Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasubiria majibuunataka kusema nini, kwamba ajali amesababishiwa?
acha tunguli uende mbinguni. ajali ya kawaida sio orchestratedkosa lake ni uraisi, ilikuwa apokee kijiti, ni makubaliano mwakani 2025 ilikuwa apokee kijiti na kuwa raisi wa Malawi, waliahidiana na huyu kwamba ni term moja, mauti imemkuta …
Angekuwa mwarabu ingekuwa mosadSio Mosad tena
Hii kudhibitisha ngumu, Hata hivyo, Malawi si Kampuni ya Familia. Raia ndiyo wanachagua wa kuwaongoza. Kama alikuwa amekubaliana na wananchi wa Malawi ningeelewa.kosa lake ni uraisi, ilikuwa apokee kijiti, ni makubaliano mwakani 2025 ilikuwa apokee kijiti na kuwa raisi wa Malawi, waliahidiana na huyu kwamba ni term moja, mauti imemkuta …
Hizi picha zinaonesha kulikuwa na hali mbaya sana ya hewa
ni kuthibitisha. kwenye kabati la kamusi ya Kiswahili hakuna neno kudhibitisha.Hii kudhibitisha ngumu, Hata hivyo, Malawi si Kampuni ya Familia. Raia ndiyo wanachagua wa kuwaongoza. Kama alikuwa amekubaliana na wananchi wa Malawi ningeelewa.
Safi sana mtaalamu wetu wa kiswahili kupitia Kamusi. Asante.ni kuthibitisha. kwenye kabati la kamusi ya Kiswahili hakuna neno kudhibitisha.
Kasumba za ccm hovyo,wanadhani kila mtu huchukulia madaraka kama jambo la kufa na kupona.ni kuthibitisha. kwenye kabati la kamusi ya Kiswahili hakuna neno kudhibitisha.
Zile helicopter ni almost bado mpya. Hazina muda mrefu. Nyingi zimekuja kipindi cha jpmNDEGE IMECHOKA NA INAONYESHA ILIITAJI KUPUMZIKA NA WATU.KUNA ZILE ZA JWTZ HAPA TZ NAZO ZITAKUJA KUONDOKA NA WATU KAMA LILE HELIKOPTA LAO
Haya maelezo yalijaziwa hayakuwepoSoma vizuri au hujui kiingereza, ndege imeondoka toka tarehe 10 June 2024 saa 9:17 kwa saa za Malawi na kwa mujibu wa ratiba ilitakiwa itue saa 10:02, ikapoteza mawasiliano hadi sasa ni tafuta tafuta tu.