Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Neema kufia kwenye alkaaba peponi directlyKila mtu ataondoka kwa njia yake hapa Duniani
Haya makafara ya wenzetu hayaNdugu zangu Watanzania,
Zaidi ya mahujaji Elfu moja wamepoteza maisha katika mji wa Makka walikokuwa wamekwenda kuhiji kama sehemu ya kutimiza nguzo kuu tano kwa muislamu yeyote yule mwenye uwezo walau mara moja tu katika uhai wake kuweza kufika katika mji huo mtakatifu kwa waislamu .
Vifo hivyo inasemekana vimetokana na kuchochewa na joto kali sana lililokuwa limetokea katika Wiki hii na kufikia nyuzi joto 51 ,kwa wale tuliosoma Geography tunaelewa maana ya joto hili kuwa ni la juu sana na hatari kwa maisha mwanadamu.
Nchi mbalimbali zimeripoti vifo vya watu wake,huku Misri ikiongoza kupoteza watu wake ,ambapo mpaka sasa imepoteza watu 658. Tanzania haijapoteza wala kutokea kifo cha mtanzania yeyote yule wala majeruhi .
Tuendelee kuwaombea wenzetu hao warejee salama kabisa hapa Nchini na kuungana na familia zao.
Chanzo cha habari yangu ni Gazeti la Mwananchi la kiswahili.kwa undani zaidi unaweza jipatia nakala yake au kusoma kupitia mtandaoni na kulipia kulingana na uwezo wako wa kifedha. Lakini pia natamani wenye uwezo wa kifedha mliopo humu jukwaani pia mngekuwa mnachangia Jamii forum pesa kidogo ili kuwatia moyo .ikumbukwe hili ni jukwaa linalotukutanisha maelfu ya watanzania na kujadili masuala mbalimbali kwa uhuru sana.
Kazi iendelee.Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
PIA SOMA
- Saudi Arabia: Mahujaji zaidi ya 500 wafariki wakati wa Hija huko Makka
Haha haha hizo ibaada za kisheitwan ndo mnaziaminiKatika Uislam tunaamini wanaokufa katika njia ya Mwenyezi Mungu ni mashaheed.
Dua zao zimekubaliwa, hiyo ni one way ticket ya peponi.
Unyama sana hii, wanaume wanaenda kula bikra 72 na wanawake wanaenda kubanduliwa.Katika Uislam tunaamini wanaokufa katika njia ya Mwenyezi Mungu ni mashaheed.
Dua zao zimekubaliwa, hiyo ni one way ticket ya peponi.
Uwe na heshima kwa Mheshimiwa Rais.Kama kweli wanaokufa huko ni mashahidi wa mungu na wanakwenda peponi Moja Kwa Moja, Basi sio jambo la kujivunia Kwa waTanzania kutokufa, inawezekana walioenda huko wengi ni CHAWA ambazo ni mashahidi wa Samia na si Mashahidi wa Mungu
Labda pepo ya mabwege, wauza unga kibao tu wanajenga misikiti na kwenda Hija.Katika Uislam tunaamini wanaokufa katika njia ya Mwenyezi Mungu ni mashaheed.
Dua zao zimekubaliwa, hiyo ni one way ticket ya peponi.
Msilishane ujinga, katika yale makafara ya kuchinja ndio yanakwenda na binadamu, visima vya mafuta vya Saudia vinazidi kutema mafuta kafara limekubaliNeema kufia kwenye alkaaba peponi directly
Uwe na utu ndugu yanguHii habari kichwa chake hakija kaa sawa. Ilitakiwa isomeke "Mahujaji 1000 wamepata thwawabu ya kufia mahala patakatifu na kwenda peponi moja kwa moja".
Rekebisheni kichwa cha huu uzi.
Yani nionee wivu watu waliokufa kisa dini??? Nitakuwa sipo serious aisee 😂😂😂Alhamdulillah mimi nnacho cha kujivunia (proud), nacho ni Uislam.
Tatizo liko kwako, wewe una nini cha kujivunia? Wivu tu.
Uwe na utu ndugu yangu
And so wana uhakika wa mabikra 72 kudadadek😋Katika Uislam tunaamini wanaokufa katika njia ya Mwenyezi Mungu ni mashaheed.
Dua zao zimekubaliwa, hiyo ni one way ticket ya peponi.
Usikute ndiyo yalipo makao yake hapo.Shetni han utani,yan kaua had maka
Na kuogelea kwenye swimming pool za mvinyo,yaani ukipiga mbizi ukiibuka kuna bikra pembeni anakusubiri umpelekee moto. Wenzetu wanagaidi huko waendako.Unyama sana hii, wanaume wanaenda kula bikra 72 na wanawake wanaenda kubanduliwa.
Mtu ambaye darasani somo la hesabu alikuwa hawezi kupata alama walau hata kumi hawezi kujua ukimwambia huyu mama yako Samia anaharibu uchumi,amekuza ufisadi na wizi wa kila aina,huyo mtu anachojua yy ni kusifu tu,biashara hajawahi fanya na hajui chochote,matatizo ya kibiashara hayajui,yy anajua kimoja tu kusifu basi.kila ukiwaza kwamba Hv huyu binadamu hana hata ka shule kidogo?shilingi yetu iko hoi kabisa asiyejua hesabu anasifu eti nchi imefunguka.mwehu ni mwehu tu.Kazi ni kipimo cha utu.Tuendelee kuchapa kazi kujikwamua kiuchumi hasa kipindi hiki ambacho Rais wetu na serikali yake Anaendelea kuweka mazingira wezeshi na mazuri kutuwezesha wananchi kuinuka kiuchumi kwa kila shughuli tuifanyayo..
Ila hawa magaidi wamependelewa sana aisee, mpaka natamani kuwa gaidiNa kuogelea kwenye swimming pool za mvinyo,yaani ukipiga mbizi ukiibuka kuna bikra pembeni anakusubiri umpelekee moto. Wenzetu wanagaidi huko waendako.