Update: Muuguzi mlevi aliyetuhumiwa kumbaka mjamzito wodini aachiwa huru

Update: Muuguzi mlevi aliyetuhumiwa kumbaka mjamzito wodini aachiwa huru


Rayson Agnelusi Duwe ambaye ni muuguzi msaidizi daraja II (ANO) katika hospitali ya Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kumbaka mama mgonjwa mwenye ujauzito wa miezi tisa baada ya kumchoma sindano yenye dawa ya usingizi.

Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Tabora ACP Richard Abwao amesema tukio hilo lilitokea Juni 9. 2023 majira saa mbili usiku.

Kamanda Abwao amesema muuguzi huyo ambaye aliingia kazini akiwa amelewa pombe alitenda kosa hilo wakati alipopangiwa zamu ya usiku ya kuhudumu wagonjwa wa nje (OPD) ndipo alipotoka na kwenda chumba cha wagonjwa wa ndani na kumbaka mama huyo mwenye ujauzito wa karibu kujifungua ambaye alikuwa anaendelea na matibabu ya ugojwa wa malaria.

Muuguzi huyo alikutwa akiwa na bomba la sindano pamoja na dawa za usingizi huku taarifa ya kitabibu ikidhibitisha kuwa alimwingilia mgonjwa huyo.

Mtuhumiwa huyo amefikishwa mahakani mapema hii leo June 13,2023 kujibu tuhuma zinazomkabili baada ya upelelezi kukamilika.
Dah pole yake mwamba alikua anafanya kazi UMATI Morogoro aliachishwa kazi kisa huo huo ulevi jaman pombe wengine hazitupend mi nilishaacha
 

Rayson Agnelusi Duwe ambaye ni muuguzi msaidizi daraja II (ANO) katika hospitali ya Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kumbaka mama mgonjwa mwenye ujauzito wa miezi tisa baada ya kumchoma sindano yenye dawa ya usingizi.

Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Tabora ACP Richard Abwao amesema tukio hilo lilitokea Juni 9. 2023 majira saa mbili usiku.

Kamanda Abwao amesema muuguzi huyo ambaye aliingia kazini akiwa amelewa pombe alitenda kosa hilo wakati alipopangiwa zamu ya usiku ya kuhudumu wagonjwa wa nje (OPD) ndipo alipotoka na kwenda chumba cha wagonjwa wa ndani na kumbaka mama huyo mwenye ujauzito wa karibu kujifungua ambaye alikuwa anaendelea na matibabu ya ugojwa wa malaria.

Muuguzi huyo alikutwa akiwa na bomba la sindano pamoja na dawa za usingizi huku taarifa ya kitabibu ikidhibitisha kuwa alimwingilia mgonjwa huyo.

Mtuhumiwa huyo amefikishwa mahakani mapema hii leo June 13,2023 kujibu tuhuma zinazomkabili baada ya upelelezi kukamilika.
Ndugu wa kiongozi huyo , mlevi anawezaje kuwa muuguzi ?
 

Rayson Agnelusi Duwe ambaye ni muuguzi msaidizi daraja II (ANO) katika hospitali ya Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kumbaka mama mgonjwa mwenye ujauzito wa miezi tisa baada ya kumchoma sindano yenye dawa ya usingizi.

Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Tabora ACP Richard Abwao amesema tukio hilo lilitokea Juni 9. 2023 majira saa mbili usiku.

Kamanda Abwao amesema muuguzi huyo ambaye aliingia kazini akiwa amelewa pombe alitenda kosa hilo wakati alipopangiwa zamu ya usiku ya kuhudumu wagonjwa wa nje (OPD) ndipo alipotoka na kwenda chumba cha wagonjwa wa ndani na kumbaka mama huyo mwenye ujauzito wa karibu kujifungua ambaye alikuwa anaendelea na matibabu ya ugojwa wa malaria.

