Upangaji wa matokeo na rushwa itaangamiza soka Zanzibar Kimataifa

Upangaji wa matokeo na rushwa itaangamiza soka Zanzibar Kimataifa

Hali ya kifedha ya timu za zanzibar ni mbaya sana, ni tofauti sana bara, kule hakuna hela ya TV wala mdhamini, nauli za kwenda huko nchi za nje pia ni tatizo. gate collectiion za viwanjani ni 2000/- na hiyo pia viwanja vinakuwa vitupu.

Kwahiyo wakicheza sehemu kama nchi za kiarabu wananufaika zaidi.
mechi yao ya home ikichezwa arabuni uwanja unapata mashabiki vizuri tu hivyo wanapata mgao mzuri wa gate collection. na pia usikute wapinzani wao pia huwagaia chochote mana mechi zote mbili wanapata kucheza kwao nao wana save gharama za kuwafata,
Kama hali ni iyo mbaya kiuchumi, Basi inamaana viongozi hawalioni ilo kuwa litaua kabisa ata mapenzi kwa mashabiki wachache walionao na kupoteza matumaini kabisa maana baada ya kujitahidi kuzileta timu Zanzibar wawavute watu na kujenga upenzi wa wasiopenda mpira kuvutika kwenda kuona team za kigeni ila wao hawafanyi ivi,, Yaani ata km uchumi mbaya ila iyo sio njia sahihi ya kujipatia pesa
 
Kama hali ni iyo mbaya kiuchumi, Basi inamaana viongozi hawalioni ilo kuwa litaua kabisa ata mapenzi kwa mashabiki wachache walionao na kupoteza matumaini kabisa maana baada ya kujitahidi kuzileta timu Zanzibar wawavute watu na kujenga upenzi wa wasiopenda mpira kuvutika kwenda kuona team za kigeni ila wao hawafanyi ivi,, Yaani ata km uchumi mbaya ila iyo sio njia sahihi ya kujipatia pesa

Mkuu hela ikiwa imekata kabisa formula inapotea, mana kila kitu kinakuwa ni hasara. hasara ikishakuwa kubwa hata akili zinashindwa kufanya kazi tena. Popularity ya Yanga na Simba inaebeba sana ligi ya Bara, bila ya hivo pia hali nayo ingekuwa mabaya sana.
 
Mkuu hela ikiwa imekata kabisa formula inapotea, mana kila kitu kinakuwa ni hasara. hasara ikishakuwa kubwa hata akili zinashindwa kufanya kazi tena. Popularity ya Yanga na Simba inaebeba sana ligi ya Bara, bila ya hivo pia hali nayo ingekuwa mabaya sana.
Umeona apo tunaongelea Club za Zanzibar lakini automatically tu umezitaja club za bara na mpira wa Tanzania kwa ujumla,,Na huu ndio ubaya wenyewe ambao wanautengeneza yaani uchafu hautochafua tu Uhamiaji FC hapana bali itachafua soka zima na club zote za Tanzania.kwa ujumla. Na ili ndio viongozi awa hawaoni na kama litakaliwa kimya basi madhara makubwa sana yatatokea mbeleni
 
Makobazi inapofika kwa Maarabu huwa wanatepeta sana. Hapo wanashikwa hata makalio wanacheka tu...wameshikwa na wajukuu wa mtume....


Sio Uhamiaji tu hata JKU mechi zake zote mbili dhidi ya Pyramids kaamua kuchezea Misri.
 
Hata wangekataa unafikili wangefika wapi Heli kama wamechukua chao mapema sababu Zanzibar wenyewe ligi Yao kimeo
Sijui sana Kwa waislamu wa nchi zingine dhidi ya waarabu, lakini Kwa hapa Tz hasa Zanzibar, waislamu wa hapa kwetu humuona mwarabu Kwa image ya mtume wao. Hivyo Kwa Mzanzibar lolote linalotamkwa au kufanywa na mwarabu kwao ni kama kasema mtume na kwao ni kama ibada.
 
Back
Top Bottom