Upanga, Dar: Nyumba aliyodaiwa kuishi aliyewashambulia Polisi yazingirwa na Jeshi la Polisi

Upanga, Dar: Nyumba aliyodaiwa kuishi aliyewashambulia Polisi yazingirwa na Jeshi la Polisi

Hili tukio kusema ukweli linanitia mashaka sana yani nahisi kabisa kama kuna kitu kinatafutwa hapa na kuna mtu anataka kuangushiwa jumba bovu.

Bado nasema kuwaachia wale uhamsho lilikuwa kosa kubwa na la haraka sana na kusema fulani ni gaidi na kwa mazingira yalivyo kwakweli ni kama tulikuwa tunaomba magaidi waje na wamekuja ...
Hili tukio sio la ujambazi hakuna ujambazi wowote hii ni terror act kabisa na huu ndio ugaidi wenyewe....sio kuwaita wengine magaidi.
 
Mbowe anaweza kuwa na makandokando yake kama binadamu mwingine yeyote, even me nina makandokando yangu, ila hawezi kuwa connected na yule kichaa, Mbowe is a smart guy, hilo tutalipinga kwa nguvu zote
Hakika
 
1629910149844.png


Kwa akili mbovu ya Polisi wetu, sintashangaa kusikia watu wote hawa waliopiga picha na huyu jamaa wamekamatwa wako ndani "kuisaidia Polisi"
 
Wasije tu na ushahidi FEKI eti walikuta huyo bazazi kuta zake zimejaa picha za Mbowe na alikuwa ana mawasiliano naye. 😩😩😩
Hii ndio taarifa mpya inayozunguka mitandaoni kwa sasa , bila shaka jeshi la Polisi linahitaji kufanya upekuzi kwenye nyumba hiyo ili kukusanya ushahidi zaidi na labda kujiridhisha kama kuna magaidi wengine kwenye nyumba hiyo .

Ngoja tuendelee kutega sikio

View attachment 1908119
 
Ukitazama picha yake ya leo barabarani muonekano wa ngozi yake ni ama alishinda ndani ya nyumba siku kibao bila kupigwa na jua kali au alikuwa nje ya nchi ambapo kuna baridi huku hakuna mwanga wa jua.

Waswahili (coloured people) wakienda nchi za kaskazini muonekano wa ngozi yao ni tofauti na sisi tunaoshinda ktk nchi za tropiki zenye miali mikali ya jua na joto.

Je gaidi huyu wa CCM alisafiri kwenda nchi zipi na alipita katika border post zipi za mipakani na ktk airport gani za nchini Tanzania na alisafiri kwenda nje kwa shughuli gani?
 
Wacha tuone ila naanza kujiuliza taarifa ya uchunguzi kama itakuwa ni ya kitaalamu au yataibuka mengine.

Zikiibuliwa elements za ugali, nashauri tuwashirikishe FBI maana sisi ........
Kwa walinzi wetu magaidi ni wachumba tu. Kumbuka walivyojalibu Kibiti na Mtwara walifyekwa na wakaufyata. Thamini chako mkuu
 
Back
Top Bottom