Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,184
- 4,517
Yaani mkuu pageuzwe?. Ardhi ya juu izamishwe mita 300 chini na ya mita 300 chini ipandishwe juu. Hapo inapelekwa chini na kilichomo na chini ipandishwe juu na kilichomo?Ndiyo maana nasisitiza hapo gaza wapige hapo Atomic bomb patulie kama masaki haya mambo yasijirudie tena
Kwamba hawajateswa, walichokula Hamas ndio walichokula wao, na wamekua treated vizuri mpaka wameondoka, mateka waliokua released awamu ya kwanza walisifia Hamas, ili kuepusha aibu Israel kapiga marufuku hairuhusiwi mateka yoyote kuongea na vyombo vya habari walioachiwa mara hii wote wamefungiwa kuongea na pressWanawasifia vipi mkuu?
Dah. Jamaa kaharibu vijana
Naona hata habari hujasoma badala yake ukaanza kukipiga Vita Haaretz, kama hufahamu haaretzWhere are the interviews? According to the article it says a police source without further context. Haaretz in English is known to have far left leaning in reporting in order to boost traffic from anti israel sentiments and often times exaggerated. The Cradle inanirudisha pale pale kwa Haaretz. I see what you are trying to do homes. Unataka niseme yes, Clemence aliuawa na apache helicopter akiwa kwenye shelter si ndio? Is that what you want? Kama tutaongelea nova party iwe ni topic nyingine kabisa tofauti na Mtanzania mwenzetu alieuawa. What are you trying to prove with this article? It's okay kama unataka kuwa anti israel I don't care. It's okay if you want to be pro hamas. Ila usiletee insufficient articles zisizokuwa na further sources kupush your agenda. Thank you
NB: Na hii report ya police wakikanusha madai ya Haaretz?
Au hii:
Israeli military video shows copter firing at Hamas militants near Gaza fence | Fact check
Footage released by the Israeli military shows a helicopter firing at Hamas militants at the Gaza security fence, not at concertgoers.www.usatoday.com
At this point kila uoande unajitetea. Pro Hamas and Pro Israel propaganda. This is information war my dude
Sikwami popote bali kumsingizia mtu kifo hali ya kuwa haja fanya yeye ni accusation kubwa. Israel wenyewe wamekiri kuua hao waliokua wanakimbia concert ila sisi Huku tupo Busy kusingizia Hamas.
...Wayahudi wamemuuwa huyo, siku ya festival wayahudi walichanganyikiwa wakauwa kila kitu kinachokatiza mbele yao.
Labda atomic wapige kwenye matercoe yako ili uache kkuphillwaNdiyo maana nasisitiza hapo gaza wapige hapo Atomic bomb patulie kama masaki haya mambo yasijirudie tena
Soma kuhusu "Hannibal Directive":Kwanini waliwaua mkuu?
Kafiri ,unafurahia watu wafe jinga weweYou want me to read Arab propaganda? Nimesema arab propaganda not arab website. Know the difference dude. Unaniita mpuuzi let's see......umeresolve kutumia lugha chafu kwasababu nimekuambia ubaki kwenye topic. I talked about Clemence....stay on topic Abdul
Wagalatia wana roho chafuYaani mkuu pageuzwe?. Ardhi ya juu izamishwe mita 300 chini na ya mita 300 chini ipandishwe juu. Hapo inapelekwa chini na kilichomo na chini ipandishwe juu na kilichomo?
yaapYaani mkuu pageuzwe?. Ardhi ya juu izamishwe mita 300 chini na ya mita 300 chini ipandishwe juu. Hapo inapelekwa chini na kilichomo na chini ipandishwe juu na kilichomo?
Kwa logic ya Israel wapo radhi kusacrifice maisha ya watu 100 kupata Hamas mmoja,Kwanini waliwaua mkuu?
Kama nilivyosema mwanzo stay on topic. Hujanijibu kuwa dhumuni la kuleta incident za Nova Party katika Uzi wa Clemence ni nini? Are you saying kauwawa na Apache helicopter? Because it seems that's what you're suggesting honchoNaona hata habari hujasoma badala yake ukaanza kukipiga Vita Haaretz, kama hufahamu haaretz
Angalia reviews za Haaretz,
Haaretz - Bias and Credibility
LEFT BIAS These media sources are moderate to strongly biased toward liberal causes through story selection and/or political affiliation. They maymediabiasfactcheck.com
Wana High credibility kuandika habari za Ukweli na miaka 5 iliopita hakuna habari hata moja ambayo imekuja kugundulika ni ya Uongo.
Kama Mimi nilivyoandika hapa na wewe naomba niletee kipindi Cha Karibuni ni nini Haaretz waneripoti kikaonekana ni Cha Uongo.
Pia naomba utuambie ni silaha gani ya Hamas ambayo inaweza kuunguza miili isijulikane mwezi mzima na kuunguza magari yote parking kama sio Kazi ya Apache za Israel
Netanyahu has to goNetanyahu hata raia zake wamechoka, leo wapo nje nyumbani kake wanataka asomamishe vite wamechoka ndugu zao kuuliwa:
View: https://youtu.be/ROsA2-cW_lc?si=wuCcdjkyeWgtGlop
Wewe uliweka Conclusion Yako kwamba ni Hamas walio muua, wakati mpaka Sasa hatujui nani kamuua, na Mimi nimeleta possibility kwamba Kuna uwezekano ni Israel ndio wamemuua, Mimi nimebase logic Yako sababu amefariki toka Tarehe 7 ila habari haijatoka hapo hapo tukaja tukajua baadae.Kama nilivyosema mwanzo stay on topic. Hujanijibu kuwa dhumuni la kuleta incident za Nova Party katika Uzi wa Clemence ni nini? Are you saying kauwawa na Apache helicopter? Because it seems that's what you're suggesting honcho