Update Yanga Sc VS Lipuli Taifa

Update Yanga Sc VS Lipuli Taifa

Mkuu Shadeeya Leo mnatafuta majibu ya kujibu lakini hampati pa kutokea, hasa mimi binafsi nilisema kuwa kuna wakati refa ni binadamu lakini mlikazania kubembwa ndo maana leo mmeumbuka [emoji23]

Maana yake mjifunze kuweka akiba ya maneno, Nugaz jana Wasafi radio aliongea kitu kizuri sana, kwamba yale hata kwao huenda yanatokea au yatatokea mbeleni.

Ok, mpira haukingia asilimia 100% Kona ya nini?View attachment 1348060
Picha yako haioneshi clear mpira ulipo. Kazi ya V.A.R ni ku clear doubt kwa kuonesha tukio kwa ufasaha zaidi. Sasa wewe umegeuka kuwa V.A.R wetu basi tunaomba tuwekee picha iliyo clear zaidi inayoonesha mpira maana hiyo picha hata uvae miwani ya kukuza bado huoni mpira vizuri zaidi ya gloves tu za metacha. Tuoneshe mpira halafu weka kivuli upande wa goal line ili tuone huo mpira upo ndani au nje ya mstari. Karibu V.A.R

Sent using Jamii Forums mobile app
 
acha umbumbumbu...someni hivi vitu vidogovidogo
Lipuli alipata goli lilikataliwa.
Na mengine mengi tu.

Leo unafiki wenu utadhihirika

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG_20200206_081533.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Picha yako haioneshi clear mpira ulipo. Kazi ya V.A.R ni ku clear doubt kwa kuonesha tukio kwa ufasaha zaidi. Sasa wewe umegeuka kuwa V.A.R wetu basi tunaomba tuwekee picha iliyo clear zaidi inayoonesha mpira maana hiyo picha hata uvae miwani ya kukuza bado huoni mpira vizuri zaidi ya gloves tu za metacha. Tuoneshe mpira halafu weka kivuli upande wa goal line ili tuone huo mpira upo ndani au nje ya mstari. Karibu V.A.R

Sent using Jamii Forums mobile app
We mbona unachanganya mambo? Na hiyo picha wapi nimesema goli limeingia au hapana? Nimesema kama mpira hauingia asilimia 100% Kona ya nini?

Unatakiwa ulete majibu kwanini refa ameamuru kuwa kona?
 
Tatizo mnalazimisha ionekane Yanga inabebwa kama nyie. Karia na Mwakyembe pamoja na uSimba wao wameona aibu.

Bahati nzuri Yanga chama la watu wastaarabu sana. Ingekuwa kinyume chake, uwanja wa Taifa ungeishang'olewa viti vyote.

Ndiyo maana Mchina kawawekea zege pale Shamba la bibi.
Kiongoz, yule line 2, alipagawa ujue? ... Sasa Kama haikuwa goli , kwanini aliweka iwe Kona? Maana ule mpira ulikuwa ndani ya post ya goli na sio nje ya post ! Mimi naona line 2 alitaka kuonesha kuwa ni goli Ila akawaza mmh [emoji848]; akaona isewe shida Bora iweke Kona tuu maana maamuzi hayo hayatawaadhiri sana yanga! [emoji2][emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We mbona unachanganya mambo? Na hiyo picha wapi nimesema goli limeingia au hapana? Nimesema kama mpira hauingia asilimia 100% Kona ya nini?

Unatakiwa ulete majibu kwanini refa ameamuru kuwa kona?
Kona ilikuwa ni Faida kwa lipuli, hivyo Refa aliamua kuwabeba Lipuli ili kutukandamiza Yanga baada ya kuona hakuna goli ili kuthibitisha muamala wake kutoka Simba/Mbeleko/IST FC.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We mbona unachanganya mambo? Na hiyo picha wapi nimesema goli limeingia au hapana? Nimesema kama mpira hauingia asilimia 100% Kona ya nini?

