TANZIA UPDATE: Makamu wa Rais wa Malawi afariki katika ajali ya Ndege
kosa lake ni uraisi, ilikuwa apokee kijiti, ni makubaliano mwakani 2025 ilikuwa apokee kijiti na kuwa raisi wa Malawi, waliahidiana na huyu kwamba ni term moja, mauti imemkuta …
acha tunguli uende mbinguni. ajali ya kawaida sio orchestrated
 
bbbb9b171dc2596c181288ba2407ebaab553e35a.jpeg.jpg
4dda9034217cc85f0ff8ac6d5ba87f60c02cec4c.jpeg.jpg
 
kosa lake ni uraisi, ilikuwa apokee kijiti, ni makubaliano mwakani 2025 ilikuwa apokee kijiti na kuwa raisi wa Malawi, waliahidiana na huyu kwamba ni term moja, mauti imemkuta …
Hii kudhibitisha ngumu, Hata hivyo, Malawi si Kampuni ya Familia. Raia ndiyo wanachagua wa kuwaongoza. Kama alikuwa amekubaliana na wananchi wa Malawi ningeelewa.
 
Wale mnaopenda kasafiri kwa anga hasa mikoa ya Njombe, Arusha Iringa na sehemu zenye kufanana na hali hiyo muwe waangalifu.

Hali ni mbaya kipindi hiki cha kikupwe, hatutaki lawama na kisa na mkasa hapo baadaye.
 
Back
Top Bottom