UPDATE: Mahujaji zaidi ya Elfu Moja wamefariki Makka. Hakuna Mtanzania aliyepoteza Maisha wala kujeruhiwa

UPDATE: Mahujaji zaidi ya Elfu Moja wamefariki Makka. Hakuna Mtanzania aliyepoteza Maisha wala kujeruhiwa

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Zaidi ya mahujaji Elfu moja wamepoteza maisha katika mji wa Makka walikokuwa wamekwenda kuhiji kama sehemu ya kutimiza nguzo kuu tano kwa muislamu yeyote yule mwenye uwezo walau mara moja tu katika uhai wake kuweza kufika katika mji huo mtakatifu kwa waislamu .

Vifo hivyo inasemekana vimetokana na kuchochewa na joto kali sana lililokuwa limetokea katika Wiki hii na kufikia nyuzi joto 51 ,kwa wale tuliosoma Geography tunaelewa maana ya joto hili kuwa ni la juu sana na hatari kwa maisha mwanadamu.

Nchi mbalimbali zimeripoti vifo vya watu wake,huku Misri ikiongoza kupoteza watu wake ,ambapo mpaka sasa imepoteza watu 658. Tanzania haijapoteza wala kutokea kifo cha mtanzania yeyote yule wala majeruhi .

Tuendelee kuwaombea wenzetu hao warejee salama kabisa hapa Nchini na kuungana na familia zao.

Chanzo cha habari yangu ni Gazeti la Mwananchi la kiswahili.kwa undani zaidi unaweza jipatia nakala yake au kusoma kupitia mtandaoni na kulipia kulingana na uwezo wako wa kifedha. Lakini pia natamani wenye uwezo wa kifedha mliopo humu jukwaani pia mngekuwa mnachangia Jamii forum pesa kidogo ili kuwatia moyo .ikumbukwe hili ni jukwaa linalotukutanisha maelfu ya watanzania na kujadili masuala mbalimbali kwa uhuru sana.

Kazi iendelee.Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

PIA SOMA
- Saudi Arabia: Mahujaji zaidi ya 500 wafariki wakati wa Hija huko Makka
 
Lucas mdogomdogo unaanza kujitoa kuripoti habari za Ccm tupu

Ukiacha kabisa tunafunga ndoa wanajf waje kula ubwabwa..!🤸
Lazizi wangu huwa unanikosha sana moyo wangu. Hata kama nimechoka mwili najikuta uchovu umekwisha na kuwa mwepesi kama manyoya ya kuku wa kienyeji.

Ephen waridi wa ❤️ wangu naipenda sana CCM na siwezi kuacha kuripoti habari zake, na naamini utaendelea kunipenda na tutaendelea kupendana kwa dhati na kushikamana kama sumaku, kwa kuwa tumeunganishwa kwa upendo.
 
51'C ni onyo, Mungu alishawaonya mara nyingi hapo waache kufanya ibada ya sanamu hapo lakini wanashupaza shingo. Ngoja waendelee kushupaza shingo zaidi watashushiwa moto mkali na utawalamba wengi mpaka dunia itikisike. Nini wanachokiabudu hapo wakati Mungu hayupo hapo?
 
Lazizi wangu huwa unanikosha sana moyo wangu.hata kama nimechoka mwili najikuta uchovu umekwisha na kuwa mwepesi kama manyoya ya kuku wa kienyeji. ephen waridi wa ❤️ wangu naipenda sana CCM na siwezi kuacha kuripoti habari zake, na naamini utaendelea kunipenda na tutaendelea kupendana kwa dhati na kushikamana kama sumaku, kwa kuwa tumeunganishwa kwa upendo.
Jidanganye sana 😊
 
Back
Top Bottom