Hali ya kifedha ya timu za zanzibar ni mbaya sana, ni tofauti sana bara, kule hakuna hela ya TV wala mdhamini, nauli za kwenda huko nchi za nje pia ni tatizo. gate collectiion za viwanjani ni 2000/- na hiyo pia viwanja vinakuwa vitupu.
Kwahiyo wakicheza sehemu kama nchi za kiarabu wananufaika zaidi.
mechi yao ya home ikichezwa arabuni uwanja unapata mashabiki vizuri tu hivyo wanapata mgao mzuri wa gate collection. na pia usikute wapinzani wao pia huwagaia chochote mana mechi zote mbili wanapata kucheza kwao nao wana save gharama za kuwafata,