#COVID19 Update USA: Madhara ya chanjo yaliyo waziwazi

Kama kila kitu kina madhara kama unavyosema sasa hao wataalamu wanavyosema hizo chanjo wamezipima na hazina madhara wanakuwa na maana gani?

Tunaona watu wengi wanajitangaza kuwa wako fit baada ya kuchanjwa ila sasa sijaelewa wako fit kwa kutoganda damu kama wengine au kuwasababishia vifo kama wengine au vp hasa wanachokusudia?
 

Side effects inategemea na mtu na mtu ,mwingine anapigwa chanjo hapati side effects zozote......kwa vigezo hivyo haina madhara.
 
Wewe chanja tuh mkuu ila usisahau kupitia Tangazo hilo.
 
Siyo kweli. Vifo vya waliochanja hata wakipata COVID-19 ni asilimia ndogo sana ukilinganisha na wasiochanja tofauti ni kubwa sana kama usiku na mchana 99% to 1%
Ifike mahali tukubali kwamba hizi chango hazisaidii sanasana zinaongeza matatizo
 
Ni kweli wanaambiwa sasa tatizo ni nini kama kuvaa barakoa kutamlinda muhusika na wengine!?
CDC wanasema watu waliochanjwa kikamilifu ndio wapo hatarini kupata na kuzalisha kirusi hatari zaidi cha delta, yapi maoni yako?
 
Kasome vizuri ulichosoma kisha utuletee ná percentage yao ya kulazwa na kufa ukilinganisha na wale ambao hawajachanjwa. Ukisoma habari isome kwa ukamilifu wake na ukiamua kuiweka hapa pia uiweke kwa ukamilifu wake badala ya kuweka habari ambayo haikukamilika.
CDC wanasema watu waliochanjwa kikamilifu ndio wapo hatarini kupata na kuzalisha kirusi hatari zaidi cha delta, yapi maoni yako?
 
Siyo kweli. Vifo vya waliochanja hata wakipata COVID-19 ni asilimia ndogo sana ukilinganisha na wasiochanja tofauti ni kubwa sana kama usiku na mchana 99% to 1%
Acha utapeli wewe dalali la machanjo!

Hivyo vifo viko wapi?
 
Hi
Hii ni habari kutoka kwa wenye chanjo zao.
 
Side effects inategemea na mtu na mtu ,mwingine anapigwa chanjo hapati side effects zozote......kwa vigezo hivyo haina madhara.
Wewe umesema kila kitu kina madhara, sasa hivi tena unasema chanjo hazina madhara!!! Kuna madhara ya muda mfupi na muda mrefu.
 
Wewe umesema kila kitu kina madhara, sasa hivi tena unasema chanjo hazina madhara!!! Kuna madhara ya muda mfupi na muda mrefu.

Effects - Positive or Negavite.

Madhara pia yanategemea fitness ya mtu - Only The strong will survive ,haujawai kusikia kijijini watu wamekula chakula chenye sumu ila wengine hata mdhara hawakupata ingawa wamekula/kunywa pamoja.
 
Naona unajizungusha tu.

Najaribu kukuelewesha effects ni nini na fitness ya mtu ni kitu gani.

Jamaa yangu akijaribu kumshusha mkono baunsa(kunywa konyagi) basi kesho yake mwili wote unavimba ila mwingine akinywa konyagi kesho hata kipele hana.
 
Najaribu kukuelewesha effects ni nini na fitness ya mtu ni kitu gani.

Jamaa yangu akijaribu kumshusha mkono baunsa(kunywa konyagi) basi kesho yake mwili wote unavimba ila mwingine akinywa konyagi kesho hata kipele hana.
Wanaposema chanjo hazina madhara wanakusudia nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…