UPDATE 1: Mfahamu "Jenerari" atakaeongoza "Jeshi" la Simba SC 01.10.2016.

Hapo natia shaka. Umesema kuwa Omog ana miaka 44 i.e. born (1972), halafu alipata UEFA License B nchini Ujerumani mwaka 1987? Ina maana hata kwa umri wa "formal education" yeye alikuwa akisomea ukocha tu? Kwanza kocha mzuri asingekuja huku TZ.
 
Hapo natia shaka. Umesema kuwa Omog ana miaka 44 i.e. born (1972), halafu alipata UEFA License B nchini Ujerumani mwaka 1987? Ina maana hata kwa umri wa "formal education" yeye alikuwa akisomea ukocha tu? Kwanza kocha mzuri asingekuja huku TZ.


Mkuu sio Mimi naliyosema hayo.. ni wakameruni wenyewe wamesema hayo.. katika link hii Profile - Marius Omog, Flag Bearer of Cameroonian Coaches

Alafu unapata wapi uthubutu wa kusema kocha aliyehukua kombe la shirikisho barani Africa, makombe ya ligi mawili mfululizo katika ligi ngumu barani Africa nchini Congo na kombe la ligi kuu TZ si mzuri? Au kwa kua anafundisha Simba SC.. umenistaajabisha.
 
Hapo natia shaka. Umesema kuwa Omog ana miaka 44 i.e. born (1972), halafu alipata UEFA License B nchini Ujerumani mwaka 1987? Ina maana hata kwa umri wa "formal education" yeye alikuwa akisomea ukocha tu? Kwanza kocha mzuri asingekuja huku TZ.
sembo hii habari uliyoitunga imekushushia sana hadhi ,Omog alipata leseni ya UEFA akiwa na miaka 15 ?

James7 hii story imetengenezwa na asilimia kubwa ni uongo mtupu.Ndugu zetu Wamchangani wamezoea kudanganywa na viongozi wao na wao wameshakuwa mabingwa wa uongo
 
Nina imani na cocha wetu JOSEPH MARIUS OMOG kwani ni cocha aliefanikia katika ufundishaji barani Africa
 
Nina imani na cocha wetu JOSEPH MARIUS OMOG kwani ni cocha aliefanikia katika ufundishaji barani Africa

Mkuu.. Omog kawavuruga sana hawaamini wanachokiona. Sasa wanatafuta kila njia kumfanya aonekane si lolote si chochote.

Tuna Imani na Joseph Marius Omog.
 
Hapo ndo mnapoharibu nyie watu.. Ila najua ndio propaganda za viongozi wenu ili wapige pesa... Simba nguvu zao na akili yao c kuchukua mataji, wala Kutengeneza mafanikio ya kudumu, wao wakiifunga yanga bhaaaaasi yatosha, hapo ndo unaona tofauti ya Yanga na Mikia,.. Ila hii ni kutokana na mikia kutaka sifa Kuwa wameifunga club Kubwa kwao huku yanga wakiichukulia kama mechi ya kawaida sana. Mikia inatamani siku moja iwe kama Yanga, huku Yanga ikitamani siku moja iwe kama Mazembe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…