UPDATE: Mahujaji zaidi ya Elfu Moja wamefariki Makka. Hakuna Mtanzania aliyepoteza Maisha wala kujeruhiwa

Haya makafara ya wenzetu haya
Juzi walisema wanachinja
 
Kama kweli wanaokufa huko ni mashahidi wa mungu na wanakwenda peponi Moja Kwa Moja, Basi sio jambo la kujivunia Kwa waTanzania kutokufa, inawezekana walioenda huko wengi ni CHAWA ambazo ni mashahidi wa Samia na si Mashahidi wa Mungu
 
Kama kweli wanaokufa huko ni mashahidi wa mungu na wanakwenda peponi Moja Kwa Moja, Basi sio jambo la kujivunia Kwa waTanzania kutokufa, inawezekana walioenda huko wengi ni CHAWA ambazo ni mashahidi wa Samia na si Mashahidi wa Mungu
Uwe na heshima kwa Mheshimiwa Rais.
 
Katika Uislam tunaamini wanaokufa katika njia ya Mwenyezi Mungu ni mashaheed.

Dua zao zimekubaliwa, hiyo ni one way ticket ya peponi.
Labda pepo ya mabwege, wauza unga kibao tu wanajenga misikiti na kwenda Hija.

Hija ni njia ya Saudi Arabia kuingiza pesa kwa utalii wa kidini.
 
Hii habari kichwa chake hakija kaa sawa. Ilitakiwa isomeke "Mahujaji 1000 wamepata thwawabu ya kufia mahala patakatifu na kwenda peponi moja kwa moja".
Rekebisheni kichwa cha huu uzi.
 
Hii habari kichwa chake hakija kaa sawa. Ilitakiwa isomeke "Mahujaji 1000 wamepata thwawabu ya kufia mahala patakatifu na kwenda peponi moja kwa moja".
Rekebisheni kichwa cha huu uzi.
Uwe na utu ndugu yangu
 
Ndugu zangu waislam watanzania inamaana mmegoma kuipokea neema na thawabu ya kwenda peponi Bureeeee kwenye mabikra wakutosha 😭😭

Au mnamashaka na swawabu hizo
 
Kazi ni kipimo cha utu.Tuendelee kuchapa kazi kujikwamua kiuchumi hasa kipindi hiki ambacho Rais wetu na serikali yake Anaendelea kuweka mazingira wezeshi na mazuri kutuwezesha wananchi kuinuka kiuchumi kwa kila shughuli tuifanyayo..
Mtu ambaye darasani somo la hesabu alikuwa hawezi kupata alama walau hata kumi hawezi kujua ukimwambia huyu mama yako Samia anaharibu uchumi,amekuza ufisadi na wizi wa kila aina,huyo mtu anachojua yy ni kusifu tu,biashara hajawahi fanya na hajui chochote,matatizo ya kibiashara hayajui,yy anajua kimoja tu kusifu basi.kila ukiwaza kwamba Hv huyu binadamu hana hata ka shule kidogo?shilingi yetu iko hoi kabisa asiyejua hesabu anasifu eti nchi imefunguka.mwehu ni mwehu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…