UPDATE: Mtoto aliyechomwa moto na kulazimishwa kula kinyesi chake akatwa mkono

:A S cry: :A S cry: sad blue text
 
Dah! Yule mama anastahili ku-R.i.p. How on earth you could do such an awful act to a child and think that you think get away with this?
 
nashukuru maana ungesema tungeharibiana siku pia
 
pole sana kwa mtoto Aneth,jamani kina mama wadogo tuwe na roho ya huruma km huwezi kuishi na mtoto ni heri useme mapema.
 
inasikitisha sana, pole mtoto Anneth.
wazazi wake wako wapi??
 
Pole sana mtoto Aneth kwa dhahma iliyo kukuta,binafsi ninaiomba serikali kupitia vyombo vyake vya sheria vichukua hatua stahiki kwa huyu mama mkatili aliyemsababishia ukilema huyu binti,na taasisi za haki za binadamu nawaomba mfuatilia hana kwa hana mpaka mjue mwisho wa kesi hiiisije ikatokea ujanjaujanja huyu mkatili akaachiwa,eeh mungu kinusulu hiki kiumbe chako ameen
 
Duuh.. Ndio kwanza ninaiona hii post.. Kumbe amekatwa mkono..! Ciku yangu imeharibika kwa habari hii.. Yaani tumekuwa wanyama kuliko hata wanyama wenyewe..! Naomba sana Mungu awe na huyo mtoto na ampe nguvu.. Ningeomba kwa JF Member yeyote anaeweza kupata contacts azilete hapa tuone jinci gani tunaweza kumsaidia huyu Malaika wa Mungu.. Tuonyeshe uchungu kwa kumsaidia huyu Malaika asie na kosa lolote.. It hurts much..
 
Inauma sana ila....ni kweli ilikua ni lazima mkono ukatwe? Kabisa kabisa?? ......Sidhani
 
Mama nanihii ulikuwa wapi? I miss you sana....naamini wanao wote ni wazima, baba yao pia.
 
dunini kunawatu makatili bwana,yaani unawasha moto kwa mtoto bila hata kumwonea huruma,hivi huyu mama ajifikirie yeye kama wazazi wake wangemchoma moto angewapi wakati huu?
huu ni unyama na watu kama hawa si kusamehewa tu kirahisi ni lazima nae aone uchungu kama mtoto anavyojisikia sasa,si swala la sheria tu hata adhabu za kidini zingekuwa mkondo wake,kuwa anayeumiza kwa moto nae aumizwe kwa moto,mana anaye uwa kwa upanga nae huuwawa kwa upanga.
 
Jamani turudi kama zamani ambapo mtoto wako ni wangu na kinyume chake! Haya manyanyaso kwa watoto yataisha. Kwa sasa ukimkemea mtoto wa mtoto kwa jambo baya alilofanya, mzazi wa mtoto huyo atakuja huku amemshika mkono na kukufokea mbele yake! Ndo maana watu wameamua sasa kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe! Mungu akakujalie baraka zake ukapate kupona mapema. Amina.
 
E Mungu baba saidia mtoto huyu. Kweli dunia imeisha!
 
Mama nanihii ulikuwa wapi? I miss you sana....naamini wanao wote ni wazima, baba yao pia.

hahahah! mamam klein sijambo kabisa baba yao na mm hatujambo mno. namshukuru Mungu sana kwa hilo. ila sina raha kabisa juu ya mtoto Aneth
 
Ukiwa kama mzazi, huwezi kuwa na raha kwa jambo kama hili.Sidhani kama kuna mtu amejisikia vizuri baada ya kuona picha ya mtoto Aneth. Imagine ndio mtu eti kamkata Nipha wangu mkono kisa nini?!!!!
hahahah! mamam klein sijambo kabisa baba yao na mm hatujambo mno. namshukuru Mungu sana kwa hilo. ila sina raha kabisa juu ya mtoto Aneth
 
Naunga mkono hoja, mimi pia.[QUOTE=sosoliso;5028722]Duuh.. Ndio kwanza ninaiona hii post.. Kumbe amekatwa mkono..! Ciku yangu imeharibika kwa habari hii.. Yaani tumekuwa wanyama kuliko hata wanyama wenyewe..! Naomba sana Mungu awe na huyo mtoto na ampe nguvu.. Ningeomba kwa JF Member yeyote anaeweza kupata contacts azilete hapa tuone jinci gani tunaweza kumsaidia huyu Malaika wa Mungu.. Tuonyeshe uchungu kwa kumsaidia huyu Malaika asie na kosa lolote.. It hurts much..[/QUOTE]
 
Jamani huu ni unyama uliopitiliza inasikitisha sana.
 
Ukatili wa jinsi hii wanao akina mama wengi, na wao ndio wa kwanza kusikitika. Lkn kwa ujula wake mwanamke ana ukatili wa hali ya juu sana kuliko kiumbe yoyote duniani. Cha ajabu anakuwa wa kwanza kujuta.
 
Inauma sana ila....ni kweli ilikua ni lazima mkono ukatwe? Kabisa kabisa?? ......Sidhani

Ma Dr wetu inabidi waongeze shule kidogo kwenye sajari yani yani wameshindwa yani kumtibu aneth pasipo kata mkono?
 
Its extremely sad, nitaangalia habari zake kwenye gazeti la leo

Ila kimsingi mimi hata kibaka wa simu siwezi kumpiga iwe mtoto wa jirani, seuze huyu ndugu kabisa

Mungu ampe kupona mtoto mzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…