#COVID19 Update USA: Madhara ya chanjo yaliyo waziwazi

#COVID19 Update USA: Madhara ya chanjo yaliyo waziwazi

Kuna Chanjo/dawa ambayo haina side effects? Waulize wamama wanaopeleka watoto wadogo clinic kuchoma chanjo watakwambia baadhi ya side effects za chanjo zinazowapata watoto wao! Kila kitu kina madhara ,hata maji ukizidisha mwilini ni hatari kwa afya au yakiwa ya moto ni sumu ndani ya mwili au kwa mmea.

Form ile kujaza ni kuonyesha uhiyari wa client kukubali au kukataa kuchanja na si kweli kama ukipata side effects serikali haikuhudumii ,serikali imesema kabisa ukichoma kama utapata any side effects nenda hospital na utapata huduma bure.

Chanjo kuwa salama au kutokuwa salama mimi na wewe hatuwezi kubisha maana sio wataalamu wa madawa ,hivyo tunawasikiliza wataalam waliozipima,kama wapimaji wamesema ni salama ,mimi ni nani KANJUNJU niwabishie?
Kama kila kitu kina madhara kama unavyosema sasa hao wataalamu wanavyosema hizo chanjo wamezipima na hazina madhara wanakuwa na maana gani?

Tunaona watu wengi wanajitangaza kuwa wako fit baada ya kuchanjwa ila sasa sijaelewa wako fit kwa kutoganda damu kama wengine au kuwasababishia vifo kama wengine au vp hasa wanachokusudia?
 
Kama kila kitu kina madhara kama unavyosema sasa hao wataalamu wanavyosema hizo chanjo wamezipima na hazina madhara wanakuwa na maana gani?

Tunaona watu wengi wanajitangaza kuwa wako fit baada ya kuchanjwa ila sasa sijaelewa wako fit kwa kutoganda damu kama wengine au kuwasababishia vifo kama wengine au vp hasa wanachokusudia?

Side effects inategemea na mtu na mtu ,mwingine anapigwa chanjo hapati side effects zozote......kwa vigezo hivyo haina madhara.
 
Mamlaka ya udhibiti na kuzuia magonjwa Marekani CDC imetangaza amri mpya kuwa, watu wote walio choma chanjo ya kuzuia Corona waanze tena kuvaa barakoa katika mikusanyiko ya ndani.

Amri hii inakuja miezi kadhaa tangu mamlaka hiyo ilipotoa ruksa kwa wote walio chanjwa kuto vaa barakoa.

Maamuzi ya CDC kutaka waliochanjwa kuvaa barakoa yametokana na kuongezeka kwa watu wenye maambukizi ya Corona katika miji kadhaa nchini humo ikiwemo Florida na Missouri vilevile kutokana na kuongezeka kwa ripoti ya maambukizi ya virusi hatari zaidi aina ya Delta kwa watu ambao wamekwisha pata chanjo zote mbili.

Mamlaka hiyo imeongeza kuwa kila mtu anapaswa kuvaa barakoa na kuweka msisitizo kwa Walimu, wafanyakazi, wanafunzi na wageni katika shule zote bila kujali wamechanjwa au bado.

-----
Sisi ndio kwanza tunaanza kujipiga chale na kupromoti chanjo ambazo hazijawasaidia hata waliozitengeneza [emoji16]

Piga chanjo uzalishe virusi vipya vigumu kuliko mwanzo

View attachment 1872479
Wewe chanja tuh mkuu ila usisahau kupitia Tangazo hilo.
FB_IMG_1627576322822.jpg
 
Siyo kweli. Vifo vya waliochanja hata wakipata COVID-19 ni asilimia ndogo sana ukilinganisha na wasiochanja tofauti ni kubwa sana kama usiku na mchana 99% to 1%
Ifike mahali tukubali kwamba hizi chango hazisaidii sanasana zinaongeza matatizo
 
Ni kweli wanaambiwa sasa tatizo ni nini kama kuvaa barakoa kutamlinda muhusika na wengine!?
CDC wanasema watu waliochanjwa kikamilifu ndio wapo hatarini kupata na kuzalisha kirusi hatari zaidi cha delta, yapi maoni yako?
 
Kasome vizuri ulichosoma kisha utuletee ná percentage yao ya kulazwa na kufa ukilinganisha na wale ambao hawajachanjwa. Ukisoma habari isome kwa ukamilifu wake na ukiamua kuiweka hapa pia uiweke kwa ukamilifu wake badala ya kuweka habari ambayo haikukamilika.
CDC wanasema watu waliochanjwa kikamilifu ndio wapo hatarini kupata na kuzalisha kirusi hatari zaidi cha delta, yapi maoni yako?
 
Siyo kweli. Vifo vya waliochanja hata wakipata COVID-19 ni asilimia ndogo sana ukilinganisha na wasiochanja tofauti ni kubwa sana kama usiku na mchana 99% to 1%
Acha utapeli wewe dalali la machanjo!

Hivyo vifo viko wapi?
 
Hi
Kasome vizuri ulichosoma kisha utuletee ná percentage yao ya kulazwa na kufa ukilinganisha na wale ambao hawajachanjwa. Ukisoma habari isome kwa ukamilifu wake na ukiamua kuiweka hapa pia uiweke kwa ukamilifu wake badala ya kuweka habari ambayo haikukamilika.
Hii ni habari kutoka kwa wenye chanjo zao.
Screenshot_20210731-205020.png
 
Side effects inategemea na mtu na mtu ,mwingine anapigwa chanjo hapati side effects zozote......kwa vigezo hivyo haina madhara.
Wewe umesema kila kitu kina madhara, sasa hivi tena unasema chanjo hazina madhara!!! Kuna madhara ya muda mfupi na muda mrefu.
 
Wewe umesema kila kitu kina madhara, sasa hivi tena unasema chanjo hazina madhara!!! Kuna madhara ya muda mfupi na muda mrefu.

Effects - Positive or Negavite.

Madhara pia yanategemea fitness ya mtu - Only The strong will survive ,haujawai kusikia kijijini watu wamekula chakula chenye sumu ila wengine hata mdhara hawakupata ingawa wamekula/kunywa pamoja.
 
Naona unajizungusha tu.

Najaribu kukuelewesha effects ni nini na fitness ya mtu ni kitu gani.

Jamaa yangu akijaribu kumshusha mkono baunsa(kunywa konyagi) basi kesho yake mwili wote unavimba ila mwingine akinywa konyagi kesho hata kipele hana.
 
Najaribu kukuelewesha effects ni nini na fitness ya mtu ni kitu gani.

Jamaa yangu akijaribu kumshusha mkono baunsa(kunywa konyagi) basi kesho yake mwili wote unavimba ila mwingine akinywa konyagi kesho hata kipele hana.
Wanaposema chanjo hazina madhara wanakusudia nini?
 
Back
Top Bottom