UPDATE: Nimeanza kuacha matumizi ya dawa za kupunguza mapigo leo tarehe 25 saa4 kamili asubuhi

UPDATE: Nimeanza kuacha matumizi ya dawa za kupunguza mapigo leo tarehe 25 saa4 kamili asubuhi

Ryder2

Member
Joined
Sep 11, 2021
Posts
81
Reaction score
88
Kutokana na maoni ya wadau mbali mbali jukwaani hapa pamoja na forum mbali mbali kama BETA BLOCKER/BISOPROLOL WITHDRAWAL FORUM, Leo nimeamua kuacha hizi dawa kwa kufanya yafutayo.

1. Kwanza ifahamike kwamba mwanzoni nilikua nameza kidonge kizima cha NEBIVOLOL chenye 5MG, na badae nikapunguza dozi nikawa nameza NEBIVOLOL 2.5MG, Hii nimefatilia kwa kusoma leaflet ya dawa hii kwa kua wameeleza jinsi ya kuacha.

2.Kwa sasa ukifika ule muda niliohotajika nimeze dawa, mimi ninachokifanya nakula punje moja ya kitunguu swaumu, ndizi moja , na parachichi robo kipande.

3.Pia nitakua naenda hospital kupima mapigo, presha na oxygen saturation(SPO2) ili kujua kama naendelea vizuri.

MABADILIKO NILIOPATA BAADA KUACHA HIZI DAWA KWA MUDA KAMA WA SAA 1 NA NUSU NI KAMA IFUATAVYO.
1. Napumua kwa shida japo sio sana.

2.Mwili unakua unatetemeka hivi na kuhisi baridi.

3. Mapigo yanadunda kwa kasi ya kawaida tu japo sometimes yanapanda then yanapungua

4.Napata wasi wasi sana.

HITIMISHO. Nafanya yote haya kwa kua dokta ameniambia niache hizi dawa kwa kusisitiza kua umri wangu bado mdogo sana(24years ) na pia ajaona shida kubwa.
 
HITIMISHO. Nafanya yote haya kwa kua dokta ameniambia niache hizi dawa kwa kusisitiza kua umri wangu bado mdogo sana(24years ) na pia ajaona shida kubwa.
Pia hakikisha namba ya simu ya dokta unakuwa nayo, Pindi hali ikiwa ndivyo sivyo, basi uweze kupata ushauri wake kwa haraka nini cha kufanya.

Mungu atakusaidia afya yako itaimalika.
 
Pia hakikisha namba ya simu ya dokta unakuwa nayo, Pindi hali ikiwa ndivyo sivyo, basi uweze kupata ushauri wake kwa haraka nini cha kufanya.

Mungu atakusaidia afya yako itaimalika.
Namba ninayo mkuu , huwa nawasiliana nae mkuu 🙏🙏🙏🙏🙏
 
Sawa mkuu wasi wasi sijui naushindaje mkuu nipe mbinu.
Moja ni hiyo nilosema kutafuta taarifa nzuri za kuneutralize taarifa mbaya zilizopo na had kuzizidi ili amani itawale:

Mfano kama ni mimi nimeshaambiwa hatari za moyo kwenda mbio na presha -- basi baada ya hapo nitatafuta faida na sababu za moyo kwenda kasi.

So next time nikijiskia mapigo yako juu badala ya kuwaza hatari[ntaziwaza pia kiasi] lakini pia nitawaza jinsi mwili wangu unavyojazwa ma damu, ma oksijeni jinsi ninakuwa excited for action. Jinsi ambavyo kupandisha mapigo ya moyo na presha kunausaidia mwili kuwa more alive!Mtafute Kelly McGonigal How to make stress your friend.

Nikisoma kitabu kimoja kikanitisha kuhusu majini, labda watanikaba watanisumbua --- kesho yake natafuta habari za jinsi ambavyo majini ni viumbe zembe kabisa tena ni wadogo zetu na sisi ndio wenye wajibu na mamlaka ya kuwatuma na sio wao eti ndo watuendeshe.

Ukianza na hiyo ya kubalance taarifa zote za kutisha ulizonazo kwa mbadala wake, ukajua yote, pande zote unaelekea kuwa huru we google tu mfano 'advantage of death' au faida za kucheka unabalansi na hasara za kucheka! faida za virusi, faida za bakteria, uzuri wa kuwa na minyoo! faida za kukosa mali nyingi, faida za kuwa na mali nyingi, faida za kuwa single, faida za kuwa na mpenzi. Ukishajua kuwa single na kuwa na mpenzi kote kuna faida huwezi ukawa tena na wasiwasi mpenzi atakuacha. Ukizijua kuishi ni faida na kufa pia ni bonge la faida kama mzee Paul unadhani ni nini kitakutisha hata ukiwa katika life and death situation?
 