Unatakiwa ulete majibu kwanini refa ameamuru kuwa kona?
Sijachanganya mambo kwavile sijakwambia kuwa umesema ni goal au umesema sio goal bali nimezungumzia kwa upande wangu hiyo picha inashindwa kunionesha nachohitaji kwasababu ya quality yake na pia ni ngumu kusema mpira umevuka au haujavuka kwa asilimia 100 kwavile kwa upande wangu hata mpira wenyewe hauonekani vizuri.

Hili tukio mwamuzi wa kati alishaamua kuwa ni goal kick, wachezaji wa Lipuli wakapaniki, baada ya kupaniki ikabidi mwamuzi wa kati amfate mshika kibendera amsikilize. Cha ajabu mshika kibendera akaamua iwe kona. Sijui aliwaza nini maana mpira haukutoka nje kona ya nini? Yaani ilikuwa ni taharaki ya goal au sio goal. Anafatwa mshika kibendera amue, naye analeta taharuki nyingine zaidi wakati mpira ulipaswa uwe goal kick au upelekwe kati kama ni goal.

Azam nao wame fail kwa kutokuwa na camera za kutosha, tukio kama hili sisi tuliokuwa kwenye tv tulipaswa wote kwa pamoja kujua pasi na shaka kuwa lile ni goal au lile sio goal. Lakini hata uangalie replay mara mia bado kila mmoja ata judge kwa namna yake kwavile aonavyo yeye.

Azam wanapaswa waongeze camera zao ili kuweza kuchukua matukio kwenye angle tofauti tofauti. Ingelikuwa ulaya, watu wote wangekuwa na kauli moja kwamba lile ni goal lipuli walionewa kwa kunyimwa goal au lile sio goal yanga walionewa kwa kupigiwa kona kwavile wana camera zao zinazoweza kuchukua kila angle na kisha wangechora mstari kuonesha position ya mpira ulipo dhidi ya mstari wa goal (goal line)



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijachanganya mambo kwavile sijakwambia kuwa umesema ni goal au umesema sio goal bali nimezungumzia kwa upande wangu hiyo picha inashindwa kunionesha nachohitaji kwasababu ya quality yake na pia ni ngumu kusema mpira umevuka au haujavuka kwa asilimia 100 kwavile kwa upande wangu hata mpira wenyewe hauonekani vizuri.

Hili tukio mwamuzi wa kati alishaamua kuwa ni goal kick, wachezaji wa Lipuli wakapaniki, baada ya kupaniki ikabidi mwamuzi wa kati amfate mshika kibendera amsikilize. Cha ajabu mshika kibendera akaamua iwe kona. Sijui aliwaza nini maana mpira haukutoka nje kona ya nini? Yaani ilikuwa ni taharaki ya goal au sio goal. Anafatwa mshika kibendera amue, naye analeta taharuki nyingine zaidi wakati mpira ulipaswa uwe goal kick au upelekwe kati kama ni goal.

Azam nao wame fail kwa kutokuwa na camera za kutosha, tukio kama hili sisi tuliokuwa kwenye tv tulipaswa wote kwa pamoja kujua pasi na shaka kuwa lile ni goal au lile sio goal. Lakini hata uangalie replay mara mia bado kila mmoja ata judge kwa namna yake kwavile aonavyo yeye.

Azam wanapaswa waongeze camera zao ili kuweza kuchukua matukio kwenye angle tofauti tofauti. Ingelikuwa ulaya, watu wote wangekuwa na kauli moja kwamba lile ni goal lipuli walionewa kwa kunyimwa goal au lile sio goal yanga walionewa kwa kupigiwa kona kwavile wana camera zao zinazoweza kuchukua kila angle na kisha wangechora mstari kuonesha position ya mpira ulipo dhidi ya mstari wa goal (goal line)



Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli ni kwamba muamuzi aliionea Yanga kwa kutoa Kona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijachanganya mambo kwavile sijakwambia kuwa umesema ni goal au umesema sio goal bali nimezungumzia kwa upande wangu hiyo picha inashindwa kunionesha nachohitaji kwasababu ya quality yake na pia ni ngumu kusema mpira umevuka au haujavuka kwa asilimia 100 kwavile kwa upande wangu hata mpira wenyewe hauonekani vizuri.

