leo hapo Dar watakamata vijana hovyo.
Justification?Kuna kitu kinatafutwa...ngoja tuone...ila sijui kwanini nina mashaka sana
View attachment 1908146
Kwa akili mbovu ya Polisi wetu, sintashangaa kusikia watu wote hawa waliopiga picha na huyu jamaa wamekamatwa wako ndani "kuisaidia Polisi"
Hata wewe ukiguswa lazima uwe mkaliiAskari wakiguswa wao huwa wanakuwa serious, nikikumbuka case ya libetatus barlow wa mwanza napata picha
ipige waanze na wewe....haki ukithubu kuipiga na nyumba yako yajakuzingirwaHyo namba natamani nijaribu kuipigaπ€π€π€
Kumbe huyu mshambuliaji ni UVCCM!! CCM wajitafakari.
Huu Ni uhuni
Umataga pori huwa ni ufisi flani hivi.Nasikia na wewe wanakutafuta.