Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao unaowaita "vitoto vya field" watajifunzia wapi?Muuguzi mjinga sana huyo. Wacha avune sasa alichopanda.
Halafu ifikie wakati wanaume wasihusike kwa namna yoyote kwenye kuwahudumia wanawake wajawazito. Na hii ni kuanzia madaktari, vile vitoto vya field, na pia hawa wauguzi wa kiume.
Sasa atakae mbaka mbakaji naye si atabakwa pia, na huyo mbakaji wa mbakaji wa kwanza nae vilevile atabakwa... yaani chain haitakwishaKwanini na yeye hajabakwa? Inabidi tubadiri hizi sheria mtu akibaka na yeye abakwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahThread ipo kimya hii na inaenda pole pole
Angekuwa mwalimu hapa watu wangekuja mbio mbio kama mkojo wa asubuhi
Utaongoza jopo la wabakaji?Kwanini na yeye hajabakwa? Inabidi tubadiri hizi sheria mtu akibaka na yeye abakwe
NakaziaThread ipo kimya hii na inaenda pole pole
Angekuwa mwalimu hapa watu wangekuja mbio mbio kama mkojo wa asubuhi
Wazingatie maadili yao ya utumishi, lakini ikipigwa kura kati ya wakunga wanaume na wanawake wajawazito watachagua wanaume mara mia kuliko wanawake,, wanaume wana huruma utu na heshima kuliko, huyu mbovu mmoja asifanye waonekane wote hawafaiMuuguzi mjinga sana huyo. Wacha avune sasa alichopanda.
Halafu ifikie wakati wanaume wasihusike kwa namna yoyote kwenye kuwahudumia wanawake wajawazito. Na hii ni kuanzia madaktari, vile vitoto vya field, na pia hawa wauguzi wa kiume.
Angekuwa mwalimu,mpwayungu village angekuwa mshereheshajiThread ipo kimya hii na inaenda pole pole
Angekuwa mwalimu hapa watu wangekuja mbio mbio kama mkojo wa asubuhi
Kwa Tz jinsi ilivyo, wapo watabaka ili wapate kubakwa na wao 😄Kwanini na yeye hajabakwa? Inabidi tubadiri hizi sheria mtu akibaka na yeye abakwe
Igunga kuna muuguzi aliwahi kubaka mgonjwa kwa kumchoma sindano ya Usingizi,nadhani mwaka juziTabora mbona Kuna watumishi wa afya wapuuzi kiasi hiki? Sakata la manesi kuchanachana mapacha na kunyofoa viungo, sakata la mabishano kati ya nesi na mtu wa maabara kuhusu vifaavya malaria vilivyoisha muda, Leo tena muuguzi Kabaka mgonjwa tena mjamzito.
Kuna shida gani huko?
Ikiwa uchunguzi utafanyika na imeonesha mtendaji kosa kafanya makusudi akiwa na akili timamu, basi atabakwa hadi kufa.Kwa Tz jinsi ilivyo, wapo watabaka ili wapate kubakwa na wao 😄
Mbakaji uwe wewe ni vyema pia ujitambulishe ili tatizo kama hili likitokea tusipate tabu ya kutafuta mbakaji aliyejiidhinishaKwanini na yeye hajabakwa? Inabidi tubadiri hizi sheria mtu akibaka na yeye abakwe
Kuna Mbakaji wa wabakaji ambae anateuliwa na Mkuu wa Magereza huyu anapewa Ithibati ya kufanya shughuli ya ubakaji.Sasa atakae mbaka mbakaji naye si atabakwa pia, na huyo mbakaji wa mbakaji wa kwanza nae vilevile atabakwa... yaani chain haitakwisha
Nipo hapa MBAKAJI wa kisheria.Mbakaji uwe wewe ni vyema pia ujitambulishe ili tatizo kama hili likitokea tusipate tabu ya kutafuta mbakaji aliyejiidhinisha
Sawa omba wazo lako lipate kibali mbakaji tushapataNipo hapa MBAKAJI wa kisheria.