Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 762
- 1,597
Kabisa mkuuHuyu ajikite kwenye fani ya ukoo wao ya uganga na kuchuna watu ngozi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuuHuyu ajikite kwenye fani ya ukoo wao ya uganga na kuchuna watu ngozi.
Kabisa mkuu
KabisaaaaSifa kubwa ya kuwa chawa ni kujitoa ufahamu kama walivyo mashoga.
Daaa GEN -XKabla ya yote nimshukuru Mama Samia Kwa kuwezesha watanzania kutokufa huko Makka..... Mama anaupiga mwingi
Nani mjingaHakika wajinga ndio mtaji wa wanasiasa...
Mpige mbuzi kabisa...... Mitano tena ......Ndugu yangu Lucas mwashambwa
Tupazie sauti Sisi wakazi wa Kigamboni hali ya karudi majumbani kwetu ni mbaya Sana
Sasa tunalazimika kuvuka Kwa mitumbwi ya Kasia bila life jacket na Hali ya hewa ya mvua
Boti za Zanzibar na meli kubwa zikipita mawimbi yanakuwa makubwa mno yanaweza kufunika hii mitumbwi
Tusadie kupaza sauti ili Jambo la haraka lifanyike hii adha ya kurudi majumbani kwetu ipungue au kumalizika kabisa
Wasalaam ni Mimi ndugu yako
Kuwa na adabu.... Mid 80's hii..,heshimu wakubwa.....Daaa GEN -X
Go
Nani mjinga
Labda wewe ndiye mjinga.Mtu yeyote ambaye ni mtaji wa wanasiasa...
Acha ujinga wako hapaAshukuliwe mama Abdul kwa Vifo elfu
Kani_mind hatari 😊Na akina FaizaFox wataenda ku-enjoy mabikra wa kiume?
Labda wewe ndiye mjinga.
mkikataliwa na watanzania mnaanza matusi
Sio mbaya, kikubwa mbili tatu ziwepo kwenye shuhuliitakuwa wewe ni mgeni humu jukwaani maana jukwaa zima linafahamu kuwa ephen ndio kiota cha Moyo wangu. Na wageni waalikwa wote watavaa nguo za kijani tuuu na kadi zote zitakuwa ni za kijani na wapishi watatinga na kujimwaga na Madera ya kijani.
Hhaha duuhHuyo ni Lucas Mwashambwa mwenyewe anajipigia promo.
Hv mbna mnapenda sana kejeli ninyi wagalatia wapumbavu!!!!!!wengine mkiwa wafuasi watiifu wa mwaposaNa akina FaizaFox wataenda ku-enjoy mabikra wa kiume?
Kabisa DPWORLD ametukuka na mkataba wake ni miaka 10 tuNdugu zangu Watanzania,
Zaidi ya mahujaji Elfu moja wamepoteza maisha katika mji wa Makka walikokuwa wamekwenda kuhiji kama sehemu ya kutimiza nguzo kuu tano kwa muislamu yeyote yule mwenye uwezo walau mara moja tu katika uhai wake kuweza kufika katika mji huo mtakatifu kwa waislamu .
Vifo hivyo inasemekana vimetokana na kuchochewa na joto kali sana lililokuwa limetokea katika Wiki hii na kufikia nyuzi joto 51 ,kwa wale tuliosoma Geography tunaelewa maana ya joto hili kuwa ni la juu sana na hatari kwa maisha mwanadamu.
Nchi mbalimbali zimeripoti vifo vya watu wake,huku Misri ikiongoza kupoteza watu wake ,ambapo mpaka sasa imepoteza watu 658. Tanzania haijapoteza wala kutokea kifo cha mtanzania yeyote yule wala majeruhi .
Tuendelee kuwaombea wenzetu hao warejee salama kabisa hapa Nchini na kuungana na familia zao.
Chanzo cha habari yangu ni Gazeti la Mwananchi la kiswahili.kwa undani zaidi unaweza jipatia nakala yake au kusoma kupitia mtandaoni na kulipia kulingana na uwezo wako wa kifedha. Lakini pia natamani wenye uwezo wa kifedha mliopo humu jukwaani pia mngekuwa mnachangia Jamii forum pesa kidogo ili kuwatia moyo .ikumbukwe hili ni jukwaa linalotukutanisha maelfu ya watanzania na kujadili masuala mbalimbali kwa uhuru sana.
Kazi iendelee.Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwani anayekaimu kwa sasa humkubali? Mbona yupo vizuri sana? Ninamfahamu yupo vizuri upstairs kuliko hata huyo unayempigia chapuoMimi ni mkulima na naendelea kupiga jalamba shambani.Mheshimiwa David Kafulila anaweza itendea haki sana nafasi hiyo.