FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Waislam tunaamini mwenye kutwaa na kutowa uhai ni Muumba peke yake.Ya kumshukuru samia kwa kuepusha vifo vya watanzania waliokwenda hija.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waislam tunaamini mwenye kutwaa na kutowa uhai ni Muumba peke yake.Ya kumshukuru samia kwa kuepusha vifo vya watanzania waliokwenda hija.
Huyu ajikite kwenye fani ya ukoo wao ya uganga na kuchuna watu ngozi.Tatizo Kila nikiangalia teuzi Lucas Mwashambwa hayumo sijui kwa nn au ni chawa uchwara????? Pascal Mayalla. Majibu ya jumuiya ya machawa tafadhali.......
Mwambie Lucas Mwashambwa anayetaka kumfitisha Rais na Allah.Waislam tunaamini mwenye kutwaa na kutowa uhai ni Muumba peke yake.
🤣🤣🤣🤣Kabla ya yote nimshukuru Mama Samia Kwa kuwezesha watanzania kutokufa huko Makka..... Mama anaupiga mwingi
😂Nikajua mwanetu....... Kumbe we huwa ni demu bwanaLucas mdogomdogo unaanza kujitoa kuripoti habari za Ccm tupu
Ukiacha kabisa tunafunga ndoa wanajf waje kula ubwabwa..!🤸
Sasa shetani ni muislam, amesilimishwa na mtume ,tena wanamtupia mawe Kwa kosa Gani sasa🤔Kayika Uislam tunaamini wanaokufa katika njia ya Mwenyezi Mungu ni mashaheed.
Dua zao zimekubaliwa, hiyo ni one way ticket ya peponi.
Na ndiyo maana anapishana na gari ya uteuzi, anasifia hadi anayesifiwa anaona kichefuchefu. Mwaambie apunguze ukuda anajiharibia mwenyewe.Lucas anazingua unajua😂😂
Huyo ni Lucas Mwashambwa mwenyewe anajipigia promo.😂Nikajua mwanetu....... Kumbe we huwa ni demu bwana
Poleni sana na naamini jicho la Mama litatua hapo na kuona na kusikia kilio Chenu pamoja na kiu yenu na matarajio yenu. Rais wetu mpendwa ni msikivu na mwenye moyo wa huruma na kujali watu wake.Ndugu yangu Lucas mwashambwa
Tupazie sauti Sisi wakazi wa Kigamboni hali ya karudi majumbani kwetu ni mbaya Sana...
Wanaenda kuinjoi yale mabikra 72 [emoji1] daah
Kayika Uislam tunaamini wanaokufa katika njia ya Mwenyezi Mungu ni mashaheed.
Dua zao zimekubaliwa, hiyo ni one way ticket ya peponi.
itakuwa wewe ni mgeni humu jukwaani maana jukwaa zima linafahamu kuwa ephen ndio kiota cha Moyo wangu. Na wageni waalikwa wote watavaa nguo za kijani tuuu na kadi zote zitakuwa ni za kijani na wapishi watatinga na kujimwaga na Madera ya kijani.😂Nikajua mwanetu....... Kumbe we huwa ni demu bwana
Acha wivu wako kwa Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.Lucas Msambwanda, hii nayo ni ya kumsifia mama, chawa ajira ya hovyo sana
Nani kakuandikia hapaKichwa kizibo cha mabega
Sifa kubwa ya kuwa chawa ni kujitoa ufahamu kama walivyo mashoga.Lucas Msambwanda, hii nayo ni ya kumsifia mama, chawa ajira ya hovyo sana