Moja ni hiyo nilosema kutafuta taarifa nzuri za kuneutralize taarifa mbaya zilizopo na had kuzizidi ili amani itawale:

Mfano kama ni mimi nimeshaambiwa hatari za moyo kwenda mbio na presha -- basi baada ya hapo nitatafuta faida na sababu za moyo kwenda kasi.

So next time nikijiskia mapigo yako juu badala ya kuwaza hatari[ntaziwaza pia kiasi] lakini pia nitawaza jinsi mwili wangu unavyojazwa ma damu, ma oksijeni jinsi ninakuwa excited for action. Jinsi ambavyo kupandisha mapigo ya moyo na presha kunausaidia mwili kuwa more alive!Mtafute Kelly McGonigal How to make stress your friend.

Nikisoma kitabu kimoja kikanitisha kuhusu majini, labda watanikaba watanisumbua --- kesho yake natafuta habari za jinsi ambavyo majini ni viumbe zembe kabisa tena ni wadogo zetu na sisi ndio wenye wajibu na mamlaka ya kuwatuma na sio wao eti ndo watuendeshe.

Ukianza na hiyo ya kubalance taarifa zote za kutisha ulizonazo kwa mbadala wake, ukajua yote, pande zote unaelekea kuwa huru we google tu mfano 'advantage of death' au faida za kucheka unabalansi na hasara za kucheka! faida za virusi, faida za bakteria, uzuri wa kuwa na minyoo! faida za kukosa mali nyingi, faida za kuwa na mali nyingi, faida za kuwa single, faida za kuwa na mpenzi. Ukishajua kuwa single na kuwa na mpenzi kote kuna faida huwezi ukawa tena na wasiwasi mpenzi atakuacha. Ukizijua kuishi ni faida na kufa pia ni bonge la faida kama mzee Paul unadhani ni nini kitakutisha hata ukiwa katika life and death situation?
Daah nashukuru sana mkuu kwa ushauri wako, ujue umenipa mwanga nitadowload hiko kitabu nione naishije maana ishu kubwa kwangu ni wasi wasi tu.
 
Kutokana na maoni ya wadau mbali mbali jukwaani hapa pamoja na forum mbali mbali kama BETA BLOCKER/BISOPROLOL WITHDRAWAL FORUM, Leo nimeamua kuacha hizi dawa kwa kufanya yafutayo.

1. Kwanza ifahamike kwamba mwanzoni nilikua nameza kidonge kizima cha NEBIVOLOL chenye 5MG, na badae nikapunguza dozi nikawa nameza NEBIVOLOL 2.5MG, Hii nimefatilia kwa kusoma leaflet ya dawa hii kwa kua wameeleza jinsi ya kuacha.

2.Kwa sasa ukifika ule muda niliohotajika nimeze dawa, mimi ninachokifanya nakula punje moja ya kitunguu swaumu, ndizi moja , na parachichi robo kipande.

3.Pia nitakua naenda hospital kupima mapigo, presha na oxygen saturation(SPO2) ili kujua kama naendelea vizuri.

MABADILIKO NILIOPATA BAADA KUACHA HIZI DAWA KWA MUDA KAMA WA SAA 1 NA NUSU NI KAMA IFUATAVYO.
1. Napumua kwa shida japo sio sana.

2.Mwili unakua unatetemeka hivi na kuhisi baridi.

3. Mapigo yanadunda kwa kasi ya kawaida tu japo sometimes yanapanda then yanapungua

4.Napata wasi wasi sana.

HITIMISHO. Nafanya yote haya kwa kua dokta ameniambia niache hizi dawa kwa kusisitiza kua umri wangu bado mdogo sana(24years ) na pia ajaona shida kubwa.

Pole sana, jifunze kwa hatua huku ukifata ushauri wa daktari..utakua sawa. All is well. Sends a lot of love and hugs [emoji847]
 
Pole sana, jifunze kwa hatua huku ukifata ushauri wa daktari..utakua sawa. All is well. Sends a lot of love and hugs [emoji847]
Ahsante mkuu daktari kashanishauri pia nafata ushauri wake, God ata bless nitarecover tu.
 
