nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
Kaka mimi sio wa kupigwa nazijua sana hiziWaaambie niko karibu na ofisi zenu nakuja kuchukulia hapo.. Usipozingatia utapigwa.
Matapeli wa Facebook hao. Achana na mambo hayoEti nitume laki na 95 elf, dereva aanze safari kuuleta nilipo hahah..nikichelewa mzigo utawekwa store kwa kila siku 20k inaongezeka.. Namwambia namtumia ndugu yangu aje abebe eti hapana tuma ela kwa namba tulikupa hutaki tunaweka mzigo store. Hahaa kumeanza kuchangamka. Kupitia uzi wangu watu wapate somo.
Yap yap sema lazima tulete humu ndani watu wapate darasaMatapeli wa Facebook hao. Achana na mambo hayo
Hahaha huyo huyo ni huo mshamgaziHaha niyule yule mshangazi wakizungu anaedai kuja kutalii mwez wa 12 nini
Au sio haha 😂California usiitamke kalifonia tamka karlfonya
Weka undava hapo Alabama usiitamke A la ba ma weka undava tamka AlabemaAu sio haha 😂
Naona video call zake ache zikuchanganyeHahaha huyo huyo ni huo mshamgazi