Muuguzi huyo alikutwa akiwa na bomba la sindano pamoja na dawa za usingizi huku taarifa ya kitabibu ikidhibitisha kuwa alimwingilia mgonjwa huyo.

Mtuhumiwa huyo amefikishwa mahakani mapema hii leo June 13,2023 kujibu tuhuma zinazomkabili baada ya upelelezi kukamilika.
Huyo ndo mchezo wake kitambo itakua.
 
Wazingatie maadili yao ya utumishi, lakini ikipigwa kura kati ya wakunga wanaume na wanawake wajawazito watachagua wanaume mara mia kuliko wanawake,, wanaume wana huruma utu na heshima kuliko, huyu mbovu mmoja asifanye waonekane wote hawafai
Kama wanawake wanaweza kufanya hiyo kazi vizuri Pasi na madhara basi haina haja Dada zetu, mama, zetu, na binti zetu kuendelea kufanyiwa yasioelezeka


Nimewahi kuongea na mate wangu(male) ambae ni nesi asee basi tu

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Kama wanawake wanaweza kufanya hiyo kazi vizuri Pasi na madhara basi haina haja Dada zetu, mama, zetu, na binti zetu kuendelea kufanyiwa yasioelezeka


Nimewahi kuongea na mate wangu(male) ambae ni nesi asee basi tu

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Mara milioni wakunga wa kiume,
 
Mimi naona kujiendekeza. Pombe inakufanyaje uwe mjinga? Ukiona pombe inakufanya uwe jinga heri kuacha.

Anyway itakua mjamzito ana wowowo namba E.
 
Kama wanawake wanaweza kufanya hiyo kazi vizuri Pasi na madhara basi haina haja Dada zetu, mama, zetu, na binti zetu kuendelea kufanyiwa yasioelezeka


Nimewahi kuongea na mate wangu(male) ambae ni nesi asee basi tu

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Wanawake hawatakuelewa. Nasikia wengi wanapenda kufanyiwa ukunga na wanaume.

Sababu zao hazijawahi niingia akilini kabisa.

Sijui wanaona bora lililotokea kwa huyu Mama kuliko kuhudumiwa na wanawake wenzao?
 
Wanawake hawatakuelewa. Nasikia wengi wanapenda kufanyiwa ukunga na wanaume.

Sababu zao hazijawahi niingia akilini kabisa.

Sijui wanaona bora lililotokea kwa huyu Mama kuliko kuhudumiwa na wanawake wenzao?
Andika uzi na zipigwe kura utajionea mwenyewe au ingia mtaani utapata maoni yao walioingia leba na hasa kwenye miji au vijijini,,

Wakunga wa kike wengi wao hawana utu heshima wala huruma wanamfanya mjamzito ajione kama analipia matendo yake ya umalaya, hawafai hawafai hawafaiiiii wana roho mbaya sana manesi wa kike kwenye uzazi, unaumwa uchungu huku unatukanwa, unapigwa unakejeliwa, tofauti kabisa na wa kiume atakupa pole atakuhudumia kwa huruma na utu wa hali ya juu sana uchungu ukikaza anaweza hata kukupuliza na akisisitiza ujikaze zoezi liishe salama,

Wanasema usitukane wakunga na uzazi ungalipo ila wa kike hawafai wabadilike aisee
 
ila inaonekana mgonjwa naye alitaka

Kwanini mgonjwa hakupiga kelele kuomba msaada? Mgonjwa alifikaje pahala penye faragha? Je mgonjwa aliaga wenzie kuwa anatoka wodini anaenda wapi? Je Kuna ushaidi kuwa mgonjwa alichomwa sindano ya usingizi na Ni dawa aina gani, Je mgonjwa alikutwa akiwa amelala au alikuwa macho akiwa na fahamu zake? Huyo muuguzi inasemekana alikuwa amelewa Je alilewa kwa kiwango gani (BAC), DNA report inasemaje? Scene area inafanana na madai ya kubaka? Maswali Ni mengi na muda hautoshi
 
Back
Top Bottom