SI KWELI Upanga wa aina hii ulitumika na watu wa zamani

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Waliitwa MAJITU (Giants) na kwa mujibu wa Biblia ni Uzao uliopatikana baada ya Malaika walioasi (Fallen angels)kuzaana na binti wana wa Binadamu. (Soma kitabu cha Enock sura ya 6 - 12.)
Kwa hiyo huo upanga wa size hiyo yawezekana ulikuwepo kweli zama hizo ?? 🤔 🤔
 
Picha hii na maandiko yamekuwa yakisambaa mtandaoni, yakielezea dhana ya kwamba watu wa zamani walikuwa wakiishi duniani, na kwamba baadhi ya mabaki ya silaha zao kubwa ambazo zilikuwa zinatumika "upanga" yamepatikana.
Kuwa makini na kila unachokiona mtandanoni. siku hizi kumekuwepo na utitiri wa picha na video ambazo ni AI generated watu wanatafuta followers, comments n.k.
 
Kuwa makini na kila unachokio

kuwa makini na kila unachokiona mtandanoni. siku hizi kumekuwepo na utitiri wa picha na video ambazo ni AI generated watu wanatafuta followers, comments n.k.
Yeah upo sahihi kabisa mkuu.. Dunia inaenda kasi sana kwa teknologia..
 
Kweli media kama hizo CNN na platform nyinginezo wangetoa tamko kuhusu hilo.. ✍️ ✍️
 
Du ndio kama huo mnefili pichani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…