Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Hapo kwenye WANZUKI nimecheka wew utakua unatokea lake zone 😊😊Kama wewe sio mtaalam wa afya na sio mwanamama basi nyamaza na uendelee kunywa wanzuki yako,
Acha sisi tushukuru vifo vya wamama na watoto vilivyopungua.