Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini wapate madhara?Hizi chanjo zina mambo sana hizi..keep wondering watu waliochomwa miaka 5 au 10 ijayo watapata madhara gani? Anyways hapa ndipo penye hekima na mwenye masikio na asikie.
Kuna mjingaTutakuja tushuhudie mazombie mitaani [emoji1][emoji1]
Uongozi wa jamiiforums mkiondoa hii habari mtakua mnashiriki moja kwa moja katika kuficha ukweli kwa watanzania kuwa hizi chanjo bado hazijaiva...
Ukweli ni muhimu ili watengeneza hizi chanjo warudi maabara upya