Hili tukio mwamuzi wa kati alishaamua kuwa ni goal kick, wachezaji wa Lipuli wakapaniki, baada ya kupaniki ikabidi mwamuzi wa kati amfate mshika kibendera amsikilize. Cha ajabu mshika kibendera akaamua iwe kona. Sijui aliwaza nini maana mpira haukutoka nje kona ya nini? Yaani ilikuwa ni taharaki ya goal au sio goal. Anafatwa mshika kibendera amue, naye analeta taharuki nyingine zaidi wakati mpira ulipaswa uwe goal kick au upelekwe kati kama ni goal.

Azam nao wame fail kwa kutokuwa na camera za kutosha, tukio kama hili sisi tuliokuwa kwenye tv tulipaswa wote kwa pamoja kujua pasi na shaka kuwa lile ni goal au lile sio goal. Lakini hata uangalie replay mara mia bado kila mmoja ata judge kwa namna yake kwavile aonavyo yeye.

Azam wanapaswa waongeze camera zao ili kuweza kuchukua matukio kwenye angle tofauti tofauti. Ingelikuwa ulaya, watu wote wangekuwa na kauli moja kwamba lile ni goal lipuli walionewa kwa kunyimwa goal au lile sio goal yanga walionewa kwa kupigiwa kona kwavile wana camera zao zinazoweza kuchukua kila angle na kisha wangechora mstari kuonesha position ya mpira ulipo dhidi ya mstari wa goal (goal line)



Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera Mkuu, hapa umezungumzia uhalisia sana pasipo kuweka rangi yako ya uyanga yanga. Lile tukio ni mapungufu makubwa sana kwanzia waamuzi hadi wanaoturushia matangazo ya video. Na mbaya zaidi Tanzania nzima tunawatumia wao Azam kama rejeo zetu za kupata video clips za matukio za replay. Lakini nao wamefeli kwa kushindwa ku-clear doubt. Ingelikuwa ni super sport basi watanzania wote tungekuwa tuna lugha moja ya kwamba Lipuli walionewa kwa kunyimwa goli au tungekuwa na lugha moja kuwa Yanga walionewa kwa mpira wa goal kick kuwekwa kona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ofisi za BMT zipo Taifa.
Kuna wanazi wa Simba ndani ya BMT wanaotumika kuwapa access Mikia kupuliza dawa vyumbani.

Wapumbavu tu ndiyo wanashangaa iweje mechi dhidi ya Lipuli vyumba vya Yanga vipulizwe dawa.

Mwakyembe waondoe watu wako hapo uwanjani. Tunajua ni mali ya serikali lakini sio kuweka ofisi hapo. Afadhali viwekwe vitega uchumi. Migahawa, maduka nk.
 
Picha yako haioneshi clear mpira ulipo. Kazi ya V.A.R ni ku clear doubt kwa kuonesha tukio kwa ufasaha zaidi. Sasa wewe umegeuka kuwa V.A.R wetu basi tunaomba tuwekee picha iliyo clear zaidi inayoonesha mpira maana hiyo picha hata uvae miwani ya kukuza bado huoni mpira vizuri zaidi ya gloves tu za metacha. Tuoneshe mpira halafu weka kivuli upande wa goal line ili tuone huo mpira upo ndani au nje ya mstari. Karibu V.A.R

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ilikuwaje kona?
 
lile sio goli mpira haukuvuka mstari wa goli, yanga ndio walionewa kwa lipuli kupewa kona ya bure.
Leo saa 3:30 othumani kazi atakuwa azam sports kufanya kipindi chake cha kipyenga cha mwisho,utata tuumalizie hapo!
 
Back
Top Bottom