Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Muda watatoa lakini kuja kuupata Mkopo Sasa itabidi ufosi mambo yaende ,vyuo vingi vinafungua week ijayoWakuu mimi kwenye account ya dogo nikiingia wananiletea huu ujumbe nimejaribu kuangalia shida ni jini wanasema bank details zi amiss. Sasa je watatoa muda wa kufanya marekebisho kweli?View attachment 2787322