Daah nashukuru sana mkuu kwa ushauri wako, ujue umenipa mwanga nitadowload hiko kitabu nione naishije maana ishu kubwa kwangu ni wasi wasi tu.
Wasi wasi ni hofu uliyojijengea kua ukiacha dawa utakufa, na hiyo njia ya Matunda uliyoifata ni nzuri sana pia usisahau kutumia chai ya mchai chai ni nzuri kwa magonjwa ya Moyo, Figo, Ini na Stress.

Upo kwenye Maombi yangu Mdogo wangu.
 
Wasi wasi ni hofu uliyojijengea kua ukiacha dawa utakufa, na hiyo njia ya Matunda uliyoifata ni nzuri sana pia usisahau kutumia chai ya mchai chai ni nzuri kwa magonjwa ya Moyo, Figo, Ini na Stress.

Upo kwenye Maombi yangu Mdogo wangu.
Ahsante dada yangu nitafata ushauri wako pia nimesikia na tangawizi nayo inasidia, ila tokea nimestop hizi dawa nakua sina balance hasa nikiwa natembea pia nahisi ubongo wangu umelose concentration ila yatapita tu.
 
Ahsante dada yangu nitafata ushauri wako pia nimesikia na tangawizi nayo inasidia, ila tokea nimestop hizi dawa nakua sina balance hasa nikiwa natembea pia nahisi ubongo wangu umelose concentration ila yatapita tu.
Tafute mrembo kapunguze na huo uzito
 
Kutokana na maoni ya wadau mbali mbali jukwaani hapa pamoja na forum mbali mbali kama BETA BLOCKER/BISOPROLOL WITHDRAWAL FORUM, Leo nimeamua kuacha hizi dawa kwa kufanya yafutayo.

1. Kwanza ifahamike kwamba mwanzoni nilikua nameza kidonge kizima cha NEBIVOLOL chenye 5MG, na badae nikapunguza dozi nikawa nameza NEBIVOLOL 2.5MG, Hii nimefatilia kwa kusoma leaflet ya dawa hii kwa kua wameeleza jinsi ya kuacha.

2.Kwa sasa ukifika ule muda niliohotajika nimeze dawa, mimi ninachokifanya nakula punje moja ya kitunguu swaumu, ndizi moja , na parachichi robo kipande.

3.Pia nitakua naenda hospital kupima mapigo, presha na oxygen saturation(SPO2) ili kujua kama naendelea vizuri.

MABADILIKO NILIOPATA BAADA KUACHA HIZI DAWA KWA MUDA KAMA WA SAA 1 NA NUSU NI KAMA IFUATAVYO.
1. Napumua kwa shida japo sio sana.

2.Mwili unakua unatetemeka hivi na kuhisi baridi.

3. Mapigo yanadunda kwa kasi ya kawaida tu japo sometimes yanapanda then yanapungua

4.Napata wasi wasi sana.

HITIMISHO. Nafanya yote haya kwa kua dokta ameniambia niache hizi dawa kwa kusisitiza kua umri wangu bado mdogo sana(24years ) na pia ajaona shida kubwa.
Ushauri,kitunguu swaumu kina interact na Nebivolol kwa hiyo kuwa makini unapozitumia kwa pamoja...
 
Ushauri,kitunguu swaumu kina interact na Nebivolol kwa hiyo kuwa makini unapozitumia kwa pamoja...
Sawa mkuu nimenote hiyo point yako ila nebivolol situmiii kwa sasa nina siku 3 ila najihisi vibaya sana.
 
Sawa mkuu nimenote hiyo point yako ila nebivolol situmiii kwa sasa nina siku 3 ila najihisi vibaya sana.
Fanya hivi kwa wiki kunywa siku leo halafu kesho usinywe keshokutwa kunywa mpaka hali izoee kwasasa kama vile umeacha ghafla halafu mwili haujazoea
 
Nikushauri kitu,wewe inawezekana kinachokusumbua ni stress na anxiety disorder,na kama ni hiyo,hizo unazotumia sio dawa zake,bado nina uhakika kinachokusumbua sio blood pressure.Ushauri mwingine mtafute Dr.anaitwa Japhet,huyu alikuwa anapatikana Hospitali ya Bochi Mbezi-Dar,namba yake ni hii 0717671228,ingawa sijui kama bado yuko pale...
 
Back
Top Bottom